Nape, wakati huu wa mdororo wa uchumi tulipaswa kubana matumizi, usitumie chopa ya JWTZ ni gharama

Apr 24, 2011
29
542
Airbus Helicopters H225 ina horsepower 1,820, inatumia mafuta ya Jet-A1. Wastani inakunywa 540 us liquid gallons/hour=2,044.122 litres/hour. Gharama za kujaza pale JNIA ni US$3.612 (Shs. 8,390.87) per Gallon in USD. Zingatia 1 us liquid gallon=3.785 litres leo. Piga hesabu zako.

Hivyo kwa saa moja tu hiyo chopa hii inaweza kutumia wastani wa Shs. 4.53 milioni kwa safari ya saa moja angani kwa mafuta yake tu. Sijaweka gharama nyingine, maana lazima irukee ikiwa na operators wawili. Sifahamu kama operators wanalipwa na JWTZ au wizara, lakini zitakuwa fedha za umma

Naona taarifa hapa inaeleza ndugu Nape Nnauye atakwenda mikoa yote kuhamasisha uwekaji anuani za makazi (postikodi). Na leo Nape Nnauye ameanza kuruka mikoa ya Tanga, Kilimanjaro na Arusha. Shilingi ngapi zitatumika katika kurusha hii chopa ya JWTZ? Nani atagharamia hizo fedha?

Kwanini watendaji huko chini wasiagizwe kusimamia zoezi la postikodi? Kuna wakuu wa mikoa, makatibu tawala mikoa, wakurugenziwa majiji, wakuu wa wilaya, makatibu tawala wilaya, wakurugenzi wa halmashauri, makatibu tarafa, watendaji wa kata na vijiji. Waziri wa kazi gani na chopa?

Watasha wana msemo wao mzuri, wanasema “The bigger the helicopter, the larger its engine or engines and the more thirsty they become.”. Ndugu Nape ulipaswa kwanza kujiuliza hili swali “How much fuel does my bird burn per hour?”. Halafu ukipata jibu ndiyo uanze kuchoma fedha zetu

Helicopter ambayo inaweza kusafiri umbali mrefu kwa muda mrefu inahitaji mafuta mengi. Helicopters nyingi zina matenki yenye kubeba mafuta yatakoishi wastani wa saa 1.5 hadi saa 3 na dakika 20 za ziada. The Sikorsky S92 and the Agusta A139 zina matenki ya ziada. Pigeni hesabu.

Wakati huu wa mdororo wa uchumi na gharama za maisha kupanda, serikali ilipaswa kupunguza kuleta Supplementary Budget kusaidia wananchi, kuondoa tozo kadhaa (hata kwa miezi 6 tu) haswa katika bidhaa za mafuta yenye tozo 23 na serikali kupunguza matumizi yake ya ANASA.

Wakati nchi nyingine zinasaini Supplementary budgets (bajeti ya nyongeza) ili kuwapunguzia wananchi wao ukali wa maisha, waziri wa Tanzania anakwenda kufanya ziara (kuhamasisha uwekaji postikodi) isiyokuwa na ulazima ambayo kwa saa moja pekee itagharimu karibu Shs. 5M.

Mfano, leo wananchi wa Tarime, wanannua mafuta ya Petroli lita 1 kwa Shs. 3,000. Kwamba ukiwa na Shs. 20,000 utapata lita 6. Nape Nnauye kwa kuwa ni waziri, analipwa pesa za umma, anaamua kufanya ziara nchi kwa helicopter? Wakati kama huu? Hayo ni matumizi ya ANASA na dhihaka.

Siyo kwa ubaya, nauliza tu, Nape Nnauye mnaona hii ni sawa kutumia fedha za umma hivi? Zoezi la postikodi limefika 68%, lipo pazuri. Waziri anakwenda kumpa hamasa nani kwa gharama zote hizi? Acheni kuchezea pesa zetu. Hatujasahau upigaji wa HK kwenye urithi na HK chalenji

MMM, Martin Maranja Masese
FB_IMG_1649686532816.jpg
View attachment 2183961
 
Mbowe nayeye anazurura na VX V8 mitaani anaomba Hela kwa wauza bajia, maandazi, pipi, nyanya, mafuta tu anayotumia na posho anazojilipa na wenzake! Pesa mingi! Bado hakuna anayehesabu hizo Hela, lazima kuna upigaji wa hali ya juu.

Kama uchumi wa chama mnaendesha kwa staili hii, uchumi wa nchi itakuwaje?

Huyu naye alilipwa mamia ya mamilioni kwa kigezo kuripoti kesi ya Mbowe twitter!
 
Hawa si ndiyo wanaosema WANALAMBA ASALI huku wananchi wakilalamikia mfumuko wa bei!! Wao huu mfumuko hauwahusu. Wakuu wa mikoa na wilaya waliisha hamasishwa kuhusu hilo zoezi sasa huyu Nape nae kwenda na helicopter kuzunguka Nchi nzima kweli ni matumizi sahihi ya fedha wakati huu wa uchumi tete? Haya mambo Wakati wa Jiwe yasingeruhusiwa lakini sasa vijana wanalamba Asali kwani leo mama zamu yeke kupika futari!!!
 
Airbus Helicopters H225 ina horsepower 1,820, inatumia mafuta ya Jet-A1. Wastani inakunywa 540 us liquid gallons/hour=2,044.122 litres/hour. Gharama za kujaza pale JNIA ni US$3.612 (Shs. 8,390.87) per Gallon in USD. Zingatia 1 us liquid gallon=3.785 litres leo. Piga hesabu zako.

Hivyo kwa saa moja tu hiyo chopa hii inaweza kutumia wastani wa Shs. 4.53 milioni kwa safari ya saa moja angani kwa mafuta yake tu. Sijaweka gharama nyingine, maana lazima irukee ikiwa na operators wawili. Sifahamu kama operators wanalipwa na JWTZ au wizara, lakini zitakuwa fedha za umma

Naona taarifa hapa inaeleza ndugu Nape Nnauye atakwenda mikoa yote kuhamasisha uwekaji anuani za makazi (postikodi). Na leo Nape Nnauye ameanza kuruka mikoa ya Tanga, Kilimanjaro na Arusha. Shilingi ngapi zitatumika katika kurusha hii chopa ya JWTZ? Nani atagharamia hizo fedha?

Kwanini watendaji huko chini wasiagizwe kusimamia zoezi la postikodi? Kuna wakuu wa mikoa, makatibu tawala mikoa, wakurugenziwa majiji, wakuu wa wilaya, makatibu tawala wilaya, wakurugenzi wa halmashauri, makatibu tarafa, watendaji wa kata na vijiji. Waziri wa kazi gani na chopa?

Watasha wana msemo wao mzuri, wanasema “The bigger the helicopter, the larger its engine or engines and the more thirsty they become.”. Ndugu Nape ulipaswa kwanza kujiuliza hili swali “How much fuel does my bird burn per hour?”. Halafu ukipata jibu ndiyo uanze kuchoma fedha zetu

Helicopter ambayo inaweza kusafiri umbali mrefu kwa muda mrefu inahitaji mafuta mengi. Helicopters nyingi zina matenki yenye kubeba mafuta yatakoishi wastani wa saa 1.5 hadi saa 3 na dakika 20 za ziada. The Sikorsky S92 and the Agusta A139 zina matenki ya ziada. Pigeni hesabu.

Wakati huu wa mdororo wa uchumi na gharama za maisha kupanda, serikali ilipaswa kupunguza kuleta Supplementary Budget kusaidia wananchi, kuondoa tozo kadhaa (hata kwa miezi 6 tu) haswa katika bidhaa za mafuta yenye tozo 23 na serikali kupunguza matumizi yake ya ANASA.

Wakati nchi nyingine zinasaini Supplementary budgets (bajeti ya nyongeza) ili kuwapunguzia wananchi wao ukali wa maisha, waziri wa Tanzania anakwenda kufanya ziara (kuhamasisha uwekaji postikodi) isiyokuwa na ulazima ambayo kwa saa moja pekee itagharimu karibu Shs. 5M.

Mfano, leo wananchi wa Tarime, wanannua mafuta ya Petroli lita 1 kwa Shs. 3,000. Kwamba ukiwa na Shs. 20,000 utapata lita 6. Nape Nnauye kwa kuwa ni waziri, analipwa pesa za umma, anaamua kufanya ziara nchi kwa helicopter? Wakati kama huu? Hayo ni matumizi ya ANASA na dhihaka.

Siyo kwa ubaya, nauliza tu, Nape Nnauye mnaona hii ni sawa kutumia fedha za umma hivi? Zoezi la postikodi limefika 68%, lipo pazuri. Waziri anakwenda kumpa hamasa nani kwa gharama zote hizi? Acheni kuchezea pesa zetu. Hatujasahau upigaji wa HK kwenye urithi na HK chalenji

MMM, Martin Maranja MaseseView attachment 2183962View attachment 2183961
Je Nape hiki ni kipindi ya Kampeni?????

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
Airbus Helicopters H225 ina horsepower 1,820, inatumia mafuta ya Jet-A1. Wastani inakunywa 540 us liquid gallons/hour=2,044.122 litres/hour. Gharama za kujaza pale JNIA ni US$3.612 (Shs. 8,390.87) per Gallon in USD. Zingatia 1 us liquid gallon=3.785 litres leo. Piga hesabu zako.
Twende mbali zaidi tuchunguze mmiliki wa chopa ni nani na analipwa kiasi gani na utaratibu wa kumpata ulikuwaje
 
pesa nyingi sana inatumiwa na waziri kufukuzana na akina mbayuwayu angani huku vijana wanaohangaika mtaani kukusanya taarifa za postikode wakiwa hawajalipwa bado ama kulipwa malipo madogo sana


nchii hii kwa sasa iko kwenye recession wala hiyo sio siri tena hata hilo zoezi la postcode ilitakiwa lihairishwe au lifanyike kwa baadhi ya miji kama dar,arusha & mwanza

pesa kidogo tulizo nazo zingeelekezwa kupunguza gharama za mafuta na umeme ili basi wadanganyika wapumue


tumepata majanga mengi sana na mengine yako road yanakuja kwahiyo hatutakiwi kuchezea pesa kabisa
 
... hao ni watoto wa waasisi wa taifa hili Chief; hawatakiwi kuishi kwa shida kabisa maana wazee wao walitoa jasho jingi sana kwa ajili ya taifa; waache wale mema ya nchi wao na vizazi vyao hadi kundi la walio wengi litakapostuka toka usingizini na kuamua vinginevyo.
 
Airbus Helicopters H225 ina horsepower 1,820, inatumia mafuta ya Jet-A1. Wastani inakunywa 540 us liquid gallons/hour=2,044.122 litres/hour. Gharama za kujaza pale JNIA ni US$3.612 (Shs. 8,390.87) per Gallon in USD. Zingatia 1 us liquid gallon=3.785 litres leo. Piga hesabu zako.

Hivyo kwa saa moja tu hiyo chopa hii inaweza kutumia wastani wa Shs. 4.53 milioni kwa safari ya saa moja angani kwa mafuta yake tu. Sijaweka gharama nyingine, maana lazima irukee ikiwa na operators wawili. Sifahamu kama operators wanalipwa na JWTZ au wizara, lakini zitakuwa fedha za umma

Naona taarifa hapa inaeleza ndugu Nape Nnauye atakwenda mikoa yote kuhamasisha uwekaji anuani za makazi (postikodi). Na leo Nape Nnauye ameanza kuruka mikoa ya Tanga, Kilimanjaro na Arusha. Shilingi ngapi zitatumika katika kurusha hii chopa ya JWTZ? Nani atagharamia hizo fedha?

Kwanini watendaji huko chini wasiagizwe kusimamia zoezi la postikodi? Kuna wakuu wa mikoa, makatibu tawala mikoa, wakurugenziwa majiji, wakuu wa wilaya, makatibu tawala wilaya, wakurugenzi wa halmashauri, makatibu tarafa, watendaji wa kata na vijiji. Waziri wa kazi gani na chopa?

Watasha wana msemo wao mzuri, wanasema “The bigger the helicopter, the larger its engine or engines and the more thirsty they become.”. Ndugu Nape ulipaswa kwanza kujiuliza hili swali “How much fuel does my bird burn per hour?”. Halafu ukipata jibu ndiyo uanze kuchoma fedha zetu

Helicopter ambayo inaweza kusafiri umbali mrefu kwa muda mrefu inahitaji mafuta mengi. Helicopters nyingi zina matenki yenye kubeba mafuta yatakoishi wastani wa saa 1.5 hadi saa 3 na dakika 20 za ziada. The Sikorsky S92 and the Agusta A139 zina matenki ya ziada. Pigeni hesabu.

Wakati huu wa mdororo wa uchumi na gharama za maisha kupanda, serikali ilipaswa kupunguza kuleta Supplementary Budget kusaidia wananchi, kuondoa tozo kadhaa (hata kwa miezi 6 tu) haswa katika bidhaa za mafuta yenye tozo 23 na serikali kupunguza matumizi yake ya ANASA.

Wakati nchi nyingine zinasaini Supplementary budgets (bajeti ya nyongeza) ili kuwapunguzia wananchi wao ukali wa maisha, waziri wa Tanzania anakwenda kufanya ziara (kuhamasisha uwekaji postikodi) isiyokuwa na ulazima ambayo kwa saa moja pekee itagharimu karibu Shs. 5M.

Mfano, leo wananchi wa Tarime, wanannua mafuta ya Petroli lita 1 kwa Shs. 3,000. Kwamba ukiwa na Shs. 20,000 utapata lita 6. Nape Nnauye kwa kuwa ni waziri, analipwa pesa za umma, anaamua kufanya ziara nchi kwa helicopter? Wakati kama huu? Hayo ni matumizi ya ANASA na dhihaka.

Siyo kwa ubaya, nauliza tu, Nape Nnauye mnaona hii ni sawa kutumia fedha za umma hivi? Zoezi la postikodi limefika 68%, lipo pazuri. Waziri anakwenda kumpa hamasa nani kwa gharama zote hizi? Acheni kuchezea pesa zetu. Hatujasahau upigaji wa HK kwenye urithi na HK chalenji

MMM, Martin Maranja MaseseView attachment 2183962View attachment 2183961

Hizi ndo kazi wanazoziweza akitoka hapo anandika perdiem ya milioni 5 eti amefanya kazi ya serikali
 
Back
Top Bottom