Nadhani sasa kina Sitta na Mwakyembe kidoogo watapumua huko CCM..
. Yote hayo yamesababishwa na makamba mshambaaNape ni jembe hapa sisiem wameotea sana..wakati uv wanampinga walikuwa hawajui ****** anawaza nini ...ccm bila nape haiwezekani
Juzikati UVCCM uongozi walikuwa wanataka Nape hata UNEC avuliwe, leo Nape yupo sekretariet ya CCM...Hivi bila vijoka navyo kuvuliwa magamba si ni kuibuka bifu jingine kiutendaji kat ya Nape na UVCCM.
Sio Mshambaa ni Nshambaa............!. Yote hayo yamesababishwa na makamba mshambaa