Kima mdogo
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 303
- 46
Hawa wote ni vijana machachari ndani ya ccm, kwa maoni yako ni nani kati ya wawili hawa ni kiongozi bora mwenye heshima mbele ya jamii kwa uwezo mkubwa wa kujenga hoja na ni mfano wa kuigwa na viongozi wengine na jamii kwa ujumla?