Nape vs Lowassa

Nape vs Lowassa

Status
Not open for further replies.

Godwine

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2010
Posts
1,371
Reaction score
285
Je nini matokeo ya mnyukano kati ya LOWASSA na NAPE katika chama cha magamba? je nani anaelekea kukimbizwa kwenye chama
 
Nadhani huu wakati mwafaka kwa NAPE kujiondoa katika chama cha CCM na kujichimbia kaburi,sijui ni nani alimdaganya apambane na CAPITALIST LOWASSA NA WENZAKE WAWILI,kwa tukio la jana LOWASSA kushangiliwa kwa nguvu wakati akichangia hotuba ya waziri mkuu ilionyesha ni jinsi gani mtandao wake ulivyo nanguvu ndani ya wabunge wa CCM na ndiyo ule usemi wa kuwa asilimia 90% ya wabunge wa CCM Anawamiliki yeye jana ulidhihirisha kwa uma,NAPE anawakati mngumu sana.
 
Nadhani huu wakati mwafaka kwa NAPE kujiondoa katika chama cha CCM na kujichimbia kaburi,sijui ni nani alimdaganya apambane na CAPITALIST LOWASSA NA WENZAKE WAWILI,kwa tukio la jana LOWASSA kushangiliwa kwa nguvu wakati akichangia hotuba ya waziri mkuu ilionyesha ni jinsi gani mtandao wake ulivyo nanguvu ndani ya wabunge wa CCM na ndiyo ule usemi wa kuwa asilimia 90% ya wabunge wa CCM Anawamiliki yeye jana ulidhihirisha kwa uma,NAPE anawakati mngumu sana.

je kama nape akikimbia chama nini mustakabali wa aliyemtuma kusema vile yani jk na mukama nao watakuwa kwenye wakati gani
 
wengi si wabunge wa viti maalum hawana lolote,kama wanataka kumtambua yeye ni nan wampitishe kugombea urais'Nape nawe mwenye kiti wako akupe rungu la kweli asiwe mnafiki la sivyo watakutoa kafara macapitalisit hawa,kweli vita hiyo inataka nguvu ya pamoja .fukkuza kwenye chama kabla hajapata kucha..japo kuwa najua chama kitamfia mikonon kwa yeyote atkae kabidhiwa2015 hii ndo tz bwana,hao wanao mshangilia wanafiki adi kwa mwenykit wao coz yeye ndo aliye tangaza kuvua gamba.so iweje gamba lishangiliwe basi mwenyekiti muongo gamba bado jipya asubii lizeeke 2015 ndo alivue..wanafiki wakubwa wale ata chenge watamshangilia nae pia Rostam si twaongozwa kwa njaa ukiahidia buku na kitenge cha kanga twawapa kura leo unayo yasikia twasononeka but ukombozi wa kweli unakuja.
 
Godwine,
Kwa mtazamo wangu, silaha aliyonayo JK ni Preventive Detention act, and I believe, ni halali kabisa kuitumia dhidi ya Lowasa. Nipe wewe zako zinazokufanya kuamini kuwa Lowasa Demigod.
 
je kama nape akikimbia chama nini mustakabali wa aliyemtuma kusema vile yani jk na mukama nao watakuwa kwenye wakati gani
Ndugu yangu kijana mwenzetu NAPE alikurupuka kumbapambana na macapitalist,kwa upande wa MKam na Jk,mustakabali wao wapo tayari kukiua chama na kukigawa hasa JK kwa ajiri ya kumuandaa mtu wake ili kuja kumlinda baada ya utawala wake pamoja na mali zake mana ameshakuwa na maadui na marafiki zake wakubwa waliotumia pesa zao na pesa za kodi ya wananchi kumuweka IKULU rafiki yeye JK, na hapohapo kinalowassa wakiona usaliti mkubwa kwa JK kuwapa madaraka tena maadui zao wakubwa kina SITTA,MWAKYEMBE,hapohapo KUndi la kina lowassa likiwa na nguvu kwanzia NEC hadi kwa wabunge wa CCM,KIKWETE anawakati mgumu na chama kinaweza kupasuka kabisa mikonononi mwake,Hapo NI CONFLICT OF INTERECT
 
Godwine,Kwa mtazamo wangu, silaha aliyonayo JK ni Preventive Detention act, and I believe, ni halali kabisa kuitumia dhidi ya Lowasa. Nipe wewe zako zinazokufanya kuamini kuwa Lowasa Demigod.
Preventive Detention Act?????Kwa kosa lipi? Jk atoke kwanza, halafu hao wengine watatoka wenyewe, vinginevyo tupige porojo tu.
 
Lowasa amerudi toka Nigeria juzi juzi tu' siraha alizonazo Nape atajisalimisha mwenyewe.Lowasa ataondoka madarakan iwapo wananchi wakiamua na sio ccm.Kumbuka sasa hv n Mwenyekiti wa kamati ya bunge,mambo ya nje ulinzi na usalama!
 
Nadhani huu wakati mwafaka kwa NAPE kujiondoa katika chama cha CCM na kujichimbia kaburi,sijui ni nani alimdaganya apambane na CAPITALIST LOWASSA NA WENZAKE WAWILI,kwa tukio la jana LOWASSA kushangiliwa kwa nguvu wakati akichangia hotuba ya waziri mkuu ilionyesha ni jinsi gani mtandao wake ulivyo nanguvu ndani ya wabunge wa CCM na ndiyo ule usemi wa kuwa asilimia 90% ya wabunge wa CCM Anawamiliki yeye jana ulidhihirisha kwa uma,NAPE anawakati mngumu sana.

Poor analysis. Nani hajui kwamba wengi wa wabunge wa CCM walikuwa-sponsored na Lowassa? Kushangiliwa hakumaanishi chochote zaidi ya wajibu wa wapambe kwa master wao. Mwisho wa yote maamuzi ya chama hayachukuliwi bungeni, ni kwenye vikao vya chama ambavyo tayari vimeshaamua kwamba yeye na wenzake wapotee. Wewe unashangaa yeye kutawala bunge, mbona alipomuondoa Sitta na kujigawia kamati za bunge wote tulijua kwamba vikaragosi wale walikuwa wake? In this contest, losser ni Lowassa na yeye anajua na ndiyo maana anahangaika hata kufikia kufanya outsourcing ya nguvu za giza kutoka Nigeria. Maji ya shingo!
 
Nadhani huu wakati mwafaka kwa NAPE kujiondoa katika chama cha CCM na kujichimbia kaburi,sijui ni nani alimdaganya apambane na CAPITALIST LOWASSA NA WENZAKE WAWILI,kwa tukio la jana LOWASSA kushangiliwa kwa nguvu wakati akichangia hotuba ya waziri mkuu ilionyesha ni jinsi gani mtandao wake ulivyo nanguvu ndani ya wabunge wa CCM na ndiyo ule usemi wa kuwa asilimia 90% ya wabunge wa CCM Anawamiliki yeye jana ulidhihirisha kwa uma,NAPE anawakati mngumu sana.
Nape ni kichuguu lowasa ni mlima kilimanjaro mkiwafananisha hamumtrndei nape haki
 
Nyote ongeeni siku 11 zijazo zitajulikana mbivu na mbichi.
 
Nyote ongeeni siku chache zijazo zitajulikana mbivu na mbichi, ni kwetu watafukuzwa? Mtawajua wenye mguvu katika nchi hii.
 
Je nini matokeo ya mnyukano kati ya LOWASSA na NAPE katika chama cha magamba? je nani anaelekea kukimbizwa kwenye chama

Kati ya Lowassa na Nape ni nani aliyopo ktk nafasi ya maamuzi? Lowassa ni Mbunge (CCM) wa Monduli na ni Mwenyekiti wa Kamati ya Nje, Ulinzi na Usalama. Nape ni Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM na pia ni Mjumbe wa Secretariat ya CCM.
Secretariat inapendekezwa na Kamati Kuu ya Chama na Kuridhiwa na Halmashauri Kuu ya Chama. Inafanya kazi za Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya CCM. Mbunge anateuliwa na wananchi jimboni kwake kwa kazi za maendeleo ya jimbo. Kamati zote za Bunge zipo kwa mujibu wa KANUNI tu. Kazi yao kubwa ni KUSHAURI tu.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom