Advicer
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 533
- 272
CCM WANAENDA HATUA KUMI MBELE WANARUDI ISHIRINI NYUMA NA KUJIPONGEZA.
1 kwa mara ya kwanza katika historia ya vyamavingi nchini chadema ilisimamisha wagombea katika kata zote 29 bila kuacha hata moja.
2 ndani ya miezi 24 baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 tumeweza kushinda kata zetu zote zilizorudia uchaguzi mdogo kwa maana yaRombo na Mtibwa na kuchukua kata tatu mpya zilizokua za CCM baada ya uchaguzi
3 katika kipindi cha wiki tatu za kampeini tumekwenda katika vijiji 116 na kuuunda matawi mapya na kusimika uongozi wa kata namatawi.
4 ukichukua kura tulizopata 2010 kwenye hizo kata ukilinganisha na sasa hakuna kata hata mmoja ambayo kura zimepungua kwa asilimia maana yake ni kwamba tumeongeza kura kwa kiwango kikubwa.
5 pamoja na CCM kutumia rushwa na vitisho kupiga kuumiza na kujeruhi vviongozi na wanachama wetu bado tumezidi kuimalika kwamaana ya mtandao wa kichama na kuongeza wanachama wapya.
CCM KUSHANGILIA MATOKEO HAYA NI SAWA NAMTU ALIYEKUA NA WATOTO KUMI WAKIFA WAWILI ANAANZA KUJIPONGEZA WENYE AKILI WATAMSHANGAA MAANA ANAFURAHIA KIFO CHA WATOTO WAKE MWENYEWE.
MAKAMANDA ONGEZENI BIDII CCM INATOKA 2015.HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE.
1 kwa mara ya kwanza katika historia ya vyamavingi nchini chadema ilisimamisha wagombea katika kata zote 29 bila kuacha hata moja.
2 ndani ya miezi 24 baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 tumeweza kushinda kata zetu zote zilizorudia uchaguzi mdogo kwa maana yaRombo na Mtibwa na kuchukua kata tatu mpya zilizokua za CCM baada ya uchaguzi
3 katika kipindi cha wiki tatu za kampeini tumekwenda katika vijiji 116 na kuuunda matawi mapya na kusimika uongozi wa kata namatawi.
4 ukichukua kura tulizopata 2010 kwenye hizo kata ukilinganisha na sasa hakuna kata hata mmoja ambayo kura zimepungua kwa asilimia maana yake ni kwamba tumeongeza kura kwa kiwango kikubwa.
5 pamoja na CCM kutumia rushwa na vitisho kupiga kuumiza na kujeruhi vviongozi na wanachama wetu bado tumezidi kuimalika kwamaana ya mtandao wa kichama na kuongeza wanachama wapya.
CCM KUSHANGILIA MATOKEO HAYA NI SAWA NAMTU ALIYEKUA NA WATOTO KUMI WAKIFA WAWILI ANAANZA KUJIPONGEZA WENYE AKILI WATAMSHANGAA MAANA ANAFURAHIA KIFO CHA WATOTO WAKE MWENYEWE.
MAKAMANDA ONGEZENI BIDII CCM INATOKA 2015.HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE.