Nape umewafanya nini wamama wetu?

Nape umewafanya nini wamama wetu?

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2008
Posts
55,028
Reaction score
59,657
Kina mama wakigalagala chini baada ya kuingiwa na maneno ya Nape songea

wazee3.jpg
 
siasa za aina gani hizi aisee..sasa hapo wamefurahia nini? twiga kubebwa ama atcl kufa ama trc kufa ama ...dah sipati picha hadi negative zote sipati ..nape tuambie uliwadanganya nini hapo
 
Hao akina mama wamepandwa mapepo ya kimagamba, wanahitaji ukombozi wa kweli. Halafu mkutano unaonekana "ulikuwa na umati mkubwa sana wa watu"!!!!
 
Nape ulikumbuka kuwapa kanga za ccm ukasahau kuwapa hata kandambili ..ama ccm hamjaanza kutengeneza kandambili bado
DSC04369.jpg
 
wee nape mbona unatafuta laana?
kwa nini unachungulia mama zako?au ni mkutano wa injili?
 
Naona wamezoea kucheza ngoma ya mganga kwa hiyo hapo labda wanajikumbushia hivi, halafu naona kama sura zao za kizeezee hivi,

Muwasamehe wapo kwenye maigizo hao.
 
Watoto mtaachiwa radhi na mama zenu, nyie wafateni hao magwanda yasiyo na mpango. Mnaona kina mama zenu wanavyoishangilia CCM, sasa nyinyi jifanyeni mna akili kuliko wao.
 
Watoto mtaachiwa radhi na mama zenu, nyie wafateni hao magwanda yasiyo na mpango. Mnaona kina mama zenu wanavyoishangilia CCM, sasa nyinyi jifanyeni mna akili kuliko wao.

ndugu yangu tumuulize nape kawadanganya nini hawa mama zetu wa vijijini hadi wamejilaza chini chali huku akiwachungulia?
 
Hakuna hata kijana hapo na hao ndiyo watanzania wachache ambao wanaamini Nyerere yungali anaishi....alafu hapa si Songea mjini kakusanya wana vijiji tu pale mjini hawaambiwi kitu kuhusu GWANDA.
 
Hakuna hata kijana hapo na hao ndiyo watanzania wachache ambao wanaamini Nyerere yungali anaishi....alafu hapa si Songea mjini kakusanya wana vijiji tu pale mjini hawaambiwi kitu kuhusu GWANDA.

ama wanafurahia hii zawadi ya kanga?
 
walipewa elfu kumi kumi wakaambiwa walie ,sijawahi kuona ilani yakisiasa ikiwabaraguza watu haaaa PEPO LA GAMBA LILIWAINGIA HAWA HAMNA HATA WATU MKUTANONI WANAHUTUBIA MAPAMBO YAO HAHAHH
 
Wafanye kuwa masikini wa kutupwa....kisha uwatawale kirahisi!
 
Lakini kwa wastani ukiangalia wote waliolala chini ni above 75years of age. Nape anatakiwa kushtuka maana mshale wa saa unasogea tu.. Hizo ni siasa za kijima wamama wazima wanalala chini kwa sababu ya vuvuzela..
 
Du kwa comments hizi kweli watu wamechoka na CCM hamna hata mmoja aliyesifia Tungoje 2015
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom