Nape Umeonyesha Upendo Mkubwa leo

Nape Umeonyesha Upendo Mkubwa leo

Kinana na Nape ndio nguzo ya CCM wanafanya shughuli za chama kwa nia thabiti
 
Yaani ccm mnafurahia kutufanya watanzania omba omba na mnaaiita itikadi !!
Mwanaume kumuomba ela mwanaume mwenzie tena barabarani ni fedheha kubwa sana
usituhusishe wote sema wewe ndo ombaomba na familia yako
 
usituhusishe wote sema wewe ndo ombaomba na familia yako
We mwehu kweli! Aliyekwambia nakuhusisha nani? Au wewe ndio Ccm mwenyewe? Tuliza wenge hilo au na wewe ulikuwepo hapo barabarani nini kuomba pesa ya ghahawa !?
 
Dont be cheap to that extend!....fanya analysis ya mambo mabaya ambayo kawafanyia upizan kwa kipindi chote kwanza..... usiwe kama mwanamke ambaye hata akimfumaia mmewe kwenye kitanda chake akishikwa kiuno kidogo na mmewe husema nimekusamehe!
Wewe baki expensive, uone kama utaungishwa.
 
Wana CCM kwa Ujumla wao hawana bifu na Cdm.

Shida ipo kutoka juu.
 
Wadau
Leo mida ya mchana Mhesh Nape Nnauye alipita maeneo ya soko kuu Arusha karibu na kijiwe cha kahawa maarufu kwa makada wa chadema.
Kilichonifurahisha akiwa ndani ya gari lake makada hao wa chadema bila uoga walimfuata kumsalimia na kisha kumuomba Kada huyo wa CCM angalau awapatie hela kidogo kwa ajili kahawa na kashata.Bila kusita wala kujali itikadi tena kwa moyo wa ubinadamu na kuzingatia hali zao Mhesh Nape aliwapatia vijana hao hela kidogo kisha kuendelea na safari yake.Naamini Mhesh Nape alikuwa kwenye majukumu mazito yakichama lakini aliona nivema tena kwa busara kubwa atumie muda huo mfupi angalao kuwasikiliza na kuwasaidia makada hao wa Chadema.
Ukweli jambo hili ulilolifanya limenifurahisha sana kwani limeonyesha kuwa kwa CCM siasa sio uadui bali maendeleo. Kwa siku ya leo kumekuwa na utulivu eneo hilo na upendo umetawala.
Hongera sana Kada wa Chama cha Mapinduzi na Mbunge wa Mtama.
Karibuni.
Njaa chadema ni kali mno.
 
Waendelee tu kununuliwa kashata ... ndio mazungumzo yanapoanzia kuelekea MANUNUZI SOKONI.
 
The main message here is that Nape na genge lake walikuwa Arusha kufanya siasa kwenye majimbo ambayo si yao na kupeleka uzoefu wao wa kuiba kura. Ina maana kuwa maCCM yalikubaliana liwe liwalo ni lazima wagombea wao huko Arusha watangazwe washindi. Kama tulivyoshuhudia, haya majamaa yamedhamiria kutumia nguvu kumtoa Lema na Nassari. Ni lazima kujiandaa kwa mapambano katika uchaguzi ujao na damu zitamwagika.
 
Wadau
Leo mida ya mchana Mhesh Nape Nnauye alipita maeneo ya soko kuu Arusha karibu na kijiwe cha kahawa maarufu kwa makada wa chadema.
Kilichonifurahisha akiwa ndani ya gari lake makada hao wa chadema bila uoga walimfuata kumsalimia na kisha kumuomba Kada huyo wa CCM angalau awapatie hela kidogo kwa ajili kahawa na kashata.Bila kusita wala kujali itikadi tena kwa moyo wa ubinadamu na kuzingatia hali zao Mhesh Nape aliwapatia vijana hao hela kidogo kisha kuendelea na safari yake.Naamini Mhesh Nape alikuwa kwenye majukumu mazito yakichama lakini aliona nivema tena kwa busara kubwa atumie muda huo mfupi angalao kuwasikiliza na kuwasaidia makada hao wa Chadema.
Ukweli jambo hili ulilolifanya limenifurahisha sana kwani limeonyesha kuwa kwa CCM siasa sio uadui bali maendeleo. Kwa siku ya leo kumekuwa na utulivu eneo hilo na upendo umetawala.
Hongera sana Kada wa Chama cha Mapinduzi na Mbunge wa Mtama.
Karibuni.
Ala kumbe kupewa hela ya kashata na kahawa ndio kuonyesha upendo,mbona mnajidharirisha watu wazima mnaomba omba vihela vya kahawa bure kabisa nyie vijana wa Chadema
 
Day, inaonekana nyoyo za watu zimekongwa kwa kahawa na kashata, hadi iwe story ya watu kujadili. Hatuna kazi!!!
 
Dont be cheap to that extend!....fanya analysis ya mambo mabaya ambayo kawafanyia upizan kwa kipindi chote kwanza..... usiwe kama mwanamke ambaye hata akimfumaia mmewe kwenye kitanda chake akishikwa kiuno kidogo na mmewe husema nimekusamehe!
Duh! Mkuu punguza ukali wa maneno.
 
Hili ikiwa ngumu sana, hata kwa chai na kashara watu wananunulika tu.
 
Back
Top Bottom