dah kaka unaangusha watu , kweli hayo ni mawazo yake lakini ni bora ungemwambia kama alivyosema ni uongo au mmefanikisha kwa kiasi gani lakini kumwambia asinune si sahihi . Watu hawaikubali ccm sababu hawaoni mnalolifanya inawezekana mnafanya makubwa na mazuri lakini watu hawayajui sababu wakiuliza hawajibiwi badala yake wanashambuliwa. Ingekuwa poa kama ungetoa majibu ya maswali we ni kiongozi mkubwa watu wanategemea utawaambia mengi ya maana na jinsi mlivyo na mipango ya kujenga nchi kuliko kuwakashifuKwanza bahati mbaya sana kwako kuwa haya ni mawazo yako binafsi!! Halafu huna uwezo wa kushawishi kura hata moja kwa hoja zako na ndo maana huwezi hata kutumia jina lako halisi na Id yako halisi kwahiyo mtazamo wako hauna madhara kwa Imani ya Watanzania kwa CCM! Enddelea kuamini hivyo, lakini usinune mwaka 2014 na 2015 Watanzania watakapofanya uamuzi usioudhani!