Nape tueleze; serikali imeishiwa?

ELFU-ONEIR

Senior Member
Jun 27, 2012
181
64
hii serikali inayoongozwa na ccm ilisema tuipe madaraka ya kuongoza ili watuletee maisha bora lakini badala yake .......
1. Haiwezi kuwalipa walimu,
2. Haiwezi kulipa madaktari,
3. Haiwezi kuzuia mfumuko wa bei,
4. Haiwezi kuwawajibisha wafuja mali ya umma,
5. Haiwezi kutenganisha siasa, utawala na biashara,
6. Haiwezi kuboresha maslahi ya polisi,
7. Haiwezi kupunguza safari za raisi nje ya nchi,
8. Haiwezi kuingia mikataba mizuri ya madini kwaajili ya taifa zima,
9. haiwezi kuzalisha umeme wa kutosheleza mahitaji ya wana nchi wake,
10. Haiwezi hata kuthibitisha kama mlima kilimanjaro upo tanzania,
11. Haiwezi kujenga miundo mbinu bila kuchukua hela ya wafanyakazi huko kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.
12. Na pia haiwezi hata kulipa fedha ambazo imezikopa kutoka katika mifuko ya hifadhi ya jamii.
13. Yaan aibu .........
14. Hauwezi,..........
15. Haiwezi..........
Serikali hii imekua ni yakutembeza bakuli huko nje ya nchi

2015 mtakuja kusema tuwape ridhaa ya kuongoza nchi? Kwa kigezo kipi?
 
Bora utawala wa mkoloni kuliko wa CCM!maana mkoloni amefanya makubwa reli,meli mv liemba,victoria,bandari,elimu bora,mashamba na mazao ya biashara baada ya uhuru vyote vimekufa
 
Kwanza bahati mbaya sana kwako kuwa haya ni mawazo yako binafsi!! Halafu huna uwezo wa kushawishi kura hata moja kwa hoja zako na ndo maana huwezi hata kutumia jina lako halisi na Id yako halisi kwahiyo mtazamo wako hauna madhara kwa Imani ya Watanzania kwa CCM! Enddelea kuamini hivyo, lakini usinune mwaka 2014 na 2015 Watanzania watakapofanya uamuzi usioudhani!



hii serikali inayoongozwa na ccm ilisema tuipe madaraka ya kuongoza ili watuletee maisha bora lakini badala yake .......
1. Haiwezi kuwalipa walimu,
2. Haiwezi kulipa madaktari,
3. Haiwezi kuzuia mfumuko wa bei,
4. Haiwezi kuwawajibisha wafuja mali ya umma,
5. Haiwezi kutenganisha siasa, utawala na biashara,
6. Haiwezi kuboresha maslahi ya polisi,
7. Haiwezi kupunguza safari za raisi nje ya nchi,
8. Haiwezi kuingia mikataba mizuri ya madini kwaajili ya taifa zima,
9. haiwezi kuzalisha umeme wa kutosheleza mahitaji ya wana nchi wake,
10. Haiwezi hata kuthibitisha kama mlima kilimanjaro upo tanzania,
11. Haiwezi kujenga miundo mbinu bila kuchukua hela ya wafanyakazi huko kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.
12. Na pia haiwezi hata kulipa fedha ambazo imezikopa kutoka katika mifuko ya hifadhi ya jamii.
13. Yaan aibu .........
14. Hauwezi,..........
15. Haiwezi..........
Serikali hii imekua ni yakutembeza bakuli huko nje ya nchi

2015 mtakuja kusema tuwape ridhaa ya kuongoza nchi? Kwa kigezo kipi?
 
Bora utawala wa mkoloni kuliko wa CCM!maana mkoloni amefanya makubwa reli,meli mv liemba,victoria,bandari,elimu bora,mashamba na mazao ya biashara baada ya uhuru vyote vimekufa

Sio tatizo lako unaitwa BONGOLALA
 
Kwanza bahati mbaya sana kwako kuwa haya ni mawazo yako binafsi!! Halafu huna uwezo wa kushawishi kura hata moja kwa hoja zako na ndo maana huwezi hata kutumia jina lako halisi na Id yako halisi kwahiyo mtazamo wako hauna madhara kwa Imani ya Watanzania kwa CCM! Enddelea kuamini hivyo, lakini usinune mwaka 2014 na 2015 Watanzania watakapofanya uamuzi usioudhani!

Nape jibu hoja siyo kejeli na mipasho.haijengi ni bora uipotezee kuliko kulipuka.
 
Nape akiwa attacked personally analalamika, akipewa hoja analeta personal attacks. You want to know why we use fake ID's, ni kwa sababu tuko kwenye ukoloni wa mtu mweusi. Ukipinga chochote kwa nguvu unaishia MambwePande.
 
Kwanza bahati mbaya sana kwako kuwa haya ni mawazo yako binafsi!! Halafu huna uwezo wa kushawishi kura hata moja kwa hoja zako na ndo maana huwezi hata kutumia jina lako halisi na Id yako halisi kwahiyo mtazamo wako hauna madhara kwa Imani ya Watanzania kwa CCM! Enddelea kuamini hivyo, lakini usinune mwaka 2014 na 2015 Watanzania watakapofanya uamuzi usioudhani!

Nnauye jr kwani ndo nape? Mbona nape alishakana siku nyingi kuwa yeye hayupo JF
 
hii serikali inayoongozwa na ccm ilisema tuipe madaraka ya kuongoza ili watuletee maisha bora lakini badala yake .......
1. Haiwezi kuwalipa walimu,
2. Haiwezi kulipa madaktari,
3. Haiwezi kuzuia mfumuko wa bei,
4. Haiwezi kuwawajibisha wafuja mali ya umma,
5. Haiwezi kutenganisha siasa, utawala na biashara,
6. Haiwezi kuboresha maslahi ya polisi,
7. Haiwezi kupunguza safari za raisi nje ya nchi,
8. Haiwezi kuingia mikataba mizuri ya madini kwaajili ya taifa zima,
9. haiwezi kuzalisha umeme wa kutosheleza mahitaji ya wana nchi wake,
10. Haiwezi hata kuthibitisha kama mlima kilimanjaro upo tanzania,
11. Haiwezi kujenga miundo mbinu bila kuchukua hela ya wafanyakazi huko kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.
12. Na pia haiwezi hata kulipa fedha ambazo imezikopa kutoka katika mifuko ya hifadhi ya jamii.
13. Yaan aibu .........
14. Hauwezi,..........
15. Haiwezi..........
Serikali hii imekua ni yakutembeza bakuli huko nje ya nchi

2015 mtakuja kusema tuwape ridhaa ya kuongoza nchi? Kwa kigezo kipi?

inayotumia mahakama kama mhimili wake kuzima haki ya watanzania
 
Kwanza bahati mbaya sana kwako kuwa haya ni mawazo yako binafsi!! Halafu huna uwezo wa kushawishi kura hata moja kwa hoja zako na ndo maana huwezi hata kutumia jina lako halisi na Id yako halisi kwahiyo mtazamo wako hauna madhara kwa Imani ya Watanzania kwa CCM! Enddelea kuamini hivyo, lakini usinune mwaka 2014 na 2015 Watanzania watakapofanya uamuzi usioudhani!

watakucheka wewe,usijifanye huelewi ni jinsi gani hatuwapendi.
 
Waungwana mhishiwa nape analeta dharau. Anahisi kama mimi sina ushawishi. Bt yeye akazane kuwashawishib walimu madaktari, majobless, wamachinga na wengineo yakuwa ccm ndio nkombozi wao then tuone 2015 atatokea mlango gani. Coz kwajinsi tunavyoyataka mabadiliko nikama hata yatokee kesho ili hiki chama cha wakoloni weusi kitie akili.
 
Waungwana mhishiwa nape analeta dharau. Anahisi kama mimi sina ushawishi. Bt yeye akazane kuwashawishib walimu madaktari, majobless, wamachinga na wengineo yakuwa ccm ndio nkombozi wao then tuone 2015 atatokea mlango gani. Coz kwajinsi tunavyoyataka mabadiliko nikama hata yatokee kesho ili hiki chama cha wakoloni weusi kitie akili.

Hahahahhahahahahahahahaaaaaaaaaa!
 
Ile ahadi ya kuigeuza kigoma kama Dubai bado mpango hupo?

Pia ni shukuru kwa ushirikiano wako japo siko upande wako.angalia usipate harufu ya ufisadi maana wewe ni kijana mdogo.
 
Ile ahadi ya kuigeuza kigoma kama Dubai bado mpango hupo?

Pia ni shukuru kwa ushirikiano wako japo siko upande wako.angalia usipate harufu ya ufisadi maana wewe ni kijana mdogo.

Hilo na kigoma kuwa dubali nasita kusema ni day dream....nilikuwa nafuatilia mkutano wao ujawa na sound toka kwa mawaziri wanakumbushia ahadi na mipango ambayo imekuwa ikitumika wakati wa kampeni.kwa kifupi sijaelewa msingi wa mikutano yao nimemuliza Nape theme ya mikutano(jangwani,rukwa na kigoma ni nini?ajajibu.
 
Kwanza bahati mbaya sana kwako kuwa haya ni mawazo yako binafsi!! Halafu huna uwezo wa kushawishi kura hata moja kwa hoja zako na ndo maana huwezi hata kutumia jina lako halisi na Id yako halisi kwahiyo mtazamo wako hauna madhara kwa Imani ya Watanzania kwa CCM! Enddelea kuamini hivyo, lakini usinune mwaka 2014 na 2015 Watanzania watakapofanya uamuzi usioudhani!


Mkuu Nape anadai haya ni mawazo binafsi ya mleta hoja kwa hiyo hayana madhara kwa jamii pana ya Watanzania!
Ningependa kueleza kuwa hata wazee wetu walipoanza harakati za kusaka uhuru,wakoloni waliamini na walidai kuwa hayo yalikuwa ni madai binafsi ya Watanganyika wachache na kwa hiyo koloni lingeendelea kubaki salama!
Yaliyotokea baadaye sote tunayajua.
Mkuu Nape nakuhakikishia kuwa huna haja ya kujua majina halisi ya wachangiaji,muhimu ni hoja zao!
 
Kwanza bahati mbaya sana kwako kuwa haya ni mawazo yako binafsi!! Halafu huna uwezo wa kushawishi kura hata moja kwa hoja zako na ndo maana huwezi hata kutumia jina lako halisi na Id yako halisi kwahiyo mtazamo wako hauna madhara kwa Imani ya Watanzania kwa CCM! Enddelea kuamini hivyo, lakini usinune mwaka 2014 na 2015 Watanzania watakapofanya uamuzi usioudhani!


Nape Nape Nape!haya tuingoje 2014,
 
Wee kilaza napee!

kumbe ndio maana mzee makamba alitaka 'kukuchinjia baharini' mshukuru 'sana dhaifu'
 
hii serikali inayoongozwa na ccm ilisema tuipe madaraka ya kuongoza ili watuletee maisha bora lakini badala yake .......
1. Haiwezi kuwalipa walimu,
2. Haiwezi kulipa madaktari,
3. Haiwezi kuzuia mfumuko wa bei,
4. Haiwezi kuwawajibisha wafuja mali ya umma,
5. Haiwezi kutenganisha siasa, utawala na biashara,
6. Haiwezi kuboresha maslahi ya polisi,
7. Haiwezi kupunguza safari za raisi nje ya nchi,
8. Haiwezi kuingia mikataba mizuri ya madini kwaajili ya taifa zima,
9. haiwezi kuzalisha umeme wa kutosheleza mahitaji ya wana nchi wake,
10. Haiwezi hata kuthibitisha kama mlima kilimanjaro upo tanzania,
11. Haiwezi kujenga miundo mbinu bila kuchukua hela ya wafanyakazi huko kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.
12. Na pia haiwezi hata kulipa fedha ambazo imezikopa kutoka katika mifuko ya hifadhi ya jamii.
13. Yaan aibu .........
14. Hauwezi,..........
15. Haiwezi..........
Serikali hii imekua ni yakutembeza bakuli huko nje ya nchi

2015 mtakuja kusema tuwape ridhaa ya kuongoza nchi? Kwa kigezo kipi?
Nape kwa ufupi anatakiwa aseme - TUMETHUBUTU TUMESHINDWA TUACHIE MADARAKA
 
Back
Top Bottom