ELFU-ONEIR
Senior Member
- Jun 27, 2012
- 181
- 64
hii serikali inayoongozwa na ccm ilisema tuipe madaraka ya kuongoza ili watuletee maisha bora lakini badala yake .......
1. Haiwezi kuwalipa walimu,
2. Haiwezi kulipa madaktari,
3. Haiwezi kuzuia mfumuko wa bei,
4. Haiwezi kuwawajibisha wafuja mali ya umma,
5. Haiwezi kutenganisha siasa, utawala na biashara,
6. Haiwezi kuboresha maslahi ya polisi,
7. Haiwezi kupunguza safari za raisi nje ya nchi,
8. Haiwezi kuingia mikataba mizuri ya madini kwaajili ya taifa zima,
9. haiwezi kuzalisha umeme wa kutosheleza mahitaji ya wana nchi wake,
10. Haiwezi hata kuthibitisha kama mlima kilimanjaro upo tanzania,
11. Haiwezi kujenga miundo mbinu bila kuchukua hela ya wafanyakazi huko kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.
12. Na pia haiwezi hata kulipa fedha ambazo imezikopa kutoka katika mifuko ya hifadhi ya jamii.
13. Yaan aibu .........
14. Hauwezi,..........
15. Haiwezi..........
Serikali hii imekua ni yakutembeza bakuli huko nje ya nchi
2015 mtakuja kusema tuwape ridhaa ya kuongoza nchi? Kwa kigezo kipi?
1. Haiwezi kuwalipa walimu,
2. Haiwezi kulipa madaktari,
3. Haiwezi kuzuia mfumuko wa bei,
4. Haiwezi kuwawajibisha wafuja mali ya umma,
5. Haiwezi kutenganisha siasa, utawala na biashara,
6. Haiwezi kuboresha maslahi ya polisi,
7. Haiwezi kupunguza safari za raisi nje ya nchi,
8. Haiwezi kuingia mikataba mizuri ya madini kwaajili ya taifa zima,
9. haiwezi kuzalisha umeme wa kutosheleza mahitaji ya wana nchi wake,
10. Haiwezi hata kuthibitisha kama mlima kilimanjaro upo tanzania,
11. Haiwezi kujenga miundo mbinu bila kuchukua hela ya wafanyakazi huko kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii.
12. Na pia haiwezi hata kulipa fedha ambazo imezikopa kutoka katika mifuko ya hifadhi ya jamii.
13. Yaan aibu .........
14. Hauwezi,..........
15. Haiwezi..........
Serikali hii imekua ni yakutembeza bakuli huko nje ya nchi
2015 mtakuja kusema tuwape ridhaa ya kuongoza nchi? Kwa kigezo kipi?