Nape TBC: Anawajua samaki walioko majini vema?

Profesa

JF-Expert Member
Oct 28, 2010
905
624
"Samaki ukimtoa majini hana nguvu, chama ni taasisi na kina nguvu, ukitaka kuwa na nguvu inabidi uwe ndani ya chama, bila chama mwanasiasa huwezi kuwa na nguvu, tutawatoa majini hawa" Nabe Mnauye, Jambo Tanzania, TBC 19 January 2012.

Ni muda sasa tangu Magamba mpaka sasa Samaki. Sijui nini kilichotokea Magamba yakawa shida kuyatoa ssa sijui wamegunduaje kuwa magamba ya samaki hayatolewi akiwa anaogelea majini lile lilikuwa wazo la kitotot, sasa wanataka kuwatoa majibi wanawafahamu samaki wenyewe vema ili wajue jinsi ya kuwatoa majini? maana wasije wakaishia pabaya wao...

Kama kijana nampongeza kwa nguvu ya kauli anazozitoa ila ninamtaka aongeze nguvu ya kupata support ya wazee waadilifu maana shida ni tumeshuhudia akitoa kauli zenye nia njema tu kuboresha chama lakini samaki haohao wamekuwa wakimbeza na kumfanya wakati mwingine aonekane kituko
 
"Samaki ukimtoa majini hana nguvu, chama ni taasisi na kina nguvu, ukitaka kuwa na nguvu inabidi uwe ndani ya chama, bila chama mwanasiasa huwezi kuwa na nguvu, tutawatoa majini hawa"

Ni muda sasa tangu Magamba mpaka sasa Samaki. Sijui nini kilichotokea Magamba yakawa shida kuyatoa ssa sijui wamegunduaje kuwa magamba ya samaki hayatolewi akiwa anaogelea majini lile lilikuwa wazo la kitotot, sasa wanataka kuwatoa majibi wanawafahamu samaki wenyewe vema ili wajue jinsi ya kuwatoa majini? maana wasije wakaishia pabaya wao...

Kama kijana nampongeza kwa nguvu ya kauli anazozitoa ila ninamtaka aongeze nguvu ya kupata support ya wazee waadilifu maana shida ni tumeshuhudia akitoa kauli zenye nia njema tu kuboresha chama lakini samaki haohao wamekuwa wakimbeza na kumfanya wakati mwingine aonekane kituko

Ama hakika nguvu ya Mamba iko Kumayi kumchanga anaburuta!!
 
Nimemsikiliza vizuri sana leo. kweli alikua anaongea pointi nzuri sana. Lakini hofu yangu tu ni kwamba hawa samaki wanaotaka kutolewa baharini je uwezo wa kuwatoa wanao?.
 
I've once said this, and am saying it again. Ukitaka kutupa mtu nje ya ghorofa kuwa makini, mkaenda wote au balaa zaidi utupwe wewe uwaache wenzio.
 
I've once said this, and am saying it again. Ukitaka kutupa mtu nje ya ghorofa kuwa makini, mkaenda wote au balaa zaidi utupwe wewe uwaache wenzio.

nape anashindwa kuelewa kuwa yeye katika hao samaki ni dagaa tu je anaweza kuwatupa nje ya maji hao papa? aangalia mfano wa dhana ya kujivua gamba kule dodoma alikuaje mpole? asitake kuleta hadithi ya mwanga wa mshumaa ambao unawaka kwa kiburi cha kuondoa giza mwisho wa siku unaangamia na ukizimika tu giza linaendelea
 
Nape akae akijua kuwa kwenye maji si samaki pekee, hata nyangumi wapo, asifikiri technics za kuvua samaki ndo zile zile za kuvua papa na nyangumi.


By the way Nape he is good boy.
 
Nape acha kudanganya watanzania,ww mwenyewe ni mmoja wa vijana ndani ya ccm ambao unasumbuliwa na tamaa ya kutafuta umaarufu,mawazo unayotoa si zakwako ni la kundilinalotafuta madaraka.Nani asie jua kuwa tatizo la kwanza la ccm ni uwezo mdogo wa mwenyekiti wake,kila kukucha jina lingine mara magamba na leo hi samaki,wafukuzeni kama kweli mna uwezo.Nikueleze kama CCM ni maji yanayotunza samaki wa namna hiyo basi dawa ni kukausha hayo maji ili wafe na sio kuwa dimbwi pembeni(ccj),ww ndani ya hayo maji nimdudu tu na hujawa hata dagaa.NAPE NAUYE tumekuchoka sana na danganya toto zako.
 
huyu anaongea utumbo,hajui wajibu wake ndani ya chama,si alisema ataweka hadharani sms zote alizokuwa anatumiwa na jk kumtukana lowassa,mbona mpaka leo hajafnya hivyo? sijaona hata agenda moja waliofanikisha,kapewa vx new model na driver kazi sifur anabaki kuvaa cheni kama bwabwa....tumechoka kusikia upuuzi wao>....
 
"Samaki ukimtoa majini hana nguvu, chama ni taasisi na kina nguvu, ukitaka kuwa na nguvu inabidi uwe ndani ya chama, bila chama mwanasiasa huwezi kuwa na nguvu, tutawatoa majini hawa" Nabe Mnauye, Jambo Tanzania, TBC 19 January 2012.

Ni muda sasa tangu Magamba mpaka sasa Samaki. Sijui nini kilichotokea Magamba yakawa shida kuyatoa ssa sijui wamegunduaje kuwa magamba ya samaki hayatolewi akiwa anaogelea majini lile lilikuwa wazo la kitotot, sasa wanataka kuwatoa majibi wanawafahamu samaki wenyewe vema ili wajue jinsi ya kuwatoa majini? maana wasije wakaishia pabaya wao...

Kama kijana nampongeza kwa nguvu ya kauli anazozitoa ila ninamtaka aongeze nguvu ya kupata support ya wazee waadilifu maana shida ni tumeshuhudia akitoa kauli zenye nia njema tu kuboresha chama lakini samaki haohao wamekuwa wakimbeza na kumfanya wakati mwingine aonekane kituko

Kma unawajua samaki wa sangara za ziwa victoria miaka ile ya zamani walikuwepo wakubwa sana wengine kama size ya mtu mzima....... mpaka kilo 30.

asa Nape kama anategema Kuwatoa hao samaki "sangara" kwa kutumiamia Ndoano asahau. Asije aauta anazidiwa nguvu nasangara ananvuta majini. Ndano itawachomoa Sato tu . Wale sangara wanahitaji nyavuboti za uvuvu zlizojipanga vema.

Tena hata sangara nimekosoea huyo wanyetakaiwa kumtoa ili "baharini" yaani CCM iwe safi ni "Nyangumi
 
Nape hana sera, notin new.. Samaki, magamba, kuwakomesha story tu. Anajazwa ujinga ikulu, anakurupuka. Hafikirii,hana strategy, hana agenda wala targets.

Kwangu mimi naona he is a failure in life, he is a failure in his position and he is failing the party and killing it.. Akiguswa kdogo anakurupuka. Hana vision ya aina yoyote.
 
Kijana mwenzetu Nnauye, sikwasababu baba yako alikuwa one of mafisadi wa chichini enzi hizo, napenda kukwambia kuwa ukisikia mbwa anapiga kelele saaaaaaana ujuwe ni muoga anajihami adui asifike karibu, kama unauwezo wakuwatoa samaki majini je, ni samaki wapi? labda wakuwafuga sebuleni lkn siyo wale ambao ushahidi unao au huna lakini uwezo huna wakufanya lolote, na pia nakuhakikishia kuwa one day utachukiwa na kundi kubwa sn kwa kubwabwaja maneno badala ya kutekeleza ki intelegensia, kama unaushahidi kuw avijisent ni mali ya wa Danganyika umeshindwa kumtoa kafara? kama ELnae unaushahidi fanya wacha poroja za kila siku au unataka kuwa Mwakiembelise nini? wacha fanya tuone siyo kuwa shekhe yahaya kutabiri tu na mwisho utabiri usitokee, juu yako, unajikusanyia maadui kwa wingi kuliko mrafiki.
be watchfull with ur lips.
 
Haya tusikie Propaganda Mpya "Kuvua Samaki" nimependa hiyo ya ukivua samaki lazima uwe na mbinu na umjue samaki unaemvua, usije ukaenda na ndoana ya papa, Nyangumi akaidaka ukadhani umevua papa mkubwa ukang'angana nae mwisho unatumbukia wewe baharini, afu kuogelea umeanza juzi tu wenzako wameishi humo maisha yao yote
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom