Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 905
- 624
"Samaki ukimtoa majini hana nguvu, chama ni taasisi na kina nguvu, ukitaka kuwa na nguvu inabidi uwe ndani ya chama, bila chama mwanasiasa huwezi kuwa na nguvu, tutawatoa majini hawa" Nabe Mnauye, Jambo Tanzania, TBC 19 January 2012.
Ni muda sasa tangu Magamba mpaka sasa Samaki. Sijui nini kilichotokea Magamba yakawa shida kuyatoa ssa sijui wamegunduaje kuwa magamba ya samaki hayatolewi akiwa anaogelea majini lile lilikuwa wazo la kitotot, sasa wanataka kuwatoa majibi wanawafahamu samaki wenyewe vema ili wajue jinsi ya kuwatoa majini? maana wasije wakaishia pabaya wao...
Kama kijana nampongeza kwa nguvu ya kauli anazozitoa ila ninamtaka aongeze nguvu ya kupata support ya wazee waadilifu maana shida ni tumeshuhudia akitoa kauli zenye nia njema tu kuboresha chama lakini samaki haohao wamekuwa wakimbeza na kumfanya wakati mwingine aonekane kituko
Ni muda sasa tangu Magamba mpaka sasa Samaki. Sijui nini kilichotokea Magamba yakawa shida kuyatoa ssa sijui wamegunduaje kuwa magamba ya samaki hayatolewi akiwa anaogelea majini lile lilikuwa wazo la kitotot, sasa wanataka kuwatoa majibi wanawafahamu samaki wenyewe vema ili wajue jinsi ya kuwatoa majini? maana wasije wakaishia pabaya wao...
Kama kijana nampongeza kwa nguvu ya kauli anazozitoa ila ninamtaka aongeze nguvu ya kupata support ya wazee waadilifu maana shida ni tumeshuhudia akitoa kauli zenye nia njema tu kuboresha chama lakini samaki haohao wamekuwa wakimbeza na kumfanya wakati mwingine aonekane kituko