Nape sasa amtaka Mbowe ajiuzulu

Nape sasa amtaka Mbowe ajiuzulu

Naunga mkono hoja. Mh. Mbowe ajiuzulu haraka sana.

NA WANAOFANYA NCHI KUWA OMBA OMBA JEE?walioharibu elimu tanzania jee?wanaowalaza wagonjwa 4 hospitalini kitanda kimoja jee?ama kweli wewe bongolala kama nape
 
Mbowe ni aibu kwa upinzani. Anadharirisha kambi ya upinzani bungeni.
 
Halafu Ndugai afunguliwe mashitaka kwa kushindwa kuliongoza bunge na. Kukiuka kanuni za bunge
 
Chadema imewashika pabaya,ziara ya kinana na nape chadema hutajwa mara 800 kuliko wenyeji ccm
 
mbona katika kuongea hayo yote sijasikia au kuona manahali muandishi anasema wakati anasema hayo wananchi walikuwa wanamshangilia ssana? Au nape alikuwa anahutubia miti na mawe
 
Mh.MBOWE alishawahi tamka kuwa nape,mwigulu hawezi jibizana nao kwa kuwa Mh.MBOWE amewazidi matahira kwa kila kitu umri,pesa,vyeo,elimu ya vitendo sio vyeti vya kununua india,kisiasa kumbuka bila ya baba yake mbowe huenda nyerere asingekwenda uk kwa malkia kuomba uhuru!
 
Ajihuzulu makinda+Ndugai kwakusababisha hizo fujo na siyo Mbowe!
 
Mh.MBOWE alishawahi tamka kuwa nape,mwigulu hawezi jibizana nao kwa kuwa Mh.MBOWE amewazidi matahira kwa kila kitu umri,pesa,ustaarabu,vyeo,elimu ya vitendo sio vyeti vya kununua india,kisiasa kumbuka bila ya baba yake mbowe huenda nyerere asingekwenda uk kwa malkia kuomba uhuru!
 
nape aliambiwa atafute familia yake kwanza badala ya kuhangaika na chadema vp kwani alishaipata? nauliza tu jamani.
 
Mbowe kule kwenye mziki ndiyo palimfaa sana ni vema akarudi kuendesha muziki.
 
Mh.MBOWE alishawahi tamka kuwa nape,mwigulu hawezi jibizana nao kwa kuwa Mh.MBOWE amewazidi matahira kwa kila kitu umri,pesa,vyeo,elimu ya vitendo sio vyeti vya kununua india,kisiasa kumbuka bila ya baba yake mbowe huenda nyerere asingekwenda uk kwa malkia kuomba uhuru!
Unajua elimu ya mbowe wewe na unakumbuka kuwa mbowe alipata zero kidato cha sita na hana elimu nyingine sasa kawazidi elimu gani.
 
Lakini siku anaondoka mbowe madarakani labda cdm ife kwamba kile chama ni chake hakuna mtu wa kumwambia kitu ndani na nje ya chadema ,jamani cdm ni ya mbowe.

Mkuu Simiyu yetu umenichekesha kweli cku naona inaanza vyema kwa kuongea jambo linaloonekana kama kweli kabla sijanawa uso..nitalichunguza tena baadae ili nijiridhishe na usahihi wake.Lakini pia usisahau CCM nayo itakufa baada ya familia ya kifalme kuondoka pale Ikulu au hukumbuki wataalamu walishagundua na kutangaza itamfia?Hebu mkumbushe Nape kabla ya kuondoa kibanzi kilichondani ya jicho la mwenzio ondoa boriti iliyo ktk jicho lako ..kuna penye fujo kama CCM ambao walishafanikisha kuzalisha wakimbizi wa TZ kwa mara ya kwanza kwa mkono wa Chuma?Naomba kuwasilisha.

Kama Nape anaamini alichokisema hapa chini mbona anatokwa povu na kutumia nguvu nyingi kiasi hicho kupambana na CDM na wala siyo wapinzani?

Hata hivyo, alisema hilo halitafanikiwa kwa sababu Serikali, CCM na Watanzania wapo makini dhidi ya mtu yeyote anayepanga kuwachonganisha
 
siamini kama wanaotetea ccm humu ndani wana akili timam vinginevyo wapo kwenye mfumo na pia ni mafisadi. Haingii akilini mwenye akili timam kufumbia macho ujinga wa 'liwalo na liwe', ndugai na mwenzie bi kiroboto. Wajiudhuru kwanza hao na muuza sembe mkuu pamoja na mwanae ndio wengine wafuate.
 
Siku zote ambapo utakuta Nape anahutubia lazima atamtaja Mbowe,Dr Slaa au Chadema asipowataja hiyo siyo hotuba

Hivi Nape hauna cha kuongea? Lazima uongelee Chadema? Mbona nchi ina matatizo na mapungufu mengi tu yanayowakabili Watanzania? Yote hayo hauyaoni we tatizo ni Chadema tu?

Halafu Nape hivi ukiongea polepole watu hawawezi kukusikia mpaka uongee kwa kutumia nguvu nyingi ndio unasikika au ni ulimbukeni kwamba ukiongea kwa nguvu ndiyo inaonyesha msisitizo?

Nadhani kama hautabadili style yako ya kuongea iko siku utajikuta una kansa ya koo au utajisaidia haja kubwa kwenye suruali
 
Kwa nini nape asijiuzulu kwanza yeye kwa kuungana na mafisadi? Pia amwambie Ndugai ajiuzulu kwa kuongoza bunge kama kamati ya ccm!
 
Siku zote ambapo utakuta NEPI anahutubia lazima atamtaja Mbowe,Dr Slaa au Chadema asipowataja hiyo siyo hotuba

Hivi Nepi hauna cha kuongea? Lazima uongelee Chadema? Mbona nchi ina matatizo na mapungufu mengi tu yanayowakabili Watanzania? Yote hayo hauyaoni we tatizo ni Chadema tu?

Halafu Nepi hivi ukiongea polepole watu hawawezi kukusikia mpaka uongee kwa kutumia nguvu nyingi ndio unasikika au ni ulimbukeni kwamba ukiongea kwa nguvu ndiyo inaonyesha msisitizo?

Nadhani kama hautabadili style yako ya kuongea iko siku utajikuta una kansa ya koo au utajisaidia haja kubwa kwenye suruali
 
Back
Top Bottom