Nape Nnauye ndani ya 'mkasi'

Nape Nnauye ndani ya 'mkasi'

Alitoa kauli hiyo jana kwenye kipindi cha mikasi kinachorushwa na kituo cha EAT!Pamoja na kauli nyingi za matusi,alijinadi kuwa angegombea Ubungo Mnyika asingeshinda!INASHANGAZA sana huyu jamaa anachoongea!

Hivi ana ubavu wa kushindana na Mnyika?
Kuna slogan wanakuja nayo kuwa Lema hajafanya lolote Arusha kwamba zilikuwa fujo tu!Inaonekana kuwa hawa jamaa wana lengo la kuwasumbua na kuwapotezea muda wa kuwatumikia wananchi ili wapoteze imani nao!
 
Ameshindwa na lile Sha......ngi, angemuweza Mnyika huyo??kichwa kimejaa maji ,apambane kwanza na masha......ni yao halafu aje tumchagulie kata ya kugombea Udiwani Bagamoyo.
 
CCM wakati mnatafakari kurudisha majimbo mliyo poteza kwenye ndoto zenu za alinacha, mkumbuke pia na nyinyi mtapoteza ya kutosha kwa kuwa siasa yenu nisawa na kujaza maji kwenye pipa lililotoboka so mnafanya kazi bure ila kwa kuwa mnataka kujisifu ingawa kidogo endeleeni lakini safari ijayo lazima tuzidishe watu mwenye akili na si wapiga meza na kusinzia na hao watu makini lazima watoke nje ya chama cha majambazi, wazee wa mvua za indonesia, wazeee wa vijisenti, wazee wa meremeta na mengineyo.
 
Duu mkulu unanitisha kwa kusema dr slaa ni kiongozi bora ndani ya upinzani.viongozi bora upinzani ni mbowe.zitto.hamad rashid na mbatia
 
Ameshindwa na lile
Sha......ngi, angemuweza Mnyika huyo??kichwa kimejaa maji ,apambane
kwanza na masha......ni yao halafu aje tumchagulie kata ya kugombea
Udiwani Bagamoyo.

uwe na adabu ww, utajisikiaje mzazi ako akiitwa kwa jina hilo?mnyika ndo nani asishindwe?
 
Lakini tuwe wakweli,
Nape ameongea vizuri na ameonyesha upeo na hekima.
Aidha, tusitarajie mtu wa chama tawala akifagilie chama cha upinzani.
Ameonyesha ustaarabu katika maelezo yake !
Mkuu nimependa avatar yako
 
Back
Top Bottom