Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,948
- 710
Kila kiongozi ana staili yake ya kuvutia hadhara waweze kumsikiliza pale anapokuwa anaongea nao.
1. Kikwete yeye huwa anakenua meno kuonyesha ulimbwende wake katika categoty ya ku-smile. Pia huwa anajifanya ni mkali wa wale viongozi wazembe au fisadiz (in background, anarudi kuwakenulia meno).
2. Makamba Sr. yeye alikuwa anawavutia watu kwa kutumia vifungu ya biblia na koran kwa wakati mmoja, na wakati mwingine aidha alitoa jokes au yeye mwenyewe kuwa jokes.
3. Sasa kaja kijana Nape Nnauye. Ameamua kubeba jukumu la kutetea familia ya fisadi aidha kwa makusudi au kwa kutotambua kuwa Mwenyekiti wake (Taifa) pamoja na familia yake ni fisadiz. Na yeye kaja na staili yake kuwavutia hadhara lakini sina hakika kama inasaidia au la.
Wadau nyie mnafikiria nini kuhusu legacy yake kama inavyoonekana katika hizi picha hapa chini?
1. Kikwete yeye huwa anakenua meno kuonyesha ulimbwende wake katika categoty ya ku-smile. Pia huwa anajifanya ni mkali wa wale viongozi wazembe au fisadiz (in background, anarudi kuwakenulia meno).
2. Makamba Sr. yeye alikuwa anawavutia watu kwa kutumia vifungu ya biblia na koran kwa wakati mmoja, na wakati mwingine aidha alitoa jokes au yeye mwenyewe kuwa jokes.
3. Sasa kaja kijana Nape Nnauye. Ameamua kubeba jukumu la kutetea familia ya fisadi aidha kwa makusudi au kwa kutotambua kuwa Mwenyekiti wake (Taifa) pamoja na familia yake ni fisadiz. Na yeye kaja na staili yake kuwavutia hadhara lakini sina hakika kama inasaidia au la.
Wadau nyie mnafikiria nini kuhusu legacy yake kama inavyoonekana katika hizi picha hapa chini?