jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,293
Hii maana yake nini.. Bado Membe... Kinana na Makamba.
Wacha tuendelee subiri.
Lazima wakaombe msamaha wote hao muda utaongea
Hii maana yake nini.. Bado Membe... Kinana na Makamba.
Wacha tuendelee subiri.
If you can't beat join himRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo pamoja na Mbunge wa Mtama Nape Nnauye aliyefika Ikulu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuomba msamaha mara baada ya kuzungumza na wanahabari. Hii ni baada ya mazungumzo yao pamoja na kusamehewa kosa aliliofanya miezi michache iliyopita.
Pia soma;
Imevuja sauti inayodaiwa ni Maongezi ya Simu ya Nape Nnauye na Abdulrahman Kinana kuhusu njama za kuichafua CCM
Ni kuhusu barua iliyotolewa na Makamba na Kinana kuhusu kuchafuliwa na Musiba. Ni Maelekezo ya Kinana Kumtaka Nape aisambaza barua kwenye vyombo vya habari. Kinana: Mwambie bwana hawa jamaa wanatoa statement leo, Unafikiri tumpe nakala? [Nape: Hapana] Mwambie wanaiandaa Mzee wataitoa leo...www.jamiiforums.com
Mwe.hu wewe, nape ndo mpiga kura pekee kusini? kama kuna jambo litanifanya nisimwelewe JPM ni kuwashirikisha hao wapuuzi kwenye siasa za CCM tena, kusamehewa na JPM as a person ni jambo moja, kusamehewa kwa kukiuka kanuni na taratibu za chama na kusamehewa na chama ni swala jingine.
Ndo shida yake sasa media za nn mambo binafsi na wanaujua mazaifu yake ndo wanatoboaJiwe linapenda kuabudiwa sana.
CDM inaingiaje hapo?Mambo ya CCM pambaneni na hali zenu huko huko CCM!Hee hee. Mnaanza kuhamisha magoli sasa. Hata aibu hamna. Mimi nilishawambia huu mtindo wa upinzani wa kushabikia mtu yeyote anayempinga rais Magufuli utazidi kuwaporomosha. Hawakujifunza kwa kina Lowassa, Wema na wengineo wengi? Chadema wataishia kutumika kama choo tu. Subirini na Nyalandu ni muda tu atawatoroka.
Kweli kabisa. Maana ameweza kumtoa January uwaziri. Asingeshindwa kumkata jina 2020.Magufur Anauwezo wa kuwaengua kwenye mchakato wa kura za maoni 2020 na akampitisha mgombea namba2 na 2025 wakigombea tena kwenye kupitishwa na ccm ili wawe wagombea ubunge magufur ana wahengua tena , kwaiyo January na Nap wameliona ilo wangejifanya manunda ubunge wageusikia kwe Redio tu, ingebid wasubili mbaka 2030 magufur atakuwa ana nguvu tena, Maana 2025 kipind cha uchaguz magufur anakuwa bado Raisi na mwenyekiti wa chama.
Hivi sisiem wanategemea KURA kukaa jumba jeupe kweli? Don't kid yourself brotherMagu anamuhitaji Nape kwasababu anahitaji kura za watu wa kusini.
Bado Lisu.
..Magufuli ameogopa kuwafukuza.
..hawa wana mizizi mirefu ktk chama.
..pamoja na kuomba msamaha haiondoi au kufuta mitizamo waliyonayo kuhusu Magufuli.
Ulitaka afanyaje mkuu?Naona taasisi ya uraisinashuahwa hashi, hii haikupaswa kuongelewa na rais kwa public
Mizizi gani, tume ya kwake angeshindwa niniSawa yeye kaogopa kuwafukuza, na wao pamoja na mizizi hiyo waliyonayo wameshindwa kujiondoa?
Kuiba kuna watu maalumu si kila MTU.Angekuwa awahitaji asingewasamehe.Uchaguzi upo karibuni soon pesa zitaanza kuonekana mtaani msahau shida zetu.Usicheze na mwanasiasa.Nape ndo anamuhitaji Magu. Nyie huwa mnasema CCM huwa inaiba kura. Sasa kama wanaweza kushinda kwa kuiba kura kwa nini wamuhitaji Nape?
Nape ndo anamuhitaji Magufuli.