Nape Nnauye hustahili kumpiga mkwara Lissu wewe ndiye kinara wa kutukana viongozi tena ndani ya Chama chako umemtukana sana Hayati Magufuli

Nape in short alitakiwa kuwa anapambana na korosho kwa kariba yake. Kwanza hana guts za kumface Mange angemvua bukta hadharani. Pili amemtukana sana Mwamba Magu , Tatu hana kifua cha kumface Antipus kwani huyu kwa sasa ni global figure . na bado kamwita barozi polepole kiroboto ati hiyu nae anatikisa kichwa kwenye baraza . Pfuuu .
 
Hawa ndio wallianzisha ubaguzi, ukabila, ukanda, udini kwa kuja na sera zao kama Sukuma gang, makabila flani washamba, makatili, wajinga.

Hao ndio wanalenga teuzi flani kwa milengo ya dini, ushkaji, undugu.
Wanatengeneza tatizo wao wenyewe na hao hao ndio wanataka kutatua tatizo-(mchezo wa danadana)- wamesahau ile siku- Mchungaji Msigwa aliwahi kuwaambia kule bungeni, " problem cannot be solved by same level of thinking that created them". Labda wamesahau. umewakumbusha vyema.
 
Nnauye ni moja kati ya mawaziri 00000 kichwani, ni ajabu sana anapewa wizara nyeti kwa sababu za kisiasa pasipo kuangalia mustakabali wa majukumu yake kwa mustakabali wa maendeleo ya nchi, hichi ni kielelezo tosha cha kwanini mtu mweusi ni kama amelaaniwa hivi
 
Huyu Nape , ni mnafiki na anawakilisha viongoz wanafiki. Kwanza ni wazir wa habari, si kwamba ana sifa za kuwa wazir wa habari, la hasha, ni wazir wa, habari kwa kuwa tu baba yake alikuwa chawa na Mumbaji mtumbuizaji wa Nyerere na wenzake. Yaan huyu jamaa ni bumunda haswa.
Right
 
Ningependa kujua kama ina maana yoyote, maana kutamka hilo jina unaweza ukakata ulimi bure
Nigra- A layer of deeply pigmented gray matter situated in the middle brain and containing a cell bodies a tract of dopamine producing nerve cells whose secretion tends to be deficient in parkinson's disease.

Strata-layer/ rock on a ground

Nerve- cable like bundles, fibres, wires in the body, mostly in the brain


Anajaribu kujilinganisha na mfumo unaozalisha nerve cells katika Ubongo, nadhani hiyo ndiyo centre ya fikra inayotofautisha kiwango Cha kufikiri kati ya mtu na mtu.
 
Nape Nnauye ni mfano mbaya wa Viongozi wa Tanzania napata Mashaka hata namna alivyopata nafasi kubwa serikalini hii inamaanisha kuwa Kuna Nepotism kubwa sana serikalini kimsingi Nape Moses Nnauye hakutakiwa kuwa hata balozi kwa sababu ni kiongozi mwenye mdomo mchafu uliojaa matusi.

Mara kadhaaa tumeshuhudia Nape Nnauye akimtukana Magufuli tena kwa kumdhalilisha anapata wapi credibility ya kumdhalilisha Mheshimiwa Antipas Tundu Lissu.

Nape amenukuliwa Mara Kazaa akimtukana Lowasaa lakini hakuona aibu.

Nape kwa nini hajamtukana na kumpinga Mange kimambi ambaye kutwa kila kukicha anamdhalilisha Mheshimiwa Rais na tunasema ajitafakari sana huyu.

Pia soma Nape Nnauye: Nashangaa Watanzania wanaokwenda kusikiliza upuuzi wa Lissu. Tumkemee, tumtenge na tumlaani
Msoga naye hakuachwa salama
 
Nigra- A layer of deeply pigmented gray matter situated in the middle brain and containing a cell bodies a tract of dopamine producing nerve cells whose secretion tends to be deficient in parkinson's disease.

Strata-layer/ rock on a ground

Nerve- cable like bundles, fibres, wires in the body, mostly in the brain


Anajaribu kujilinganisha na mfumo unaozalisha nerve cells katika Ubongo, nadhani hiyo ndiyo centre ya fikra inayotofautisha kiwango Cha kufikiri kati ya mtu na mtu.
You are an enigma to me not because of your political views, rather how can someone who appear to be so rationale politically.only the next day to appear fully promoting spiritual viewpoints (heavenly beliefs).

Your view points makes you very contradicting based on how we see you and what you stand for.

Surely a politician, can’t promote religious movement nakuwa nashangaa sana napokuona una pamba au kupinga mitume, vitu ambavyo avifanani na uwezo wako. You don’t come across as that spiritual kwenye jukwaa la siasa kuangaika na upuuzi wa mambo ya dini.

That’s just my thought of you
 
You are an enigma to me not because of your political views, rather how can someone who appear to be so rationale politically.only the next day to appear fully promoting spiritual viewpoints (heavenly beliefs).

Very contradicting on who you are
Usishangae,

Mungu anatuleta siasani kunyoosha mapito ya HAKI baada ya wanasiasa kushindwa WAJIBU wao.

Popote palipo na Kweli na HAKI utanikuta.

Hizi ni siku za mwisho usisahau, ground za mapambano zinahama hama.
 
Usishangae,

Mungu anatuleta siasani kunyoosha mapito ya HAKI baada ya wanasiasa kushindwa WAJIBU wao.

Popote palipo na Kweli na HAKI utanikuta.

Hizi ni siku za mwisho usisahau, ground za mapambano zinahama hama.
I never thought you were that spiritual, mpaka baada ya kuona mada zako kwenye majukwaa mengine. Mind you, you are entitled to that viewpoint,

My bad inawezekana tatizo ni mimi, labda nategemea wote humu kwenye jukwaa la siasa mtazamo wetu ni kanuni za siasa.

Be you and godbless 🙏🙏🙏
 
You are an enigma to me not because of your political views, rather how can someone who appear to be so rationale politically.only the next day to appear fully promoting spiritual viewpoints (heavenly beliefs).

Your view points makes you very contradicting based on how we see you and what you stand for.

Surely a politician, can’t promote religious movement nakuwa nashangaa sana napokuona una pamba au kupinga mitume, vitu ambavyo avifanani na uwezo wako. You don’t come across as that spiritual kwenye jukwaa la siasa kuangaika na upuuzi wa mambo ya dini.

That’s just my thought of you
Kuna mahusiano ya karibu sana kati ya unachokiita dini na siasa.

Wanasiasa wote ni waumini wa unazoziita dini.

Na waumini wa Dini pia ndio wapiga kura.


Sisi walimu wa imani tunawatrain waumini wetu kutopokea RUSHWA na kutoiba Mali za umma, lakini wakiingia katika uongozi, mfumo ovu unawabadili kuwa wezi na Wala RUSHWA.

So kama mwalimu, lazima ujue nini Hasa kinawabadili WEMA kuwa waovu wakiingia siasani.

Hapo ndipo inaibuka haja ya kunyoosha na kuifumua mifumo ovu huko siasani BILA kusahau Kupambana na viongozi wa Dini matapeli.

Nia ni kuliona Taifa linapona katika angle zote,

Na huu ndio utume tulioitiwa.

Nadhani unaifahamu KAZI aliyoifanya Martin Luther king, Desmond tutu, Askofu Mwamakula, Mbarikiwa nk nk.
 
I never thought you were that spiritual, mpaka baada ya kuona mada zako kwenye majukwaa mengine. Mind you, you are entitled to that viewpoint,

My bad inawezekana tatizo ni mimi, labda nategemea wote humu kwenye jukwaa la siasa mtazamo wetu ni kanuni za siasa.

Be you and godbless 🙏🙏🙏
Mimi ni mtumishi katika HAKI kabisa.

Nimetumwa siasani kuyanyoosha mapito na kuhakikisha HAKI na Kweli inatawala juu ya nchi.

Ubarikiwe.
 
KigNaomba mwenye kumbukumbu yoyote humu Jf inayo elekeza shutuma chafu za Mange dhidi ya ccm au viongozi wa kuu wa Nchi Nape Moses Nauye aliwahi kuishambulia au kumshambulia Mange!!?

Huyu Nape Moja kwa Moja ni Mshirika wa Kigogo asilimia mia kwa mia

Huyu Nape pia Moja kwa Moja ni mshirika wa Mange!!!

Lini na wapi amesha wakosowa watu hao nilizo wataja hapo kuu

Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Mama Raisi wa Tz


Nchi ya kinafiki sana tunasafari ndefu ya kufika Kanani
KIGOGO MANGE NNAUYE
 
Tukisema matusi basi vinara wa matusi wapo CCM. Matusi mliyomtukana EL (RIP) mnafikri tumesahau. Mkamdhalilisha Jaji Warioba pale ubingo plaza.
 
Makonda Kama uko humu na unanisikia, mtaje anaye miwezesha kibaraka kumtukana mama. Kama ni hilo Bumunda andazi au kitumbua, watumbue.
 
Back
Top Bottom