Nape Nnauye CCM, take CARE MY BRO

kinganola

Senior Member
Aug 16, 2011
117
30
Napenda kuchukua nafasi hii kukushauri ewe katibu uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, najua upo katika harakati za kutekeleza azma ya mapinduzi katika chama kama kinavyo julikana.

Ushindi kiduchu wa asilimia 61 wa uprezidaa mlioupata umeporomoka toka ule wa mwaka 2005 wa asilimia 100,sasa hapo inaonyesha kuna madudu mengi CC imeyafanya na wa Tz wamegutuka na kusepa, kama mmeweza kupoteza asilimia zaidi ya ishirini, kwa hesabu za kawaida tu, mwaka 2015 mkipoteza tena zingine 20, mtapata asilimia 40 au chini ya hapo na ndo itakuwa mwisho wa CCM, sasa bro najua unatumia nguvu kubwa sana kusafisha chama na kuwakomalia vinara wa ufisadi waachie ngazi.

Baba huo moto huuwezi, hiyo vita itakupeleka pabaya,watakumaliza. Uko mmoja wako zaidi ya Mia moja, kama vipi sepa Chama no usalama wako, other wise watakupoteza... Ushauri wa bure,ni mimi mwana CCJ, mi nimesha sepa.
 
kama umesepa ni wewe2 kwa kuwa ulikuwa na interests zako bnafs yeye mwache mwny uchungu na chama na nchi yke pia ktk kukiweka ktka form nzur..na nan amekudanganya kuwa anaepambana na ufsad n yeye peke yake?!MWACHE afanye kaz yake
 
Sina cha kuongeza,sepa kijana wangu, watakumaliza,hawana utu hao.
Napenda kuchukua nafasi hii kukushauri ewe katibu uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, najua upo katika harakati za kutekeleza azma ya mapinduzi katika chama kama kinavyo julikana.

Ushindi kiduchu wa asilimia 61 wa uprezidaa mlioupata umeporomoka toka ule wa mwaka 2005 wa asilimia 100,sasa hapo inaonyesha kuna madudu mengi CC imeyafanya na wa Tz wamegutuka na kusepa, kama mmeweza kupoteza asilimia zaidi ya ishirini, kwa hesabu za kawaida tu, mwaka 2015 mkipoteza tena zingine 20, mtapata asilimia 40 au chini ya hapo na ndo itakuwa mwisho wa CCM, sasa bro najua unatumia nguvu kubwa sana kusafisha chama na kuwakomalia vinara wa ufisadi waachie ngazi.

Baba huo moto huuwezi, hiyo vita itakupeleka pabaya,watakumaliza. Uko mmoja wako zaidi ya Mia moja, kama vipi sepa Chama no usalama wako, other wise watakupoteza... Ushauri wa bure,ni mimi mwana CCJ, mi nimesha sepa.
 
Nape , kuna FISADI jingine limeogezeka , MSEKWAa ,
huyu atavua gamba lini ?
Sasa huyu Msekwa ni nani atakayemuita kwenye vikao vya kumuonya? Maana yeye ndo alikuwa akiwaonya mapacha watatu. Kweli CCM hakuna msafi. Kila mtu ni fisadi kulingana na nafasi yake.
 
hayo ni wazo na maono yako lakini mi ninachoona huyu nape yupo kimaslahi zaidi na ninahisi hii kazi ya uenezi inalipa kuliko ukuu wa wilaya we siunaona jamaa kaitema kiaina..

kila la kheli ndugu nape kwa kusaifisha nguo yenye madoa ya oili chafu kwa kutumia sabuni ya puff..
 
Chama cha magamba yaani CCM wana ka msemo kao kwamba chama cha majangili (CCM) ina ina wenyewe.Nape yupo ki-njaa njaa zaidi. Pamoja na hayo NAPE inabidi awe makini kwani anacheza ngoma asiyoijua. Hawa jamaa anaopambana nao ndo waasisi wa chama hata kabla nape hajazaliwa.Zea4 nape anapoteza mda wake bure,kujipa presha,frastrations na kuongeza maadui bure.Baba Ridhiwani amemtoa kafara NAPE.Mda si mrefu mtaona matokeo yake.Je, NAPE anaweza fuata nyayo za AMINA chifupa?
 
Nape anasikitisha maana anapambana vita ya peke yake hayuko na mkama, msekwa wala M kwer e sasa atashinda vipi hiyo bora fuata ushauri sepa uende CCJ. 6 atakufuta tu.
 
<br />
<br />
Usisahau .....THE STRONGEST MAN INTHE WORLD IS THE ONE WHO STANDS ALONE"


je kauli hii inamaana katika CC ya CCM umebaki mwenyewe kwenye msimamo wa kumshinikiza Lowassa? je mukama na kikwete wamekutelekeza?

Mnauye jr. kwanini wamekukataza kwenda igunga wakati wewe ni katibu mwenezi huoni kuwa wewe ndio ingekuwa mtu wa kupanga na kukiokoa chama wakati kama huu. je unadhani nini kazi ya katibu mwenezi kama ukizuiliwa kwenda sehemu fulani kama igunga?
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Usisahau .....THE STRONGEST MAN INTHE WORLD IS THE ONE WHO STANDS ALONE&quot;
<br />
<br />
Who is that strongest left in ccm, all are dead or no where to be seen!
 
kama umesepa ni wewe2 kwa kuwa ulikuwa na interests zako bnafs yeye mwache mwny uchungu na chama na nchi yke pia ktk kukiweka ktka form nzur..na nan amekudanganya kuwa anaepambana na ufsad n yeye peke yake?!MWACHE afanye kaz yake
Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 18th August 2011
Posts : 6
Rep Power :
 
je kauli hii inamaana katika CC ya CCM umebaki mwenyewe kwenye msimamo wa kumshinikiza Lowassa? je mukama na kikwete wamekutelekeza?

Mnauye jr. kwanini wamekukataza kwenda igunga wakati wewe ni katibu mwenezi huoni kuwa wewe ndio ingekuwa mtu wa kupanga na kukiokoa chama wakati kama huu. je unadhani nini kazi ya katibu mwenezi kama ukizuiliwa kwenda sehemu fulani kama igunga?

CC kumkataza Nape na Chilagati kwenda kwenye kampeni za uchaguzi mdogo Igunga inamaanisha CCM haijivunii operesheni vua gamba. Nape na Chilagati walipaswa kwenda Igunga na Kuwataarifu wana-Igunga ni nini sababu ya kumvua Rostam gamba lake leupe yaani kama CDM walivyokwenda kuwaambia wana-Arusha nin sababu za kuwapiga chini madiwani kadhaa wa arusha wakiongozwa na yule rasta simba mlanyama.Yaani CCM haitaki kudhihirisha kuwa Rostam ni fisadi ili wanachi wanaompenda Rostam wampigie kura mgombea mpya wa CCM.
 
CC kumkataza Nape na Chilagati kwenda kwenye kampeni za uchaguzi mdogo Igunga inamaanisha CCM haijivunii operesheni vua gamba. Nape na Chilagati walipaswa kwenda Igunga na Kuwataarifu wana-Igunga ni nini sababu ya kumvua Rostam gamba lake leupe yaani kama CDM walivyokwenda kuwaambia wana-Arusha nin sababu za kuwapiga chini madiwani kadhaa wa arusha wakiongozwa na yule rasta simba mlanyama.Yaani CCM haitaki kudhihirisha kuwa Rostam ni fisadi ili wanachi wanaompenda Rostam wampigie kura mgombea mpya wa CCM.

sasa kama huu ndio uelekeo wenyewe unadhani kwanini katibu mwenezi aendelee kuwepo kwenye kundi hili si bora ajiuzulu ili jamii watambue kuwa ni mtu mwenye msimamo

daima namtambua sana Mnauye jr. toka katika mapambano yake ndani ya UVCCM na nadhani ni mwanasiasa ambaye angekuja kuwa mwanasiasa makini mbeleni lakini mfumo wa CCM ndio auwezi kumruhusu kuwa hivyo na mtandao umejaribu kumweka karibu na kujifanya unamtetea kipindi alichotishiwa kufukuzwa ndani ya CCM na baada ya hapo wanamtumia kama kinga dhidi ya kushambuliwa moja kwa moja na kundi lililokataa kuendelea kuwa chini ya mtandao

Mnauye jr. mwenendo wako wa siasa unaokwenda nao si sahihi haiwezekani wewe uwe katibu mwenezi na mjumbe wa CC ndani ya chama lakini waweze kukuweka kwenye chupa
 
Back
Top Bottom