Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,328
Magamba hayajaisha yameongezeka mengine! Sasa hivi kuna gamba Msekwa, kuna gamba Uda kuna gamba torosha wanyama! Na tayari na Nape nae anaonekana ni gamba kwa mapacha 2. Yeye anataka kuwang'oa kama magamba na wao lazima wana deal kama gamba kwao. Kazi kweli kweli yani ni mwendo wa magamba kuanzia ngazi ya shina mpaka taifa.
Heri chama hili la magamba life na kupumzika kwa amani ili Nape awe yatima mazima maana kasha mpoteza baba aliekuwa kada wa chama hiki hiki kinacho chungulia kaburi.
Heri chama hili la magamba life na kupumzika kwa amani ili Nape awe yatima mazima maana kasha mpoteza baba aliekuwa kada wa chama hiki hiki kinacho chungulia kaburi.