tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,318
Huwa najaribu kuzisoma tweets za Mh Nape Nnauye zinagusa sana maisha ya Mtanzania halisi haswa yule wa chini kabisa ambaye kiukweli huyo ndiye anayejua shida za Tanzania wengine huwa tunaogopa tu shida lakini kuna wenye shida hasa.
Sasa hizi tweets za huyu Mheshimiwa sana angezitoa wakati ule ni Waziri akitumia V8 kwa usafiri wa kila siku hakika jina lake lingekuwa kubwa sana na kutamalaki kila kona ya nchi hii.
Sasa hizi tweets za huyu Mheshimiwa sana angezitoa wakati ule ni Waziri akitumia V8 kwa usafiri wa kila siku hakika jina lake lingekuwa kubwa sana na kutamalaki kila kona ya nchi hii.