Mbona kuna mgombea mmoja wa urais ana asili ya kichaa ameongea live kwenye TV kwamba lazima ashinde yeye tu, na akasema kama hakuchaguliwa na wananchi hapa patakua hapatoshi!! mmemchukulia hatua gani nyie machadema?Nape mbona alishaahidi kuwa atapiga wapinzani mbele waziri mkuu na video ipo au hamkumuelewa ? Huyu Ni Pimbi wa kutupa.
Hizo figisu za kishamba za Nape zimegonga mwamba
Mgombea wanaye anaitwa ABDUL TWAHIRI MLAWA
Yamepita yapi mkuu mpaka sasaJimbo la tano ilo mgombea anapita bila kupingwa.ngoja tusubiri mengine.
Chadema wanavunja sheria kwa makusudi wakijua nguvu na kelele za mitandao zitawapitisha kumbe ndo wanaachia majimbo yanachukuliwa kiulaiini kabisa.
Kuuza jimbo si amgeingia mitini tu!Iweje akamatwe?Shame!Hawa wagombea wa CHADEMA saa zingine wanauza majimbo tusimsingizie Nape, itakuwa ameona hilo jimbo ni gumu akaamua Ku settle for less mkono uende kinywani. Njaa mwanamalegeza.
Mawazo yako...uhalisia hatuujuiHawa wagombea wa CHADEMA saa zingine wanauza majimbo tusimsingizie Nape, itakuwa ameona hilo jimbo ni gumu akaamua Ku settle for less mkono uende kinywani. Njaa mwanamalegeza.
aunamcho mapana ya kuona.Yamepita yapi mkuu mpaka sasa
Tume ya Uchaguzi ipi unayoisema.Nape asijidanganye , tayari Chadema ishawasilisha taarifa Tume ya Uchaguzi , hizi njama za kijinga anazofanya Nape zitamgharimu
Nape siyo takukuru, CDM acheni utoto.Hizo figisu za kishamba za Nape zimegonga mwamba
Wanauza majimbo maana wanajua hawana ubavu wa kushinda.Jimbo la tano ilo mgombea anapita bila kupingwa.ngoja tusubiri mengine.
Chadema wanavunja sheria kwa makusudi wakijua nguvu na kelele za mitandao zitawapitisha kumbe ndo wanaachia majimbo yanachukuliwa kiulaiini kabisa.