Nape: Nchi hii ina wenyewe na wenyewe ni CCM!

huyu dogo akili zake ni fupi nampa pole sana kwa sababu mpaka saizi ajajua nini afanye kwenye ulingo wa siasa anatapatapa afute kauli yake na atutafutie nchi sisi ambao siyo wana magamba
 
....hahaha! Labda wamekwiba sura yake wakaweka kwa luninga.
Si yeye.
Humu si walimwibia ID yake wakaweka matokeo ya Igunga.....
 
Kauli kama hizi siyo ngeni kutoka kwa Nape, nasisitiza itakuja kutu cost sana siku moja especially huu mfumo wa kisultani wanaojaribu kuujenga ndani ya chama, Nape anataka tuamini kwamba hata sisi wana CCM ambao hatuna GODFATHERS ndani ya chama hatuwezi kupata nafasi za uongozi nilikuwa na hisia kwamba CCM ni chama cha wakulima na wafanyakazi wa nchi hii na siyo familia fulani fulani tu ndani ya chama i was wrong na Katibu mwenezi kathibitisha mwenyewe leo.
 
Nahisi CCM ina matatizo makubwa zaidi kuliko tunavyojua. Nape amekua anaropoka hovyo,hakuna wa kumkemea. Nchemba napata shida kama amesoma,basi hakuelimika. Wote wawili wana jazba,na kwa kweli hawana mvuto.
 
Taarifa ITV muda huu namwona Nape anadai nchi hii ina wenyewe na wenyewe ni chama cha mapinduzi! Hivi huyu mtu ana akili kweli? Ina maana wote wasio katika CCM hawana haki na hii nchi?


Maneno ya mkosaji hayo, mwacheni aendelee kuwa na mawazo mgando , asubiri 2015 ndipo ataona kuwa wenyewe ni wananchi na siyo Chama Cha Majambazi
 
Taarifa ITV muda huu namwona Nape anadai nchi hii ina wenyewe na wenyewe ni chama cha mapinduzi! Hivi huyu mtu ana akili kweli? Ina maana wote wasio katika CCM hawana haki na hii nchi?

oh me! how do you convert liabilities into assets?
 
Samahani kidogo naomba wana jamvi mnijuze elimu ya huyu nape. Kwasababu anashindwa kutumia hata akili za kuzaliwa kusoma alama za nyakati kweli magamba ni vilaza wa ukweli
 
Nimemfananisha Nape na mtoto wa gadhaffi juu ya kauli zake kwa wa libya,lakini sasa anaishi mafichoni na cockroach wako tripol.
Jaji Warioba alisema haioni serikali ya Tanzania iliyopo ni serikali ya CCM.

Bwana elimu kwanza..heshima mkuu maana nimecheka sana baada ya kusoma post yako.....cockroach wako Tripoli na jamaa wako mafichoni tehe tehe tehe.....
 
Samahani kidogo naomba wana jamvi mnijuze elimu ya huyu nape. Kwasababu anashindwa kutumia hata akili za kuzaliwa kusoma alama za nyakati kweli magamba ni vilaza wa ukweli

Huna hata haja ya kujua elimu yake maana anaonekana tu kama kweli alikanyaga na hayo madarasa wala hayakumsaidia....ukitaka kujua kuwa anafikilia kwa kutumia masikio na sio akili ni pale anavyolipuka kwa kusikia watu wanasema nini kando.....nilishamsikia akilipuka kwa kusikia watu wanavyokuwa wanalalama.......alafu mshaurini maana anakokwenda sio ataathirika kisiasa ila hata kiafya....
 
nchi hii bila kupigana hakutakuwa na adabu na hizo kauli zisizo na kichwa wala Miguu hazitakoma.

Kauli kama hizo zilikuwapo Kenya tu hapo, ilikuwa kila siku ni lazima usikie kebehi na ngebe za Kalonzo Musyoka, au Uhuru Kenyatta au George Saitoti au Martha Karuwa.

Ila sasa hivi kuna adabu na wanaheshimiana baada ya kutiana mapanga na silaha za Sumu.

Amini kuwa mwanadamu ulizaliwa ili ufe.
 
Taratibu atakuja kugundua kwamba kauli yake ilikuwa na mapungufu makubwa pale tu muda utakapokuwa unatoa kauli kumbuka muda hauna mdomo hivyo namwonea huruma atashindwa kuunyamazisha kwa namna yoyote "time wil tell "
 
Si bure lazima Nape atakuwa na problem,uwezo wake wa kufikiri unapungua Siku hadi Siku..Tumuombee jamani arudi kwenye Hali yake ya zamani..
Regia,

Think outside the box.

Kumbuka, JK alishatwambia kuwa "Anachoongea Nape ndio msimamo wa chama" na hivyo napenda kujiaminisha kuwa NDIVYO alivyotumwa na chama na kupewa baraka na mwenyekiti wa chama aongee kwa watanzania kwa ujumla wao.

SASA, watanzania tutaendelea kudharauliwa kiasi hiki mpaka lini? Hivi kweli sisi tusio na vyama hatuna chetu Tanzania hii? Na CHADEMA mkija kuingia madarakani (endapo itatokea) mtatufanyia dharau za namna hii?

Hivi wanasiasa mnajua tumewavumilia sana? Mnajua mnaanza kututia vidole machoni sasa?

Nape, tutake radhi watanzania. Waweza kudai hukumaanisha inavyoonekana au ilivyoelezwa na watu lakini nikiri kuwa kauli hii INAKERA hasa kwa sisi tusio na vyama vya siasa; wachilia mbali wapinzani wenu kisiasa. Labda kama umeongopewa si wewe uliyeongea haya.
 
1478815_1296045936.jpg


Kasomeni hiki kitabu.... NY Times bestseller, Acheni ushabiki!!
 
Regia,

Think outside the box.

Kumbuka, JK alishatwambia kuwa "Anachoongea Nape ndio msimamo wa chama" na hivyo napenda kujiaminisha kuwa NDIVYO alivyotumwa na chama na kupewa baraka na mwenyekiti wa chama aongee kwa watanzania kwa ujumla wao.

SASA, watanzania tutaendelea kudharauliwa kiasi hiki mpaka lini? Hivi kweli sisi tusio na vyama hatuna chetu Tanzania hii? Na CHADEMA mkija kuingia madarakani (endapo itatokea) mtatufanyia dharau za namna hii?

Hivi wanasiasa mnajua tumewavumilia sana? Mnajua mnaanza kututia vidole machoni sasa?

Nape, tutake radhi watanzania. Waweza kudai hukumaanisha inavyoonekana au ilivyoelezwa na watu lakini nikiri kuwa kauli hii INAKERA hasa kwa sisi tusio na vyama vya siasa; wachilia mbali wapinzani wenu kisiasa. Labda kama umeongopewa si wewe uliyeongea haya.

Mkuu ushaenda kusoma hiki kitabu? Ni vitu vya kawaida kwa vyama vinavyoongoza kwa muda mrefu kusema hivyo. Until you prove them otherwise!
Naomba usinipe BAN, and this is not thinking outside of the box, this shows that THERE'S NO BOX!!

!
1478815_1296045936.jpg


Chegg does not guarantee CDs, access codes, or lab manuals with this book.


ISBN: 0253285917

ISBN-13: 9780253285911



PUBLISHER: Indiana University Press
AUTHORS: Francis Meli
South Africa Belongs to Us: "... Meli combines the insights of an insider with sound scholarship." -- Patrick O'Meara"Meli's book is a welcome addition to the literature on South Africa." -- L. E. Meyer, Choice"... the book is written in a sober, matter-of-fact style with a minimum of invective and rhetoric. Packed with quotations and thoroughly annotated, it appeals to reason more than the emotions and deserves to be taken seriously as history rather than dismissed as propaganda or myth making." -- The New York Review of Books"This book is clearly the most important one written on South Africa during the last decade." -- Nature, Society, and Thought"... made the case for the ANC's central role as South Africa's historic movement for economic justice as well as racial and political democracy." -- Journal of African HistoryIn this history of the African National Congress, Francis Meli demonstrates that the party is central to the future of South Africa. British, American, and other Western governments have finally recognized that no South African settlement is possible without dealing with the ANC. «Show less
South Africa Belongs to Us: "... Meli combines the insights of an insider with sound scholarship." -- Patrick O'Meara"Meli's book is a welcome addition to the literature on South Africa." -- L. E. Meyer, Choice"... the book is written in a sober, matter-of-fact... Show more»
Rent South Africa Belongs to Us today, or search our site for other Meli africa textbooks. Every textbook comes with a 21 day "Any Reason" guarantee.
 
Si bure lazima Nape atakuwa na problem,uwezo wake wa kufikiri unapungua Siku hadi Siku..Tumuombee jamani arudi kwenye Hali yake ya zamani..
usiwe naive hivyo mdogo wangu

Nape ni kichaa... period!!!

Huewzi katika tension iliyopo ukaenda mbele za watu na kuongea kama una laana ya kulala na mamayako mzazi huku akijua the country is almost split 50/50

where does this nutty nut place people who dont have any affiliation with politics? what about non-CCMers??

if he comes near me for any reason i will kick his ass
 
Invisible... nimetuma post ya angalizo kwa nape mmeitoa?? Ok, what i said may not be my personal voice, i am just a messenger
 
Back
Top Bottom