Nape nauye asema UKAWA wasirudi bungeni

Nape nauye asema UKAWA wasirudi bungeni

Mjomba unapoambiwa kuwa bila ukawa katiba haiandikiki huelewi? Ama kweli sisiemu wamewafanya watu wao kama misukule. Yaani hata masuala ya kawaida mnashindwa kubaini. Sasa shughuli gani itaendelea na wakati ushasikia bila ukawa katiba haipo. Huna hata aibu?

spiritual hero;
Uko sahihi mkuu. NEPI ni chizi kama chizi yeyote. Mimi nakwambia kuna mijitu ya CCM inaudhi na inakarihisha ile mbaya. Sheria ya Mabadiliko ya Katiba iko wazi kabisa kwamba ili Sura au Kifungu kiweze kupitishwa kinahitaji kuungwa mkono kwa 2/3(Theuluthi 2) kwa pande zote za Muungano kwa maana ya Tanganyika na Zanzibar!

Sasa kama UKAWA wako nje na hawa ndiyo wanahitaji ndani ya BMK ili kukamilisha AKIDI ya 2/3 kwa pande zote,hiyo Katiba utaipitisha vipi bila ya UKAWA.Hivi Nepi hawezi kujiuliza kwanini Mwenyekiti wa BMK Mhe. Sitta aliamua kuwafuata UKAWA kule Zanzibar ili kuwabembeleza warudi Bungeni???

Lakini pia hata Rais wao Kiwete ameona umuhimu wa UKAWA kuwepo kwenye BMK na ndiyo maana juzi kasema kuwa Katiba ikishindikana basi! Kiwete ameshaona ugumu wa kupatikana Katiba bila UKAWA. Sasa chizi mmoja hapa anasema UKAWA hata wasiporudi Bungeni Katiba itapatikana tu...????

Labda kama anazungumzia Katiba ya CCM!!!
 
Katibu mwenezi wa CCM mh.Nape Nauye, amesema ukawa usirudi tena bungeni. Je, hii kauli yake ni sahihi?
Yaah,...itakua fresh wakiondoa hewa mbaya bunge la katiba. Watu wanaoipenda Tanzania wataweza kuunda katiba inayofaa kwa taifa. Inafaa Ukawa waendelee kutafuta umashuhuri kwa mambo mengine, hili la katiba litawaangamiza. Watanzania bado wanaiamini ccm na wana mashaka na watu kama kina maalim seif na tunduboy lissu.
 
Katibu mwenezi wa CCM mh.Nape Nauye, amesema ukawa usirudi tena bungeni. Je, hii kauli yake ni sahihi?
huyu jamaa bado ana msimamo huo huo au kama kawaida yale kubwabwaja chochote anachoambiwa!!
 
Huyo anatapatapa hana lolote zaidi ya hofu ya itakuwaje na Agosti ndio imefika.
 
Ni afadhali wasirudi tu;
pengine tutaambulia nafasi.
 
Ukawa ni nani Kwan? mkirud sawa msiporud sawa msitusumbue Kwan nyinyi ndo wenye milki ya tz .
 
Yaah,...itakua fresh wakiondoa hewa mbaya bunge la katiba. Watu wanaoipenda Tanzania wataweza kuunda katiba inayofaa kwa taifa. Inafaa Ukawa waendelee kutafuta umashuhuri kwa mambo mengine, hili la katiba litawaangamiza. Watanzania bado wanaiamini ccm na wana mashaka na watu kama kina maalim seif na tunduboy lissu.

Achana na mambo ya siasa maalim hayumo kwenye bunge la katiba.
 
Yaah,...itakua fresh wakiondoa hewa mbaya bunge la katiba. Watu wanaoipenda Tanzania wataweza kuunda katiba inayofaa kwa taifa. Inafaa Ukawa waendelee kutafuta umashuhuri kwa mambo mengine, hili la katiba litawaangamiza. Watanzania bado wanaiamini ccm na wana mashaka na watu kama kina maalim seif na tunduboy lissu.
Sijui uko sayari ya wapi, Katibu Mkuu wa CCM, Kinana; Nape pamoja na Mwigulu walipokuja Mkalama KINANA alisema kuwa katiba siyo ya muhimu kwa wananchi na kwa nchi, kwa hiyo hayo anayoyasema Nape anatekeleza maagizo ya boss wake. Fikiria Tanzania kwanza siyo chama
 
Hivi bado kuna waTanzania wanaamini katiba mpya itapatikana katika mchakato huu unaoendelea? Labda mimi nimepitwa na wakati au niko nje ya uzio wa historia, lakini kwa set up ya Bunge la Katiba na mswaada wa katiba ulivyo. Hakuna Katiba mpya bali kuna jaribio la kupata katiba mpya tu. Maana hata UKAWA wakirudi bungeni haitasaidia kitu mpaka pale kila kundi likiacha msimamo wake na kujadili katiba ya wananchi.
 
Tumemzoea hana jipya anaua CCM tu huyo aje atangaze sasa kugombea urais Mr January Makamba pamoja na kumkaripia
 
Yaah,...itakua fresh wakiondoa hewa mbaya bunge la katiba. Watu wanaoipenda Tanzania wataweza kuunda katiba inayofaa kwa taifa. Inafaa Ukawa waendelee kutafuta umashuhuri kwa mambo mengine, hili la katiba litawaangamiza. Watanzania bado wanaiamini ccm na wana mashaka na watu kama kina maalim seif na tunduboy lissu.

Wewe hujui kinachoendelea ila siku zinavyokwenda na ukweli kujianika utaelewa tu.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Yaah,...itakua fresh wakiondoa hewa mbaya bunge la katiba. Watu wanaoipenda Tanzania wataweza kuunda katiba inayofaa kwa taifa. Inafaa Ukawa waendelee kutafuta umashuhuri kwa mambo mengine, hili la katiba litawaangamiza. Watanzania bado wanaiamini ccm na wana mashaka na watu kama kina maalim seif na tunduboy lissu.


Wewe na mkeo ndo mnaoia
mini CCM. Watanzania hawapo kama unavyowaza wewe na mkeo. Njaa uliyonayo usituhusishe wengine we t.ako!!!!!!!!!!!
 
Ukawa ni nani Kwan? mkirud sawa msiporud sawa msitusumbue Kwan nyinyi ndo wenye milki ya tz .


Kwani we unazungumza kama nani???? Tanzania ni ya Babako, sisi wengine ni wahamiaji na mnaweza mkatufanyia lolote coz Tanzania ni yakwenu! Ta.ko wewe.
 
Kiswahili tu kinakishinda kuandika. Mambo ya Demokrasia Utayaweza? Elimu ni endelevu. Ukishindwa lugha ujue wewe kwisha. Mengine hutaweza kujifunza wala kuandika.

And vice versa is true!!!
 
Wewe na mkeo ndo mnaoia
mini CCM. Watanzania hawapo kama unavyowaza wewe na mkeo. Njaa uliyonayo usituhusishe wengine we t.ako!!!!!!!!!!!
Akili ndogo kama sumni. Badala ya hoja unatukana mtu hata humjui. Je kama ni mkweo?
 
Kama walimponda warioba kwanini wanaendelea kujadili rasimu wasiyoikubali? si waache kujadili. Hivi CHADEMA wangeuwa nao wangeingia bungei na katiba mbadala kama CCM si kungewaka mojo. Bora walisusia uvundo. Najiuliza kwanini Tunasherehekea Uhuru wa Tanganyika mbayo haipo?
mojo ni msamiati gani
 
Back
Top Bottom