Kwa sasa nape ni vugu vugu /haeleweki sina imani nae,Hoja nzuri lakini mnayasema mkishapokonywa vyeo!! Mngeyasema mkiwa ndani kabla kutimuliwa
Sijui kwa nini uwa siwaamini wanasiasa design ya hawa
Hoja nzuri lakini mnayasema mkishapokonywa vyeo!! Mngeyasema mkiwa ndani kabla kutimuliwa
huwezi kunawa kabla ya haja,lazima haja kwanza ndipo kunawa kufatie......Hoja nzuri lakini mnayasema mkishapokonywa vyeo!! Mngeyasema mkiwa ndani kabla kutimuliwa