kisururu
JF-Expert Member
- Jan 3, 2011
- 331
- 93
Namsikiliza kiongozi wa CCM Nape, anaongea Clouds FM kuhusu posho za vikao kufutwa kaongea vizuri lakini tatizo ni pale alipokuwa anafunga maelezo yake " amani ya nchi tumeijenga kwa miaka 50 kwa gharama kubwa, msisikilize hoja taka mkaharibu amani na utulivu"
Mpuuzi huyo anafikiri amani ya tanzania imeletwa na CCM kwa gharama kubwa na Chadema wana hoja taka za kutaka kuharibi nchi.
Hivi kweli kijana kama huyu anaweza kua na akili mbovu namna hii au naye yuko nadani ya mafisadi wa CCM.
Mpuuzi huyo anafikiri amani ya tanzania imeletwa na CCM kwa gharama kubwa na Chadema wana hoja taka za kutaka kuharibi nchi.
Hivi kweli kijana kama huyu anaweza kua na akili mbovu namna hii au naye yuko nadani ya mafisadi wa CCM.