Nape na Mnyika on ITV - 31/7/14 saa moja jioni

Nape na Mnyika on ITV - 31/7/14 saa moja jioni

mnyika ameshindwa kutuletea maji ubungo.. asubir uchaguz mwakan aone hasira zetu

Mkuu.

Una haki kabisa ya kuandika uliyo andika maana kwa kichapo kile nisinge tarajia uandike kingine! Siku nyingine mumkataze asije kwenye midahalo ili muwe walau na kuchangia kwenye thread inayo mhusu yeye na Mnyika.

Ukweli ni kwamba jamaa yenu leo hakuwa anatoa zile sauti kama za mahuburi awapo jukwaani. Alikuwa kama kakutana na simba mwenye njaa msituni halafu yeye mguu una muuma na miti iliyooko karibu yake ina miba.
 
Mkuu.

Una haki kabisa ya kuandika uliyo andika maana kwa kichapo kile nisinge tarajia uandike kingine! Siku nyingine mumkataze asije kwenye midahalo ili muwe walau na kuchangia kwenye thread inayo mhusu yeye na Mnyika.

Ukweli ni kwamba jamaa yenu leo hakuwa anatoa zile sauti kama za mahuburi awapo jukwaani. Alikuwa kama kakutana na simba mwenye njaa msituni halafu yeye mguu una muuma na miti iliyooko karibu yake ina miba.

kama una namba ya simu ya mnyika mpigie umuulize wanaubungo lini tutapata maji? mwakan uchaguz sio mbali..wana ubungo tumechoka kulala bila kuoga. shaur yake asubir mwakan tumuonyeshe kaz
 
Kwani kazi ya mbunge ni kuleta maji?? Elimu kwa umma inahitajika juu ya majukumu ya wabunge yawe wazi
 
Mkuu. Una haki kabisa ya kuandika uliyo andika maana kwa kichapo kile nisinge tarajia uandike kingine! Siku nyingine mumkataze asije kwenye midahalo ili muwe walau na kuchangia kwenye thread inayo mhusu yeye na Mnyika. Ukweli ni kwamba jamaa yenu leo hakuwa anatoa zile sauti kama za mahuburi awapo jukwaani. Alikuwa kama kakutana na simba mwenye njaa msituni halafu yeye mguu una muuma na miti iliyooko karibu yake ina miba.
CDM ni balaa,...CCM wakijtambua watajidharau sana kwa kupambana na karama binafsi za wana CDM kupendwa na watu na Pia vichwa vilivo makini sana ,vyeye vipaji hadimu sana.Ni ngumu sana mjinga mjinga na mlaaniwa kmw a CCM kupambana na hivyo vitu.
 
Leo makatibu wenezi wa vyama viwili Chadema(demokrasia) na CCM(Ufisafi) watakuwa wakidadafua juu ya Katiba mpya .mada ni UZALENDO.


Usikose kupata elimu toka kwa kijana machachali JJ Mnyika.

Dada angalia, mnyika hana mke atakuchumbia wewe mke wa mtu....
 
kama una namba ya simu ya mnyika mpigie umuulize wanaubungo lini tutapata maji? mwakan uchaguz sio mbali..wana ubungo tumechoka kulala bila kuoga. shaur yake asubir mwakan tumuonyeshe kaz

ebo kumbe ndio akili yako ilipoishia ,kuna umuhimu wa kuongeza majalala.
 
Kwani kazi ya mbunge ni kuleta maji?? Elimu kwa umma inahitajika juu ya majukumu ya wabunge yawe wazi

Mkuu unapoteza muda wako kubishana na mtu aliye na fikra zilizokufa na kuzikwa!elimu ni zaidi ya kujua kusoma na kuandika
 
mnyika ameshindwa kutuletea maji ubungo.. asubir uchaguz mwakan aone hasira zetu

maji yanatakiwa kuletwa na serikali wewe na wala sio mnyika wala ccm. Serikali yenu mlioichagua ndo kimeo jaribuni kubadilisha muone kama maji hayaji ubungo
 
Nape ameshindwa kuitetea ccm kibarua kitaota nyasi.

Mkuu urushe hapa jamvini huo mdahalo. Huku mitaa yangu transfoma mie umma toka juzi.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Duh! Mkuu ndio umetoa maelezo fasaha naya kweli?! Tafiti kidogo wakati mwingine kabla ya kujibu mkuu.
Mkuu kma nime kosea si useme,mtoi wa muce ninae mjua mimi anaitwa philemoni mtoi,labda kama na wewe ni mtoi wa muce.
 
Back
Top Bottom