Tatizo nape atatoa mipasho tu. Ingekuwa ni hoja basi ingependeza. Mnyika namwaminia
Ukawa mnaanza kujamb'jamb' tu baada ya kuambia jembe Nape Moses Nnauye atakuwa ndani ya nyumba!. Tulieni mpini uwaingie vema.
Leo makatibu wenezi wa vyama viwili Chadema(demokrasia) na CCM(Ufisafi) watakuwa wakidadafua juu ya Katiba mpya .mada ni UZALENDO.
Usikose kupata elimu toka kwa kijana machachali JJ Mnyika.
naona mnyika anacheza na maneno
Toa updates mkuu
Safi sana Mh.Mnyika Nepi katumbua mimacho tu!