Nape na Mnyika on ITV - 31/7/14 saa moja jioni

Nape na Mnyika on ITV - 31/7/14 saa moja jioni

mnyika one

Leo nimecheka sana yaani Nape hajajibu suala la raisi kwenda kuitisha mkutano kwa wajumbe wa ccm na NEC juu ya msimamo wa serikali tatu,pia Nape ameshindwa kueleza ni kwanini wanang'ang'ania serikali mbili.Leo mtu katulia yaani kama mgonjwa,itabidi Nape akiwa katika mijadala awe anatafutiwa dawa za hamu ya kuongea ili ajenge hoja.
 
Leo makatibu wenezi wa vyama viwili Chadema(demokrasia) na CCM(Ufisafi) watakuwa wakidadafua juu ya Katiba mpya .mada ni UZALENDO.


Usikose kupata elimu toka kwa kijana machachali JJ Mnyika.

Nape kashindwa kuongea kile ccm wanachosimamia kuhusu serikali 2,itabidi siku nyingine kabla Nape hajaja kwenye mijadala ccm wawe wanampa dawa za hamu ya kuongea labda zitamsadia,alidhani midaharo ni rahisi kama mikutano ya hadhara anayohutubia kwa kelele na hamna mtu anayehoji.Ccm kwisha
 
Mnyika kiboko ya Nape.IQ ya Nape ni ndogo sana.Haya.ndiyo matatizo ya kusoma kwa kutumia vi memo toka ccm
 
Tulia sindano ya ng'ombe iwaingie kutoka kwa Mnyika. Swine nyie!

a-vet-uses-a-syringe-to-artificially-inseminate-an-unsuspecting-cow.jpg


Sent from my iPad using JamiiForums

Bora useme wewe
 
Leo nimecheka sana yaani Nape hajajibu suala la raisi kwenda kuitisha mkutano kwa wajumbe wa ccm na NEC juu ya msimamo wa serikali tatu,pia Nape ameshindwa kueleza ni kwanini wanang'ang'ania serikali mbili.Leo mtu katulia yaani kama mgonjwa,itabidi Nape akiwa katika mijadala awe anatafutiwa dawa za hamu ya kuongea ili ajenge hoja.

Nape ameshindwa kuitetea ccm kibarua kitaota nyasi.
 
uongooo Dhambi janan,,,, kama mimi ningekuwa Nape nisingeendaaa,,,,, Aibu aibu kaishiaaaa kutoaaaa machooo tu.
 
mnyika ameshindwa kutuletea maji ubungo.. asubir uchaguz mwakan aone hasira zetu
 
mkuu huyu mtoi sio yule unae mjua wewe huyu ni mwingine kabisa japo wote ni wagosi wa kayA..huyo mtoi unae mjua ni lekchara chuo cha seKomu.

Duh! Mkuu ndio umetoa maelezo fasaha naya kweli?! Tafiti kidogo wakati mwingine kabla ya kujibu mkuu.
 
Back
Top Bottom