Nape: Lowassa ni Kunguru hafugiki

Nape: Lowassa ni Kunguru hafugiki

Lowasa ni Mtanzania ana haki zote mpk dakaki ya kushiriki shughuli zote za kisiasa mpaka Mahakama itakapo Mhukumu. Mengine yote ni mbwembwe tu na kujilisha upepo
 
Shukrani sana Mkuu 🙏🏽🙏🏽🙏🏽na uamuzi wa kuendelea kumpinga huyu hata baada ya kujiunga na chadema haukuwa mgumu hata kidogo. Nilijiuliza kuhusu ufisadi wa zaidi ya billions 500 walioufanya yeye, Rostam na Kikwete kwenye Richmond/Dowans ambao ungeweza kabisa kuepukwa. Nilijiuliza kuhusu ukimya wake kuhusu ufisadi mbali mbali Serikalini ikiwemo IPTL, EPA, nyumba za Serikali etc nikakosa majibu. Hivyo kukosa majibu kuhusu maswali hayo kulinirahisishia uamuzi wangu wa kuendelea kumpinga.

mnyonge myongeni haki yake mpeni, kwa hili hata mi ntamtetea Bak

Sent using Jamii Forums mobile app
msimamo wako kwa Lowasa mkuu tunaujua haukuwahi kubadilika na haukuwahi kumkubali tangu siku ya kwanza, kwa hilo hata mimi nakutetea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukrani sana Mkuu na uamuzi wa kuendelea kumpinga huyu hata baada ya kujiunga na chadema haukuwa mgumu hata kidogo. Nilijiuliza kuhusu ufisadi wa zaidi ya billions 500 walioufanya yeye, Rostam na Kikwete kwenye Richmond/Dowans ambao ungeweza kabisa kuepukwa. Nilijiuliza kuhusu ukimya wake kuhusu ufisadi mbali mbali Serikalini ikiwemo IPTL, EPA, nyumba za Serikali etc nikakosa majibu. Hivyo kukosa majibu kuhusu maswali hayo kulinirahisishia uamuzi wangu wa kuendelea kumpinga.
keep it up mkuu, msimamo wako haukukuangusha ila umewaacha watu midomo wazi na kuwaumbua zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mtu anaweza akapoteza mda na lengo katika kuchambua sababu zilizomfanya Lowassa arudi nyumbani.

Kuna mambo yanayoweza kutoa mwelekeo wa kuhama huko.

Kwanza kabisa inaonekana palikuwa na ushawishi mkubwa toka CCM mzee huyo ahame. Matakwa haya sababu zake zinaweza zikafikilrika.
Ni ajabu sana timu yote nzima ya uongozi wa juu wa CCM kuweka mapokezi kiasi kile kwa mtu ambaye walishajua wamemmaliza.
Hapa ndipo palipo siri nzito!
Mapokezi yale yanaonyesha dhahiri, kuhama kule hakukuanzia kwa Lowassa. Walimtaka sana ahame; sababu, hatujui!

Sasa ukifikiria, kati ya Lowassa na Nnauye, ni nani mwenye thamani kubwa ndani hicho chama?
Sina hakika sana kama Nnauye angehama na kurudi chamani angepata mapokezi kama aliyopewa Mzee Lowassa.

Kuna jambo wana hofu nalo linalomhusisha Lowassa kuelekea 2020?
Huu si utetezi ni ujinga uliokithiri,mkuki kwa nguruwe kwa binadamu ni mchungu,achaneni na Lowassa ,jengeni saccos yenu
tapatalk_1551868294951.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema wanamaumivu makali sana ya kumpoteza Lowasa.

Maumivu hayo ni makubwa mno kwani waliingia gharama kubwa mno kumpokea.
 
Pole sana Best, hawa wanasiasa wanafiki, majizi na mafisadi ni janga kubwa la nchi yetu kwa miaka chungu nzima.

Huyu Mzee sitaki hata kusikia jina lake walahi vile, nakumbuka nlivyotoroka kazini siku ile ya Kampeni akiwa Arusha, nkaponea chupuchupu kupumzishwa na barua ya warning na Kanjbhai wangu, nakumbuka tulivyopigwa na jua ile siku, nakumbuka usafiri wa kurudi nyumbani ulivyotutesa kama haitoshi siku ua kupiga kura tulivyoamka asubuhi asubhi nkapiga magoti kumuombea, walah napata hasira isiyo kifani
 
Naam Mkuu na ndiyo sababu wana hofu kubwa ya uchaguzi huru na wa haki kwa kujua fika kwa jinsi wanavyochukiwa na Watanzania wengi, bila wiz wao wa kura kupitia tume FAKE ya uchaguzi na policcm basi chama chao kinaweza kabisa kuondolewa madarakani na hatimaye kufa kabisa.

Hakuna wanao wapaga kura za kuwawezesha kuongoza nchi bali wanaiba na kuwatishia wananchi

In God we trust
 
Uwe unasoma na kufuatilia mijadala kwa kina badala ya kukurupuka na dhana zako POTOFU zisizokuwa na mashiko. Na Watanzania wanaojadili kuhusu siasa haina maana ni wanasiasa bali wanatumia haki yao kikatiba kujadili mustakabali wa nchi yao.
Ndo maana nimetoa hoja yangu maana nina heshimu mawazo yangu na ni bora kama nilivyosema ila ijulikane tu hamna aliyekurupuka hapa najitambua na ninajua nachokifanya mawazo ya mtu Yaheshimiwe
 
EL alienda Chadema ili tu apate uprezident, sasa kama kakosa abaki huko afanye nini kipya?

Kwa hiyo yaliyosemwa wakati ule nadhani bado yanabaki vile vile na maana yake.

Na mkiweza tena kumuhakikishia kwamba anapata uraisi atahama tu, ingawa this time itabidi mtumie ubunifu wa hali ya juu.
 
Back
Top Bottom