Henge
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 6,933
- 1,510
huo ubishi wenu ndo unaua chama sikilizeni wanachi wanasemaje!crap crap
Chama ni cha wananchi bana!
huo ubishi wenu ndo unaua chama sikilizeni wanachi wanasemaje!crap crap
Sishangai kwa maneno yako. Watu wa magamba wote akili zenu hazifikirii zaidi ya pua na matumbo yenu. Uwezo wenu wa kufikiria ni mdogo mno.
Pamoja na haya uliyoandika hapo juu bado naamini unawazidi hekima viongozi wako. Mwenyekiti wa Chama chako na wasaidizi wake ni mbumbumbu zaidi. Nafuu hata weye umeanza kwa kukosoa jina viongozi wa chama chenu wangeishia kusema nawaonea wivu.
Yeelewi.....! Magamba.... mwaka huu ipo kazi!
Najua Nape ni member humu. Ushauri wangu kwake ni kwamba kwa sasa aachane na Chadema, aelekeze nguvu zake kwa mafisadi ndani ya chama chake. Nape hana uwezo wa kupambana na Chadema, na hasa Dk Slaa!
wewe mwenyewe hujatulia sijui ndio fisadi maana hata jina la baba Nape hujui kuliandika: Nnauye sio kama ulivyoandika wewe.
Pili ujumbe wako hauna maana hata tone. kaa utulie kama umefulia utajiju
Mwambie na Nape afuatilie magamba yake ya CCM aachane na viongozi wa CHADEMA, kwanza Slaa sio size yake, asubiri kupambana na Mnyika Ubungo!Acha kumfuatilia Nape wafuatilie Viongozi wako wa Chadema,pilipili usio ila inakuwashia nini? Nani kakwambia mafisadi wameachwa?
Well said bro jamaa mlopokaji tu,hawezi kushindana na nguvu ya uma wa lowasa....hakumsikia lowasa alivyosema akukutana na jk barabarani
wewe mwenyewe hujatulia sijui ndio fisadi maana hata jina la baba Nape hujui kuliandika: Nnauye sio kama ulivyoandika wewe.
Pili ujumbe wako hauna maana hata tone. kaa utulie kama umefulia utajiju
wewe mwenyewe hujatulia sijui ndio fisadi maana hata jina la baba Nape hujui kuliandika: Nnauye sio kama ulivyoandika wewe.
Pili ujumbe wako hauna maana hata tone. kaa utulie kama umefulia utajiju
wewe mwenyewe hujatulia sijui ndio fisadi maana hata jina la baba Nape hujui kuliandika: Nnauye sio kama ulivyoandika wewe.
Pili ujumbe wako hauna maana hata tone. kaa utulie kama umefulia utajiju
nimeanza kuwa na wasiwasi na jinsia yakeNnape ni bogus tu,Kama anaweza kusema Dkt wa ukweli Willbrod Slaa ni fisadi kisa analala kwenye nyumba ya kioo!!,akili au matope?
Nape ni mbuzi wa kafara kwani Kikwete hana ubavu wa kuwathibiti wakina Lowassa hivyo kujikinga anawatumia hawa vilaza kufikia lengo lake la kuwatosa waliomuingiza Ikulu; kwa bahati nzuri hao mafisadi wanamuelewa Kikwete kama table ya pili katika hesabu na ndio maana wameanza kwa kumtumia Mtikila amuumbue Kikwete na mali alizonazo kwa kumshutumu mwanae Ridhwani!! Hilo wamefaulu kwani Kikwete kakunja mkia wake na wala hutamsikia Nape au Mukama wakizungumza juu ya siku 90 au 120 za kuwafukuza mapacha watatu!! They know so much about him that they have blackmailed him hence incapacitating him completely!!
Acha kumfuatilia Nape wafuatilie Viongozi wako wa
Chadema,pilipili usio ila inakuwashia nini? Nani kakwambia mafisadi wameachwa?