Katibu waitikad na uenezi wa ccm nape nnauye anatarajia kutua igunga leo kwaajili ya mapokezi ya mbunge aliyerejeshewa ubunge na mahakama juzi dr.kafumu
nape anatarajia pia kuwahutubia wananchi waigunga .
Hongera sana nape hongera dr.kafumu nenda ukawatetee wanachi nakuitetea ilani ya ccm
ccm oyeeeeeeeee
naomba kuwasilisha
Katibu waitikad na uenezi wa ccm nape nnauye anatarajia kutua igunga leo kwaajili ya mapokezi ya mbunge aliyerejeshewa ubunge na mahakama juzi dr.kafumu
nape anatarajia pia kuwahutubia wananchi waigunga .
Hongera sana nape hongera dr.kafumu nenda ukawatetee wanachi nakuitetea ilani ya ccm
ccm oyeeeeeeeee
naomba kuwasilisha
npe namba yake ya cm kuna fuso zangu zimefuata mchele pale sasa mzigop haujajaa nataka anipe dili la kubeba raia kutoka nzega ili madereva wasikae bure/.
npe namba yake ya cm kuna fuso zangu zimefuata mchele pale sasa mzigop haujajaa nataka anipe dili la kubeba raia kutoka nzega ili madereva wasikae bure/.