Katibu waitikad na uenezi wa ccm nape nnauye anatarajia kutua igunga leo kwaajili ya mapokezi ya mbunge aliyerejeshewa ubunge na mahakama juzi dr.kafumu
nape anatarajia pia kuwahutubia wananchi waigunga .
Hongera sana nape hongera dr.kafumu nenda ukawatetee wanachi nakuitetea ilani ya ccm
ccm oyeeeeeeeee
nape nae anaweza kuunguruma kweli?ana ubavu huo?nafikiri anakuja kuhutubia wana ccm wachache sana waliobaki hapo igunga.angekuwa na uwezo wakunguruma ange endeleza ile hoja yao ya kuvua magamba,nape bana kimyaaaaa.
npe namba yake ya cm kuna fuso zangu zimefuata mchele pale sasa mzigop haujajaa nataka anipe dili la kubeba raia kutoka nzega ili madereva wasikae bure/.
Katibu waitikad na uenezi wa ccm nape nnauye anatarajia kutua igunga leo kwaajili ya mapokezi ya mbunge aliyerejeshewa ubunge na mahakama juzi dr.kafumu
nape anatarajia pia kuwahutubia wananchi waigunga .
Hongera sana nape hongera dr.kafumu nenda ukawatetee wanachi nakuitetea ilani ya ccm
ccm oyeeeeeeeee
Katibu waitikad na uenezi wa ccm nape nnauye anatarajia kutua igunga leo kwaajili ya mapokezi ya mbunge aliyerejeshewa ubunge na mahakama juzi dr.kafumu
nape anatarajia pia kuwahutubia wananchi waigunga .
Hongera sana nape hongera dr.kafumu nenda ukawatetee wanachi nakuitetea ilani ya ccm
ccm oyeeeeeeeee
npe namba yake ya cm kuna fuso zangu zimefuata mchele pale sasa mzigop haujajaa nataka anipe dili la kubeba raia kutoka nzega ili madereva wasikae bure/.
npe namba yake ya cm kuna fuso zangu zimefuata mchele pale sasa mzigop haujajaa nataka anipe dili la kubeba raia kutoka nzega ili madereva wasikae bure/.
Mimi nasubiri aina ya Matusi atakayoleta leo , maana kwa Taarifa nilizonazo ni kwamba Nape ameruka kutoka nje ya kumi bora ya Matusi hadi Tatu bora ( Wow ! What a leap frog ? )