Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,359
- 3,372
HAKUNA KUHAMA NA UONGOZI, LAZIMA AJIUZURU NA ALIYEMFUATIA KWA KURA kipindi cha uchaguzi ndio achukue uongozi/ubunge. Msituletee sanaa hapa.
Unafika ndio moja ya sifa kuu za kuwa kiongozi au mwanachama wa fisiem.Ukiwa fisiem bila unafiki mambo hayasongi!mnafiki mkubwa huyo!!!
Unafika ndio moja ya sifa kuu za kuwa kiongozi au mwanachama wa fisiem.Ukiwa fisiem bila unafiki mambo hayasongi!Unafiki mtupu
Nakubaliana asilimia 100 na hoja yako,huu ndio ufumbuzi ,kama mtu anaunga mkono,chama chake kiteue mtu wa kushika nafasi hiyo hadi muda wa uchaguzi mwingine utakapofika, ili analopendekeza Nape ni bullshit,mfano mbunge katoka chama X na kwenda chama Y na ubunge wake,then baada ya muda anakuwa bored chama Y na kurudi chama Xna ubunge wake,anakaa chama x mwaka anashindwa kuelewana na mwenyekiti anahamua kwenda chama Z na ubunge wake etc etc,Ifikie wakati haya mambo yawekewe breki kuwa mtu akihama chama kilichotumia resources zake kumfanyia kampeni hadi akawa kiongozi basi akiunga mkono hoja uwe ndio mweisho wa uongozi huo na hiyo nafasi apewe mwingine katika chama hichohicho,kule alikoenda kuungia mkono juhudi basi wampe nafasi nyingine kama ni diwani apewe utendaji wa kata na kama mbunge apewe U-Dc AU u- DED au U-DAS.Ifikie wakati tue srious na haya mambo yanayolipotezea taifa muda na fedha nyingi za walipa kodi,badala ya kujenga viwanda tutakuwa kwenye kampeni kila mwaka January hadi December. Japo kwa upande mwingine hizi kampeni ni advantage kwa vyama ambavyo vimezuiwa kufanya mikutano, wanapata muda muafaka wa kujitangaza,nimefanya utafiti kdogo na kugundua vyama vya aina hii vina kuwa popular na kupata mashabiki zaidi kila eneo uchaguzi mdogo ukimalizika kuliko ilivyokuwa kabla ya uchaguzi,hizi chaguzi ndogo ni hamsha hamsha inayowapa advantage vyama vya upinzani towards 2020, anayedhani kuchukua wabunge na madiwani kunadhoofisha vyama aende Buyungu au maeneo ulikoisha uchaguzi huu wa juzi na majibu atayapata na kugundua ni kiasi gani inafanyika political blunder katika kununua wabunge na wapinzani.U
Umesema kitu kikubwa sana sana mbunge anaomba kura kwa kupitia chama inamaana chama hicho kinachukua eneo husika kwa muda wamiaka 5 sasa ikitokea mbunge au mwenyecheo chochote cha kuchaguliwa kufa kuacha au kuhama chama kilicho shika nafasi hiyo kitoe MTU mwingine kutoka kwao aongoze na ikitokea wachaguliwa hao kupishana naviongozi wao wa vyama vyao yule yule alio shinda au kuteuliwa aulizwe kwenye vyombo vya habari kama anaendelea nakazi au la iwapo atasema anapiga mzigo chama kisiwe na uwezo wa kukatisha uongozi wake nakama atasema ameshindwa ndio atafutwe mtu mwingine kutoka chama chake kumuondoa mtu kwasababu ya kichama nikukatisha mategemeo kwawananchi na chama walicho kichagua nisawa na kukatisha uhai wao
Kutumia pesa kurudiwa uchaguzi kwa hawa waliouza nafasi na kuzihitaji tena kunatuumiza wananchi mfano sikumoja nilikwenda kumtembelea jamaa yangu kilimahewa kgm nikamuona polepole wanamuonesha njia inayotuwa na walim wanafunzi na wazazi kwenda s/yamsingi kilima hewa kunakorongo kubwa hata ubakaji unaweza kutokea linatisha gharama yake haifanani na uchaguzi hata wadiwani mmoja gharama ni m5 tu wananchi wamechanga m2 bado 3 wanashindwa kuwachangia wako bize na uchaguzi na kununua wachaguliwa wa upinzani hivi hawawananchi watawapenda kweli?
Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye amesema wabunge kuhama hama kuna ukakasi kwa kuwa haliwapi nafasi wananchi ambao waliwapigia kura
Nape amesema kuna haja ya kuangalia uwezekano wa kubadili sheria ili wanaoham,a wahame na ubunge wao
Pia amesema ni ngumu kuamini sababu zinazotolewa na wanaohama (kumuunga mkono Magufuli}
Muda wa kununua unaelekea mwisho. Bado kidogo ibaki miezi 24 ya kisheria.Huyu jamaa ameshawafanya wabongo wote wajinga!ni yeye aliyeshiriki bao la mkono Buyungu na leo anajifanya mtakatifu!ukiona anasema hivi ujue anapima upepo au wamemaliza watu wa kuwanunua wanatufanya mazombie
Nakubaliana nawewe hata Mimi wapeane nafasi za uteuzi tu.tukisha piga kura iwe imetoka mpaka uchaguzi ujao baada ya miaka 5 ndio uchaguzi tena angalia kama hivi alivyosema magu siasa hadi uchaguzi mwingine ujao alafu unanunua watu alafu tunafanya uchaguzi nahauweki kura za maoni hii unaonesha wazi kuwa kumbe kunabiashara inafanyika hasara kwa sisi wananchi ccm kama kweli hakuna dili iache kuwapokea wachaguliwa kwa maslahi mapana yanchi kama wanatuhurumia wananchi kurudia uchaguzi nigharama kweli wafanyekitu nakukataa kitu kwa maslahi mapana ya nchiNakubaliana asilimia 100 na hoja yako,huu ndio ufumbuzi ,kama mtu anaunga mkono,chama chake kiteue mtu wa kushika nafasi hiyo hadi muda wa uchaguzi mwingine utakapofika, ili analopendekeza Nape ni bullshit,mfano mbunge katoka chama X na kwenda chama Y na ubunge wake,then baada ya muda anakuwa bored chama Y na kurudi chama Xna ubunge wake,anakaa chama x mwaka anashindwa kuelewana na mwenyekiti anahamua kwenda chama Z na ubunge wake etc etc,Ifikie wakati haya mambo yawekewe breki kuwa mtu akihama chama kilichotumia resources zake kumfanyia kampeni hadi akawa kiongozi basi akiunga mkono hoja uwe ndio mweisho wa uongozi huo na hiyo nafasi apewe mwingine katika chama hichohicho,kule alikoenda kuungia mkono juhudi basi wampe nafasi nyingine kama ni diwani apewe utendaji wa kata na kama mbunge apewe U-Dc AU u- DED au U-DAS.Ifikie wakati tue srious na haya mambo yanayolipotezea taifa muda na fedha nyingi za walipa kodi,badala ya kujenga viwanda tutakuwa kwenye kampeni kila mwaka January hadi December. Japo kwa upande mwingine hizi kampeni ni advantage kwa vyama ambavyo vimezuiwa kufanya mikutano, wanapata muda muafaka wa kujitangaza,nimefanya utafiti kdogo na kugundua vyama vya aina hii vina kuwa popular na kupata mashabiki zaidi kila eneo uchaguzi mdogo ukimalizika kuliko ilivyokuwa kabla ya uchaguzi,hizi chaguzi ndogo ni hamsha hamsha inayowapa advantage vyama vya upinzani towards 2020, anayedhani kuchukua wabunge na madiwani kunadhoofisha vyama aende Buyungu au maeneo ulikoisha uchaguzi huu wa juzi na majibu atayapata na kugundua ni kiasi gani inafanyika political blunder katika kununua wabunge na wapinzani.
Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye amesema wabunge kuhama hama kuna ukakasi kwa kuwa haliwapi nafasi wananchi ambao waliwapigia kura
Nape amesema kuna haja ya kuangalia uwezekano wa kubadili sheria ili wanaoham,a wahame na ubunge wao
Pia amesema ni ngumu kuamini sababu zinazotolewa na wanaohama (kumuunga mkono Magufuli}
...na wajinga watampongezaHuyu jamaa ameshawafanya wabongo wote wajinga!ni yeye aliyeshiriki bao la mkono Buyungu na leo anajifanya mtakatifu!ukiona anasema hivi ujue anapima upepo au wamemaliza watu wa kuwanunua wanatufanya mazombie
Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye amesema wabunge kuhama hama kuna ukakasi kwa kuwa haliwapi nafasi wananchi ambao waliwapigia kura
Nape amesema kuna haja ya kuangalia uwezekano wa kubadili sheria ili wanaoham,a wahame na ubunge wao
Pia amesema ni ngumu kuamini sababu zinazotolewa na wanaohama (kumuunga mkono Magufuli}