Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,813
- 18,793
Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye amesema wabunge kuhama hama kuna ukakasi kwa kuwa haliwapi nafasi wananchi ambao waliwapigia kura
Nape amesema kuna haja ya kuangalia uwezekano wa kubadili sheria ili wanaoham,a wahame na ubunge wao
Pia amesema ni ngumu kuamini sababu zinazotolewa na wanaohama (kumuunga mkono Magufuli}
Nape amesema kuna haja ya kuangalia uwezekano wa kubadili sheria ili wanaoham,a wahame na ubunge wao
Pia amesema ni ngumu kuamini sababu zinazotolewa na wanaohama (kumuunga mkono Magufuli}