Uliza_Bei
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 3,216
- 988
Nimeshanga kuona katibu mwenezi wa CCM Bw. Nape Nnauye akidai CCM kimeshinda kwa asilimia 75 (75%) wakati ni dhahiri shahiri kimsingi angesema CCM kimeshindwa kwa asilimia kadhaa badala ya kutumia hesabu za kudanganya umma tena akidai eti vyama vya upinzani vimeendelea kupuuzwa. Angalia hapa Nape;
Hapa kwa hesabu za haraka kila aliyeenda japo darasa la pili la masomo ya shule ya msingi atakubali CUF toka zero wamepata kiti kimoja, TLP wamebaki na kiti chao kimoja na CDM wamengeza viti 3 juu ya viwili. Sasa niambia CCM wamepeteza vingapi? Kwanini kutumia lugha laini ya kwamba tumeshinda badala ya kusema tumepoteza viti?
Haya ndiyo yanatufanya sisi tuliokuwa mashabiki wa CCM kuendelea kukosa ari ya kuwashabikia maana tunaendelea kudanganywa achilia mbali kuumizwa na tabaka la uongozi wa CCM uliojikita katika misingi ya mitandao na ufujaji wa mali za umma.
Napingana na Nape ila pia namwambia CCM imeshindwa badala ya kushinda na imepoteza viti kwa asilimia kama 25 (24.1%)
Nawasilisha
Viti vya chaguzi wa udiwani kabla na baada ya matokeo ya jana nazingatia viti vilivyogombewa tu
|
Hapa kwa hesabu za haraka kila aliyeenda japo darasa la pili la masomo ya shule ya msingi atakubali CUF toka zero wamepata kiti kimoja, TLP wamebaki na kiti chao kimoja na CDM wamengeza viti 3 juu ya viwili. Sasa niambia CCM wamepeteza vingapi? Kwanini kutumia lugha laini ya kwamba tumeshinda badala ya kusema tumepoteza viti?
Haya ndiyo yanatufanya sisi tuliokuwa mashabiki wa CCM kuendelea kukosa ari ya kuwashabikia maana tunaendelea kudanganywa achilia mbali kuumizwa na tabaka la uongozi wa CCM uliojikita katika misingi ya mitandao na ufujaji wa mali za umma.
Napingana na Nape ila pia namwambia CCM imeshindwa badala ya kushinda na imepoteza viti kwa asilimia kama 25 (24.1%)
Nawasilisha