Nape: Dr. Slaa anaiua CHADEMA

sasa natambua kwanini chama cha mapinduzi kimekupa hiyo nafasi kijana mwenzetu!! kumbe nafasi hiyo inatumikiwa na watu wenye majungu fitina na wasiokuwa na weledi wa kuelezea mambo! naomba nikupe tahadhari kuwa kumtoa baba mwenye nyumba nje ya nyumba yake siyo jambo la siku moja unaanza kumsogeza kwanza sebuleni kisha barazani na baadae unamtoa nje ya geti kabisa!!! kupata kata 5 siyo jambo dogo tena bwana Nape, tazama nguvu ya chama cha mapinduzi imebaki vijijini ila mjini ni kushne huko tunapoenda cdm wakifanikiwa kuingia vijijini ujiandae kuwa mpinzani. sifungamani na upande wowote!!!!!!
 
Obama baba (Nape) rusha ndege ya ccm hiyo: m4c ambayo ingeleta matumaini ni kuunganisha upinzani pekee lakini hiyo ya kupitapita kutukana na kupasua mabomu haitamuongezea mlalahoi shibe wala kumletea tumaini
 

Sasa kama anaiua yeye si ndio amshukuru anamsaidia kutimiza malengo yake makubwa sasa ndio anasikitika makubwa.
 
Ni upuuzi mtupu, chadema inapaswa kiteue msemaji wa kuwajibu wapuuzi kama hawa kwa haraka mnyika yupo busy mno.

:nimekataaKazi ya kuwajibu vichaa hao apewe Lema ndie anawezana nao
 
PEOPLE POWER........................................... Roooho zao zinawauma wakisikia, hasa nape
 
We mjomba hebu taja jina lako kamili kwa nini unapenda kuficha ukweli? Wajiita Nape ili kuwapumbaza watu nawe uwe wa kusini wakati sisi tulikupa jina zuri tu la NAPEGWA maana yake NIMEPEWA. Sasa nakuomba utumie jina lako kamili ss wajomba tunakasirika na hiyo tabia yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…