Nape: Dr. Slaa anaiua CHADEMA

Kuna viongozi wengi wa CCM walishatakiwa kujiuzulu,,,,I think it a proper time for them to go....Nape na CCM yake hana namna maana anaamini Dk Slaa ndo kikwazo kwao,,,,

Hii ni kutaka tu kumkumbusha Nape kuwa CHADEMA ni taasisi kubwa mno iliyo penya katika Chama Cha Mapinduzi,,,,
 
Thread yeyote inaowasema cdm hapa ikikaa kama hivi basi pengine wenye forum yao hawajaamka....

No usikurupuke hivyo.I didn't mean that.Kwanza hii forum si ya Chadema,kama ni ya Chadema wewe unafanya nini huku
 
waache ccm wapige domo huku CDM ikzidi kupenya maskani zao,ukiona unapata1 bas hata 10 inawezekana pia,hamadi kbindo ...
 
Yah! slaa anazeeka vibaya la mcngi awapishe vijana kama ushauri mliopewa na nape badala kutaja sera za chama yeye anatunga uongo na kuchukuwa wake za watu la muhimu abadilike na tamaa za uraic
 
Nape ni mtoto mdogo sana kuweza kutoa kauli yoyote ya maana juu ya mwanasiasa shupavu kama Dr Slaa hata mtu yeyote mwenye akili akaweza kumuazima sikio juu ya lolote lile.

Shupavu wa siasa za maji taka, wapi mtoto wa JK aliyekamatwa na madawa na lile kontena lililokamatwa na kura feki mwaka 2010?
Kwa hizi siasa zake inabidi apumzike awekeze kwenye kumlea mjukuu wake tu Junior
 
2015 CCM wakitetea viti vyote zaidi ya mia mbili vya ubunge halafu wakapoteza kiti kimoja cha urais, sitashangaa kusikia nape akisema hivyo hivyo kuwa Dr Slaa ajiuzuru!
 

Acheni kujisifu kwa kushinda udiwani, cha kujiuliza ni kitu gani mmeifanyia nchi yetu tangu Uhuru hadi leo niumri wa mtu mzima miaka zaidi ya 50 bado nchi ni maskini,rasilimali kibao lakini hazitunufaishi kama nchi,umaskini unaongezeka kila kukicha,rushwa ndo zinazidi kutapakaa mpaka ndani ya chama chenu, madaraka mnapeana kindugu tu utadhani ni chama cha kisultani. Hawa watanzania wa leo sio wajinga hata kidogo,itafika mahali na wao watachoka kuendelea kuwa maskini wakati uchumi wa nchi unatafunwa na wajanja wachache.Acheni siasa za kijinga za kujisifusifu,fanyeni kazi muwaletee maendeleo wananchi.Ni hayo tu
 
hivi kwenye mtihani ukipata asilimia 20 wakati mwaka jana ulikuwa na asilimia 8 utasema umeshinda ati kwa vile maksi zako za mwaka huu ni mara mbili na nusu ya za mwaka uliopita?
Mwanafunzi anayeshuka maksi zake, haendelei bali anadumaa.
Matokeo yanaonyesha maendeleo iwapo tu kipimo cha sasa kinatoa tofauti ya ongezeko kwa kile kilichokuwepo awali.
 


nape,
yaani katika watu ambao hawajui watendalo ni nape.
Ccm imefanya uchaguzi wa ngazi mbali mbali na hakuna asiyejuwa juu ya rushwa iliyokithiri kwenye chaguzi zake. Hata aliyekuwa waziri mkuu sumaye alisema na kukiri juu ya hali ya rushwa iliyojitokeza kwenye chaguzi za kuanzia wilayani kwa wanakamati wa nec nk. Sasa unaposema dr. Slaa ni tapeli wa kisiasa tuseme nini juu ya rushwa iliyokithiri ccm? Je tuseme ni wezi au ni majambazi? Naona nape jirekebishe kauli zako kwa kuwa hata ccm siyo shwari
ni yangu tu hayo
 
Nape hana akili kabisa, yaani Dr ajiuzuru kwa lipi?
 
Ndugu hapa hoja ni Nape na CDM,Mamvi ameingiaje?,mbona unatutoa kwenye mada!.
 
sasa kama slaa anaiua chadema kinachomuuma nape ni nini???
 

CDM acheni kujitetea kwa hoja zisizo na mshiko, tuliwaeleza kwamba mgombea wenu wa kata ya Mwawaza ni mwizi nyie hamkujali, matokeo mabaya yametoka mnalia lia, jifunzeni kuchunguza wagombea, ufadhili wa Chama na uswahiba wa Mgombea kwa Slaa visiwe vigezo pekee
 
Hivi Jamani tunajifunza nini
Kwa nini CCM mnakuwa waongo na wanafiki
Nape unajua kabisa uchaguzi huu ulikuwa umetawaliwa na Rushwa?
Hivi CCM kuna uchaguzi unaopita bila kutoa RUshwa
Watu walikuwa wanapita polini magari yenu yamepaki huko wanatoa Rushwa mpaka ikawa zogo
Nape ina maana hujui haya au unaongea Kinafiki
Tumechoka sana CCM na mambo mnayoyafanya
Kwa vile Chama na uongozi wenu umewashinda
Na kwa vile mnauchu na madaraka bado mnataka muendelee kutawala hata kwa njia zisizo halali
Lakini kumbukeni hakuna jambo lisokuwa na mwisho
 
-Seriou attention seeker! Najua unafuatilia hapa kaka na huna guts za kujibu kwa kuwa hujaacha unafiki wako tangu ukiwa Acharya-Bangalore.
--Nape anakwepa kujibu tuhuma za kuchochea uasi ndani ya chama chake kupitia UVCCM hadi kufikia hatua ya kupigana
-Anakwepa tuhuma za rushwa kwenye chaguzi za jumuiya za chama hasa jumuiya ya vijana ambayi yeye alihusishwa moja kwa moja
-Ni jambo la fedheha kwa msomi wa Journalism pale Acharya,Bangalore kupotosha kwa maslahi madogo.Anapodai CCM ilikua kwenye chaguzi za ndani anamdanganya nani kwamba shughuli za chama zilisimama?Steven wassira na baadhi ya mawaziri pamoja na wakuu wa mikoa na wilaya hawakuwa kwenye kampeni?
-Yeye Mwenyewe alikua shinyanga na waziri wa zamani Ezekiel Maige
-Anapodai Chadema imefeli kwenye M4C inaonekana tatizo lake kwenye hesabu na statistics kama alivyokuwa chuoni Acharya linaendelea kumwandama,Chadema imeongeza kata 3 na CCM imepoteza 4.Chadema imepata mafanikio kwa 60% na wao wamepoteza 11%.Hii ni baada ya M4C kufanyika Morogoro na Lindi ambako hata hivyo Chadema ilimpongeza mbunge wa mtwara mjini wa CUF ambako kwenye udiwani CUF wameshinda
-Kule Tabora kwa mwenyekiti wa CUF ambao ni wabia na CCM huko Zanzibar Chadema imeshinda kata.Sasa haya si mafanikio?
-Dr.Slaa hawezi kuhiuzulu siasa kwa kuwa anahitajika sana kutuongoza na pia kuwafunda vijana wakiwemo vijana wasaliti wa aina ya Nape ambaye yupo tayari kutumika na wazee wale waliolifikisha taifa hapa kwa kisingizio cha haiba ya vijana
 
Furaha ya muda tu.............sisiemu wameongeza viti au wamepunguzaaaa?
 
Ukweli usemwe! CCM imepunguza idadi kwa 11% na CHADEMA imeongeza 60% ... Kwanini wengine wabishi humu? CCM propagandist NAPE lazima aseme uongo, hiyo ni kawaida kwa CCM. Tuwape baibai tu. Tunaendelea kuwabandua mdogomdogo mpa weshe.
 

Duh! Kwakweli CDM inapaswa ijitathmini tena kidogo lazima kuna sehemu inakosea!Imetumia nguvu sana kuhamasisha wananchi lakini outcome haifanani na jitihada zao!May be they have to change the strategy.
 
CDM 5 vs CCM 27. Very bad outcome compare to what you have been invested to the public ! (what ever the reason)
CDM should not use the previous base to measure their success, They should compare it with his rival.
If the growth rate is lower than 50% of the total victory of your rival, it is completely failure.
CDM has got a bench mark to improve their next step!Their success to outwit ccm will need them to grow 5 times faster than ccm in the next 36 months before elections.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…