Nape azomewa mkutanoni Kasulu

Nape huwa anaropoka mara nyingi kuwa upinzani unakufa, naona sasa kajionea mwenyewe kifo cha chama chake kigoma!
 
Kwenye mkutano wa hadhara hapa wilayani Kasulu, wakati anaendelea kuongea anasema eti miradi yote ya maendeleo iliyotakiwa kufanyika wilayani hapa Mbunge wenu ni kikwazo kwasababu anapinga kila kitu bungeni.

Baada ya hapo akatamka eti tuliahidi na tumetekeleza ghafula umati wa watu ukalipuka na kuanza kumzomea.

Mpaka sasa anatamani ashuke jukwaani anasema eti hata kama mtanuna nitawagawia vidonge japo vichungu lkn mtameza ule mtindo wake wa kusema sentesi na kuacha wananchi wamalizie hauna chake hapa akisema CCM oyeeeeee watu kimyaaaaa.
atakapofika kigoma ajitayarishe kuwatuliza wana kigoma watakapotaka mji unaotaka kujengwa kigamboni ukajengwe kigoma maana kikwete aliwaambia kwamba kigoma itakuwa dubei
 
Ngoja na mie nimzomee hilooooooo kubwaaaa jingaaaa!! ! Linafikiiiii,likizeeka litakua chawiiiii!!!!
 
nape.nda bana? dah kituko chaukweli. Ila dawa yake inatokota mdomdo. Jamaa yuko courage wala haelewi somo kijana wawatu. Hajui ni mwiba gani upo njiani. Watu wengine wako siriaz, yeye anatania nchi
 
Anasema walimtosa Lowassa kwa sbb ya mchezo mchafu ndani ya Richimond, anasema eti amewaambia Mahakama ahakikishe wanaotumia madaraka vibaya wawajibishwe.

wame mtosa nini? wana muweza?DHAIFU mwenyewe anafyanta pale aje huyu NEPI mropokaji?,si alisema ata wavua ....magamba imekuwaje?
 
CDM inawauma sana mkiona secretariat ya CCM inafanya mikutano mbona nanyi mkifanya yenu haituumi acheni wivu wa kike

sekretarieti imezomewa kujana wivu upi unaongelea?,au wa DODOMA kuzuia lema asiongee na wananchi? POLICCM
-Kusaidiwa na JWTZ koote bado hamuelimiki tu? au ndo kumtumikia KAFIRI mpate mradi wenu?
 
ccm hiyo hiyo 2012 imemteua mwarabu mweusi(msomali)abdurahamani kinana.kinana ni mmoja wa wamiliki wa kampuni yenye tender ndani ya bomba la gesi mtwara dar,ccm chini ya kikwete imempa kazi kinana kuendeleza na kulinda wizi wa rasilimali ya nchi.
Hebu tupe uthibitisho wa haya machache maana naona umeibua mapya humu.
 
Kasulu hamna Boda Boda? Maana Boda Boda wao hawatanii wala kuzomea. Hawa jamaa wapo One STEP Ahead.

2012_11_Akim_BodaBodaWaiting.jpg


Uumize kifua kwa kukimbiza upepo halafu mtu akuletee za kuleta, lazima wote mrudi ground zero.
 
Back
Top Bottom