Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,323
- 6,811
Nape huwa anaropoka mara nyingi kuwa upinzani unakufa, naona sasa kajionea mwenyewe kifo cha chama chake kigoma!
atakapofika kigoma ajitayarishe kuwatuliza wana kigoma watakapotaka mji unaotaka kujengwa kigamboni ukajengwe kigoma maana kikwete aliwaambia kwamba kigoma itakuwa dubeiKwenye mkutano wa hadhara hapa wilayani Kasulu, wakati anaendelea kuongea anasema eti miradi yote ya maendeleo iliyotakiwa kufanyika wilayani hapa Mbunge wenu ni kikwazo kwasababu anapinga kila kitu bungeni.
Baada ya hapo akatamka eti tuliahidi na tumetekeleza ghafula umati wa watu ukalipuka na kuanza kumzomea.
Mpaka sasa anatamani ashuke jukwaani anasema eti hata kama mtanuna nitawagawia vidonge japo vichungu lkn mtameza ule mtindo wake wa kusema sentesi na kuacha wananchi wamalizie hauna chake hapa akisema CCM oyeeeeee watu kimyaaaaa.
na ya kwako aachiwe nani??hhehehhehe sasa huku ni unafki wanajidai hawapendi ccm halafu walienda kufanya nn kama sio sitaki nataka hhehehhe yangoswe muachie ngoswe
yuko ka number 9.Huyo mh. Nape yuko ccm kwa sababu ya pesa basi! Ndo maana ananenepeana ka nini sijui!
Napeeee, hapo vipi?
Napelile Mwandosya! Anamtafuta mzazi wake bado?
Anasema walimtosa Lowassa kwa sbb ya mchezo mchafu ndani ya Richimond, anasema eti amewaambia Mahakama ahakikishe wanaotumia madaraka vibaya wawajibishwe.
CDM inawauma sana mkiona secretariat ya CCM inafanya mikutano mbona nanyi mkifanya yenu haituumi acheni wivu wa kike
Hebu tupe uthibitisho wa haya machache maana naona umeibua mapya humu.ccm hiyo hiyo 2012 imemteua mwarabu mweusi(msomali)abdurahamani kinana.kinana ni mmoja wa wamiliki wa kampuni yenye tender ndani ya bomba la gesi mtwara dar,ccm chini ya kikwete imempa kazi kinana kuendeleza na kulinda wizi wa rasilimali ya nchi.
Kasulu hamna Boda Boda? Maana Boda Boda wao hawatanii wala kuzomea. Hawa jamaa wapo One STEP Ahead.
1. Swali la kwanza kuna mzee kauliza umetuambia kuwa mmefufua reli ya Kigoma nani aliyeiua?
Swali zuri sana hili. Ningemuona huyo mzee ingebidi nimpongeze kwa dhati.