Emergence sumu
Member
- Nov 19, 2011
- 13
- 4
Nape Nnauye kasambaratisha ngome ya Chadema Mafinga Mjini na Wanachama wa Chadema wamesema wamechonga kuwepo kwenye Chama cha Kikabila na kinachoendeshwa na watu kadhaa utadhani chama ni chao na Familia yao, Hawajawahi hata kusema Mamilioni ya Rukuku wanatumiaje zaidi ya kuweka mifukoni mwao hakuna Kiongozi yeyote wa Mkoa au Wilaya anayenufaika na Mamilioni ya Ruzuku wanayopata kutoka kwenye serikali, Na wakauliza Je wakikabithiwa nchi itakuwaje,,
Na Nape kawaeleza adhari ya nchi kukabithiwa kwa wanaharakati Duniani haijawah kutokea nchi ikakabithiwa kwa Wanaharakat huwa haitawaliki na CCM HAWAPO TAYARI KUKABITH NCHI KWA WANAHARAKATI, Nchi huwa inkabithiwa kwa chama cha Siasa...
Tanzania Chama cha Siasa ni CCM Tu coz Viongozi wa vyama vyote ni Oil Chafu iliyomwagwa na Magari ya CCM.
AMA KWELI, UJINGA NI MZIGO! KWANZA UMEANDIKA RUKUKU BADALA YA RUZUKU, HALAFU NADHANI WEWE UTAKUWA NI MTANGAZAJI WA REDIO UHURU (JIMMY KAGARUKI)! ANAYEKABIDHI NCHI NI CCM AU NI WAPIGA KURA? USE PROPER ORGANS FOR THINKING PLEASE! THREAD KAMA HIZI NI UCHAFUZI MKUBWA WA Jamiiforums,MODERATORS MUWE MAKINI NA WATU WACHAFU KAMA HAWA!