Nape atimiza umafia Mwanza

leo ccm imetia huruma mwanza,manake wahudhuriaji wa kukodiwa ndio waliujaza uwanja,na kulipwa mlo wa mchana...,duh kumbe njaa nayo ni mtaji
 

Toba!!! Maulana, Wamesilimishwa?? wamekuwa suni? Boko Haram? au Al Shaabab?
 


Kwa mtu aliye makini ambaye anaijua mwanza vizuri, CHADEMA haiitaji wanachama kushinda, inahitaji wananchi wa Mwanza.
 
CCM ni chama kina wanachama wengi na bado kinapendwa, hawawezi kuwa na udanganyifu wa ku print kadi za CHADEMA ili ionekane watu wamezirejesha na kujiunga na CCM.
 
ccm leo imefunika vibaya mwanza, ni ndremo na vifijo huku mtaani

Imefunika kwa kubeba watu kwa malori, mabasi na bodaboda kutoka viunga vya mji wa Mwanza na mikoa jirani na kutoa hongo ya shilingi elfu kumi kumi.

Hii aibu mtaishi nayo mpaka lini?
 
kumbe mnajindaa kulipiza kisasi na kumwaga damu mkishika dola.


Mazingira ya kisasi hayapo kabisa CHADEMA, ingekuwa hivyo nchi ingechafuka 2010 maana kwa muungwana kushinda kwa wingu la kura kuibia sio sahihi, pili Mwanza serikali ni ya CHADEMA lakini kwa uungwana walionao CHADEMA, ndo maana CCM wakaomba wafanyie birthday yao Mwanza, utalipizana kisasi na wehu wa fikira kwa namna gani? hawa ni wa kusamehe tu, hawajui walitendalo. Laiti wangejua nchi tajiri kutoka kwa mungu leo hii iwe yenye watu masikini haiwezekani, wangekaa kando waone japo wengine watafanya nini tofauti na wao, sasa ukikuta mtu anafikira mgando kama alivyowaonya Mkama, anadhani ni ujanja kung'ang'ania ufunguo/usukani hata kama Kufuli/barabara imemshinda, eti hoja yake ni bora tulale nje au tukose wote.
 
CCM ni chama kina wanachama wengi na bado kinapendwa, hawawezi kuwa na udanganyifu wa ku print kadi za CHADEMA ili ionekane watu wamezirejesha na kujiunga na CCM.

Unaweza ukasema lolote kwa nchi, lakini hakika nakwambia CCM mwanza, imebaki viongozi na watoto wao, wadoea pilau na watu wa namna hiyo. Mwanza ni mali ya CHADEMA sio kupitia wananchama wake, bali wananchi wa MWANZA. uliza dialo alipigwa vipi? Masha alipigwa vipi? ndo ujue wananchi wa Mwanza ndo wameipa CHADEMA umiliki wa MWANZA, WAKIWEMO WANACCM WAKUBWA.
 

Sasa hiki nacho ni nini?mara oooh CCJ,CCM,CUF,CDM, mbona hueleweki ulitaka kumaanisha nini?
 
Huwezi kusababisa matatizo harafu ukavunga kujua namna ya kuyatatua bila msaada kutoka kwa mkosoaji wako, matatizo ya TZ chanzo ni CCM na Serikali zake, Sasa leo eti wamachinga waorodheshe shida zao Kikwete atasaidia??? Kama Rais ina maana hajui matatizo ya wamachinga hadi aorodheshewe??? ni usanii mmachinga kaliwa kwa mara ya nyingine tena.

Jiulize kwa namna hiyo nchi inautawala kweli? vyombo za kiintelejensia viko wapi rais anaomba wamachinga waorodheshe shida zao, ina maana hajui wamachinga wapo TZ, kama anajua hajui shida zao? au ndo anataka awape pesa milioni kadhaa harafu ale kona, zikiisha atunge usanii mwingine. WAMACHINGA WANATAKA SEHEMU ZA KUFANYIA KAZI, WANATAKA WASUMBULIWE WAKIWA WANATEMBEZA BIASHARA ZAO MAANA HUO HASA NDO UMACHINGA, WANATAKA WASAIDIWE ELIMU YA UJASIRIAMALI sasa rais hajui; akili yake anadhani wanataka pesa tu, kwa hiyo anataka aambiwe sh. ngapi hivi zitawanyamazisha hawa wachovu wa TZ
 
ukitaka kumjua adui kummaliza na kumchinja zaidi kaa karibu naye.so magwanda tulikua bega kwa bega ilituweze kuwachinja.we c unaona majembe yote yanavaa nin?kichwa kimoja sawa na wtu mia.mgwada juuu.
 
Nape mjanja sana anatumia style zile zile za makamba!!ubwabwa sana na leta malori toka vijijini wape 10,000 kila mtu cheza ngoma kama vile furahisha meza kuu,......ikija uchaguzi wale wote huwaoni!!

Hajaifunzxa tu!?
 
Watu wamefata burudan ya bure toka kwa sumalee, ndo mana waliondoka sumalee alipomaliza wakabak walioletwa na malori

usingesema hivyo ungesema nini?
 
Mwakani hamishieni sherehe za miaka 36 pale Mbeya Mjini. naona mnajaribu kubomoa ngome za CHADEMA.

Ahsante kwa Maoni yako kijana.
Tunayafanyia kazi.
 
Nape mjanja sana anatumia style zile zile za makamba!!ubwabwa sana na leta malori toka vijijini wape 10,000 kila mtu cheza ngoma kama vile furahisha meza kuu,......ikija uchaguzi wale wote huwaoni!!

Teh teh. Nshawahi kushuhudia malori kadhaa yakiwa na wanachama wa chama cha Nape miaka kadhaa iliyopita mkoani Tanga. Baada ya sherehe kuisha wanachama wakaanza kulalamika kwamba wameachwa solemba bila hata ya 'maji ya kunywa'
 
Wangewapa na suruali na viatu hata yebo yebo basi maana vile viatu walivyoaa sungusungu vinaidhalilisha CCM
 
 
Hata kama wameletwa na ndege kwani kuna ajabu gani, tatizo lenu nyie CDM mnafikiri kila kitu ni kampeni, hizo zilikuwa sherehe za CCM sio kampeni. Kama wanacdm walitokeza kurudisha kadi basi hiyo ilikuwa zawadi kwa CCM.

CCM walisha shinda na 2015 watashinda kiulaini, hii sherehe ilikuwa ni kuenzi chama. Haya mambo ya kuosha sura tunawaachia kina Slaa na sugu.
 
VIPI WALIPIKA WALI KWENYE KAMPENI..............................??????maana sijaelewa hapa.
 

Mamdogo wangu FF mbona unazidi kunikatisha tamaa kila nikijaribu kukuona wewe kama ni objective person unayesimamia unalolijua. Wote tuliowengi humu tulianzia CCM.......lakini unapolazimisha watu waamini kuwa kitendo cha watu kujiunga na CCM ni kusilimishwa ni kukiweka chama chako kwenye wakati mgumu. Utaona ni simple lakini kuna mwana ccm na ni mkristo mzuri sasa akiju kuwa kitendo cha yeye kuwa magamba tayari kasilimishwa......kidogo ina utata. Mie nina imani wewe ni adult. Kweli udini ndo umekushika kiasi hiki ma mdogo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…