wanatamani
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 415
- 145
"Zamani sisi ndani ya chama ukisikia Msemaji wa Chama akikutana na waandishi wa habari atakachoanza kusema ni hivi..... " Kikao flani (CC, NEC etc) kilichoketi tarehe chini ya Mwenyekiti wake flani kimeazimia yafuatayo.........."
Huu ndo utaratibu sasa anapotokea mtu na kutamka yake basi hayo yanakuwa yake si ya Chama. Ndani ya CCM huo utaratibu haupo hata kidogo....
Na nashangaa Viongozi nao wamekaa kimya huku ni kukiua Chama. Watafurahia leo kashambuliwa flani ila hawawezi jua kwamba kesho yaweza kuwa ni wao..... Mambo kama haya lazma yakemewe....."
BY : Abeid Amani Karume