Nape asema CHADEMA ni chama cha Kigaidi

Nape asema CHADEMA ni chama cha Kigaidi

Sawa ni kwel but jua kuwa huo ndo utandawaz,maana weng hatuna bunduki mawe ni bure.
 
Nitoe pole tena kwa wale waliokumbwa maafa huko Singida.

Nape anasema CHADEMA ni chama kigaidi, je nasema serikali ya CCM imeruhusu ugaidi? Kama yeye Nape anajua kuna kikundi au cham cha kigaidi nchini na ushahidi anao kwa nini asipeleke polisi? Au na yeye ni mmoja wa hao magaidi na ndio maana hatoi taarifa police?

Pia ningeta kumuuliza Nape haya:
1. Wakati wa uchaguzi Igunga kulikuwa na taarifa za vijana wa Green Guard (CCM) waliokuwa wanapewa mafunzo jimboni mwa Mwigulu Nchemba ili walete fujo wakati wa campaign huko Igunga, wale vijana wako wapi?

2. Kwenye uchaguzi huo huo wa Igunga, mfuasi wa CHADEMA alitekwa, akateswa na kuuliwa kinyama, Nape alitoa kauli gani?

3. Arumeru ameuliwa mwanaCHADEMA, Nape ametoa kauli gani?

4. Week mbili zilizopita, Dr Ulimboka alitekwa, akateswa usiku mzima na kutupwa kwenye msitu wa Mabwepande. Tofauti na wengine waliokuta na dhahama kama hiyo, Dr Ulimboka hakufa, na ameweza kutaja baadhi ya watu walioshiri kumteka. Nape, tunayembiwa anaendesha siasa za kisasa, hadi leo hii hajatoa tamko juu ya mkasa wa Dr Ulimboka!

Lakini hii ya Singida kwa sababu anazozijua yeye Nape, ndani ya masaa 24 tayari ameshatoa tamko na zaidi ya hapo ametaja wahusika kuwa ni CHADEMA! Nape anaweza kusema marehemu alikutwa na mkasa huo akiwa wapi? Ni kweli alikuwa kwenye mkutano wa CHADEMA? ziko taarifa aliuliwa kwenye nyumba ya mtu, je Nape anajua hilo?

Mwisho, maombi bado yanaendelea Jangwani na wakati huo huo harakati za kweli, kweli tupu na sio propaganda zitaendelea. Tunakwenda kumlilia mungu ili aingilie kati kama alivyofanya kwa Dr Ulimboka. Kwa imani kubwa, tutaomba mungu atoe haki. Kama anaona Nape,Nchemba, na wengine wa aina yao, wanayofanya ni sawa basi na awabiriki, lakini kama anaona kuna dhulma, uwongo na mungu ajitokeze kuokoa wateswa wake.

Kuna wakati kabla ya kuandika ni lazima watu muwe mnafikiri sawasawa.,wakati mwingine wakwe zenu pia wanasoma hizi post wasije wakawanyang'anya watoto wao..,kwa ujinga huu..,umeanza kwa pole na salamu za rambirambi nikapata matumaini kuwa naanza kusoma comment yenye akili ila kilichokuja kutokea baada ya kuendelea kusoma nimestaajabu. Vipi mtu ataje yale yasiyojulikana wakati yaliyo wazi yapo mbele ya macho yake..,tukio la kutolewa vijana singida kwenda igunga ndo kwanza nimelisikia hapa leo, dalili zote katika story hiyo ni kuwa jambo hili si kweli wala la kuuwawa kwa kada wa CCM ila najua kuwa CHADEMA walimvua nguo DC wa IGUNGA na kisha kumwagia tindikali kada wa Chama cha Mapinduzi na mwisho waliamua kumuua mwanachama mwingine wa CCM.,imekuwa ni kawaida ya CHADEMA kuua makada na wanachama wa CCM.
 
Kuna wakati kabla ya kuandika ni lazima watu muwe mnafikiri sawasawa.,wakati mwingine wakwe zenu pia wanasoma hizi post wasije wakawanyang'anya watoto wao..,kwa ujinga huu..,umeanza kwa pole na salamu za rambirambi nikapata matumaini kuwa naanza kusoma comment yenye akili ila kilichokuja kutokea baada ya kuendelea kusoma nimestaajabu. Vipi mtu ataje yale yasiyojulikana wakati yaliyo wazi yapo mbele ya macho yake..,tukio la kutolewa vijana singida kwenda igunga ndo kwanza nimelisikia hapa leo, dalili zote katika story hiyo ni kuwa jambo hili si kweli wala la kuuwawa kwa kada wa CCM ila najua kuwa CHADEMA walimvua nguo DC wa IGUNGA na kisha kumwagia tindikali kada wa Chama cha Mapinduzi na mwisho waliamua kumuua mwanachama mwingine wa CCM.,imekuwa ni kawaida ya CHADEMA kuua makada na wanachama wa CCM.

TandaleOne, masikio yako yanasikia kile wewe unataka kusikia, na kama hutaki kusikia basi masikio automatically yanaziba. Na siku nyingine ukitaka kuongelea jambo ambalo wewe mwenyewe unakiri hujawahi kusikia basi ni vema ukauliza kwanza badala ya kutoa conclusion. Kwa mfano kwenye blue unasema sio kweli, wakati kwenye red unasema hujawahi kusikia! Unatofauti gani na hao wanaopeleka vichaa mahakamani?
 
Akili za Nape ni za kitoto sana, akavae nepi akalale. Nadhani yeye ndiye gaidi wa kwanza.Chama chake kinaendesha maafa ya watanzania kupitia umaskini na shida wanazozitengeza wenyewe.
 
Kwa kile kilichoonekana kuwa ni mfululizo wa matukio ya uvunjifu wa Amani kunakoandamana na umwagaji wa damu ambako siku zote Chadema wamekuwa wakiyafanya, Nape awashukia na kusema kuwa chama chao kina mlegwa wa kigaidi.
matukio hayo ambayo yanazidi kshamiri siku hadi siku, yamekuwa yakifanywa na wafusi wa CHADEMA kwa amri ama maelekezo ya viongozi wao, kwa mfano; katika mkutano wa ndani wa viongozi wa chadema ambao ulipanga mkakati mpya wa kusabotage serikali iliofanyika nyumbani kwa Mbowe mikocheni pamoja na mambo mengine ulimuagiza Rwakatare kuelekea Iramba ili kuandaa kikosi kazi na kuendesha zoezi la kumchafua Mwigulu, Rwakatare alisafiri tarehe 11 kuelekea Singida kusimamia zoezi hilo ambalo tayari limeshasababisha maafa. Ambapo tayari wafuasi wa CCM na MWIGULU wameshapata madhira makubwa kwani Kijana mmoja wa CCM ameuawa na wengine ni majeruhi tangu kuanza kwa zoezi hilo chini ya Rwakatare.

Ifuatayo ni VIDEO ya NAPE akioanisha matukio ya CHADEMA na UGAIDI.

NNAUYE::CHAMA CHA KIGAIDI..................... - YouTube
hakika maneno haya ni kweli na NAPE hakuwa amesema uongo kamwe...ni kuthibtisha kuwa Lwakatare anatumiwa muda mrefu katika kuangamiza watu wema wa Taifa hili.
 
Imefika wakati ambao kila mwananchi anatakiwa kufikiria maendeleo ya nchi kwanza, kuhakikisha taifa lina umoja na upendo,kwa namna hii tutajenga nchi..tupunguze maneno tufanye kweli, Kuna chama kina shindwa kuwajadili hata viongozi wao ila vinaongoza kuishambulia CCM kutwa nzima tena bila kuwa na tija,jengeni uwezo wa kisiasa kwa mipango safi.
 
Miongoni mwa maneno katika kitabu maarufu cha TUJISAHIHISHE cha Mwaka 1962 kilichoandikwa na Baba wa Taifa juu ya Ukweli, alisema kuwa ukweli unatabia moja nzuri, na tabia yenyewe ni kuwa haupendi kufichwafichwa, kwa kadiri utakavyouficha ukweli huo basi na wenyewe utajitahidi kujidhihirisha kwa umma unaouficha.

Mara ya kwanza ilipopandishwa habari hii, watu walikuwa mstari wa mbele kuipinga, kuibeza na kuidhihaki ila naamini watu hao leo hii hawana tena guts za kujitokeza mbele ya jamii kupingana na ukweli huu, kuwa CHADEMA ni CHAMA CHA KIGAIDI..,si tu kwa kesi iliyopo katika vyombo vya sheria bali kwa kudhihiri kwa vitendo vyao viovu mbele ya jamii.

Umefika ule wakati ambao Nape amesema kuwa ni wa kusema BASI kwa CHADEMA. Ni wito kwa watanzania kuikataa chadema na kila kilicho chake.
 
Tuwekee video ili uwe ni ushahidi baadaye asije akakanusha kwamba password yake imevamiwa hakuwa yeye.
 
Kuna wakati kabla ya kuandika ni lazima watu muwe mnafikiri sawasawa.,wakati mwingine wakwe zenu pia wanasoma hizi post wasije wakawanyang'anya watoto wao..,kwa ujinga huu..,umeanza kwa pole na salamu za rambirambi nikapata matumaini kuwa naanza kusoma comment yenye akili ila kilichokuja kutokea baada ya kuendelea kusoma nimestaajabu. Vipi mtu ataje yale yasiyojulikana wakati yaliyo wazi yapo mbele ya macho yake..,tukio la kutolewa vijana singida kwenda igunga ndo kwanza nimelisikia hapa leo, dalili zote katika story hiyo ni kuwa jambo hili si kweli wala la kuuwawa kwa kada wa CCM ila najua kuwa CHADEMA walimvua nguo DC wa IGUNGA na kisha kumwagia tindikali kada wa Chama cha Mapinduzi na mwisho waliamua kumuua mwanachama mwingine wa CCM.,imekuwa ni kawaida ya CHADEMA kuua makada na wanachama wa CCM.
Yeyote akisoma atakupata kuwa wewe ndiye kilaza mkuu!! Imekuwa ni kawaida! hivi siasa imetufanya tuwe na akili za hayawani?
 
Kwa kile kilichoonekana kuwa ni mfululizo wa matukio ya uvunjifu wa Amani kunakoandamana na umwagaji wa damu ambako siku zote Chadema wamekuwa wakiyafanya, Nape awashukia na kusema kuwa chama chao kina mlegwa wa kigaidi.
matukio hayo ambayo yanazidi kshamiri siku hadi siku, yamekuwa yakifanywa na wafusi wa CHADEMA kwa amri ama maelekezo ya viongozi wao, kwa mfano; katika mkutano wa ndani wa viongozi wa chadema ambao ulipanga mkakati mpya wa kusabotage serikali iliofanyika nyumbani kwa Mbowe mikocheni pamoja na mambo mengine ulimuagiza Rwakatare kuelekea Iramba ili kuandaa kikosi kazi na kuendesha zoezi la kumchafua Mwigulu, Rwakatare alisafiri tarehe 11 kuelekea Singida kusimamia zoezi hilo ambalo tayari limeshasababisha maafa. Ambapo tayari wafuasi wa CCM na MWIGULU wameshapata madhira makubwa kwani Kijana mmoja wa CCM ameuawa na wengine ni majeruhi tangu kuanza kwa zoezi hilo chini ya Rwakatare.

Ifuatayo ni VIDEO ya NAPE akioanisha matukio ya CHADEMA na UGAIDI.

NNAUYE::CHAMA CHA KIGAIDI..................... - YouTube

ni kweli chadema ni chama cha kigaidi na hakifai kabisa
 
hakika maneno haya ni kweli na NAPE hakuwa amesema uongo kamwe...ni kuthibtisha kuwa Lwakatare anatumiwa muda mrefu katika kuangamiza watu wema wa Taifa hili.

hadi umeanza kujijibu mwenyewe, ni kweli umetumika vya kutosha na sasa umejisahau
 
Ni bora mtu yule mmoja kufa kuliko angefanikiwa kutimiza dhamira yake madhara yangekuwa makubwa, Nchemba ndo aliwakod vijana ili kuja kuvuruga mkutano ule, lakin alilipwa mshahara wake yule kijana ulosawa na kaz alotumwa, polis walibainisha mahakamani.
 
Japo jongoo ni mpole haimaanishi umchokoze, nape ni mpumbavu, ina maana ameshasahau kuwa vijana wa ccm waliagizwa na kutekeleza mauaji ya kada wa chadema kule Igunga na kule Arusha baada ya chaguzi ya Arumeru au kwa kuwa wale chadema na yeye anaona sawa.
 
Kuna wakati kabla ya kuandika ni lazima watu muwe mnafikiri sawasawa.,wakati mwingine wakwe zenu pia wanasoma hizi post wasije wakawanyang'anya watoto wao..,kwa ujinga huu..,umeanza kwa pole na salamu za rambirambi nikapata matumaini kuwa naanza kusoma comment yenye akili ila kilichokuja kutokea baada ya kuendelea kusoma nimestaajabu. Vipi mtu ataje yale yasiyojulikana wakati yaliyo wazi yapo mbele ya macho yake..,tukio la kutolewa vijana singida kwenda igunga ndo kwanza nimelisikia hapa leo, dalili zote katika story hiyo ni kuwa jambo hili si kweli wala la kuuwawa kwa kada wa CCM ila najua kuwa CHADEMA walimvua nguo DC wa IGUNGA na kisha kumwagia tindikali kada wa Chama cha Mapinduzi na mwisho waliamua kumuua mwanachama mwingine wa CCM.,imekuwa ni kawaida ya CHADEMA kuua makada na wanachama wa CCM.

Nachojua mimi Vijana wa CCM walimkata mapanga mbunge wa Ilemela (CHADEMA)...wakamshambulia kwa mapanga na kumuua mwenyekiti CDM USA RIVER...Waliwafukia wachimbaji Geita..!
 
Walioshindwa kuvumilia vyama vingi, kuvipopoa mawe na baadaye kuvipiga marufuku, si ndio magaidi, na watoto wao CCM si haohao tu.
 
Miongoni mwa maneno katika kitabu maarufu cha TUJISAHIHISHE cha Mwaka 1962 kilichoandikwa na Baba wa Taifa juu ya Ukweli, alisema kuwa ukweli unatabia moja nzuri, na tabia yenyewe ni kuwa haupendi kufichwafichwa, kwa kadiri utakavyouficha ukweli huo basi na wenyewe utajitahidi kujidhihirisha kwa umma unaouficha.

Mara ya kwanza ilipopandishwa habari hii, watu walikuwa mstari wa mbele kuipinga, kuibeza na kuidhihaki ila naamini watu hao leo hii hawana tena guts za kujitokeza mbele ya jamii kupingana na ukweli huu, kuwa CHADEMA ni CHAMA CHA KIGAIDI..,si tu kwa kesi iliyopo katika vyombo vya sheria bali kwa kudhihiri kwa vitendo vyao viovu mbele ya jamii.

Umefika ule wakati ambao Nape amesema kuwa ni wa kusema BASI kwa CHADEMA. Ni wito kwa watanzania kuikataa chadema na kila kilicho chake.

Unajua mtaani wananchi wameshapuuzia nyimbo zenu...nilikuwa Iringa kila sehemu wanapondea picha wanazocheza CCM....Nikaenda Mwanza ndio nilitaka kupigwa na wazee kwa kutania ni kada.
 
Nachojua mimi Vijana wa CCM walimkata mapanga mbunge wa Ilemela (CHADEMA)...wakamshambulia kwa mapanga na kumuua mwenyekiti CDM USA RIVER...Waliwafukia wachimbaji Geita..!

Nape hana habari kuwa Wakala wa CDM kule Igunga, Masoud, alitekwa, akateswa kinyama na kuuawa, pamoja nae kuna wafuasi wengine 15 waliuawa Igunga, Polisi haijakamata mtu yoyote mpaka sasa, Mwenyekiti wa CDM kata ya USA River alichinjwa, Singida imethibitishwa wauaji walitumwa na Mwigulu. Anajua kuhusu video tu, kuhusu kutekwa mtu ambae hajaguswa, wala hana hata dalili ya kuguswa, kesi yake iko mahakamani, ndio kigezo chake cha kuhukumu CDM ni chama cha kigaidi. Ptuu!!
 
Back
Top Bottom