NAPE ni JEMBE ambalo linasambaratisha vichuguu kwa kujiamini anachokipigania,Kamtisha Dr.Slaa hadi kaamua kutogombea.CCM wakishindwa ni uteuzi wakumbeba mtoto wa Sumari tu lakini siyo kisera.
Siasa za nchi hii bana. Lakini, nina uhakika kuna watu baadhi ya mistari watairuka.
Nawaomba tu cdm, tufanye siasa za ustaarabu, japo mnaenda kupambana na mtu aliye
tayari kuua hata kijiji kizima ili ashinde.
GWAJIMA mbona ndo mzinzi mkuu wa dunia!!? Safi sana MR.KIROJO haya magamba safari hii yataambulia vumbi na kikohozi! NAPE umeisikia hiyo?usije ukasema hukujua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.