Nape apingwa Facebook

Nape apingwa Facebook

kila kitabu na zama zake, zama za ccm zimekwisha pita sasa ni zama ya chama kingine.
 
Facebook wamejaa sana ChaDeMa... Ninamisi status za Nape Facebook akiwa mkuu wa wilaya...
Kila mahali sasa tumejaa Chadema kwa kuwa kila mwenye kufikiri vema ameshachoshwa na magamba.
 
Nape tunakusubiri arusha kwa hamu sana ila uje na yale majibu yetu kwenye post niliyo post jana la sivyo nakuonea huruma.

Usipoteze muda kumsubiri huyo kilaza hana jipya wala majibu hukumsikia mkwe,re kule BBC Swahili huyu nae atakuja hivyo hivyo na majibu ya hovyo hovyo kama ya mkwe.re
 
IMG_0029.jpg hakika nape kawakimbiza magwanda ile mbaya, maana kila siku humu thread zaidi ya moja inamjadili jembe nape, ccm hamkukosea kumweka nape. Kawachanganya watu hapa utadhani anaakili sana
 
Mtalalaka hadi kiama, mara JF Chadema, mara fb Chadema. 2015 Chadema ndani ya Ikulu
 
Back
Top Bottom