Nape aogopa kutia mguu Arusha

Mbona mkuu tulikuwa tayari tu kuhudhuria mkutano haswa angefanyia pale NMC sasa alichoogopa ni nini hasa? Vijana walikuwa wamejipanga vema na kwa hamu kuhudhuria kusikiliza na kuijibu hotuba yake papo hapo uwanjani.
Sidhani kama angefanyia viwanja vya Unga ltd kwa hofu ya kukosa watu maana siku hizi wameanza mtindo wa kufanyia Stand kuu za mabasi kuvizia watu wanaosubiri usafiri.
 
CDM hawachoki siasa za uchwara. Nape kwani aliwapa ratiba ya ziara yake???? Msipende kudandia yasiyowahusu, malizeni mgogoro na madiwani wenu ambao wameapa hawatathubutu kutekeleza maagizo ya Kamati Kuu yenu kupitia barua ya Dr. Slaa. Aibu imewakuta madiwani wenu kutamka mbele ya wandishi wa habari kuwa KAMWE hawatishiki na barua toka taifani wao wanaangalia maslahi ya wapiga kura wao.
http://4.bp.blogspot.com/-KgyNYYNu6Y8/TgeeUBblVYI/AAAAAAAAG4g/Mk7Q5YGH8ko/s1600/3.JPG
 
Wakuu, hivi karibuni yule katibu mwenezi wa chama kinacho chukua mazoezi ya kuwa chama cha upinzani bwana Nape Nauye, tulitaarifiwa atakuwa na mikutano moshi na Arusha. Lakini hali imekuwa ndivyo sivyo baada ya Nape kufanya mkutano Moshi na kukosa watu waeneo husika na kubaki na watu wake wakubeba toka wilaya za jirani na mji wa moshi.

Nape alitarajiwa kutia miguu Arusha ila hali imekuwa ndivyo sivyo kwa sababu zifuatazo:
1. Tulimweleza nape kabla ya kuja Arusha aje na majibu ya Kagoda, Richmond, Epa, Rada
2. Ahakikishe watuhumiwa wote wamefikisha mahakamani kabla ya kutia miguu yake Arusha.
3. Ahakikishe m/kiti wake wataifa anaingizwa kwenye kesi ya kuhujumu uchumi toka 2005.
4. Ahakikishe serikali yake inatoa umeme siku mbili kabla ya kuingia Arusha bila kukatika.
Nape na serikali ya chama chake walikosa majibu na kuamua kusitisha ziara hiyo Arusha na kuamua kurudi Dodoma, imedhibitika kuwa Nape amekataa kata kata kutia miguu Arusha pamoja na kushinikizwa aje lakini kakataa na kudai Arusha si mnaifahamu? Mimi siwezi kwenda Arusha sasa mpaka hapo nitakapo jiridhisha alisema Nape.

kilewo

Nape: siasa zake hufanyia sehemu laini laini ila sehemu ya arusha ni ngumu na hawezi tia *mguu hata siku moja, taarifa zinaenda mbali zaidi na kusema nape hawezi tena kutia miguu igunga. hizi zimetoka ndani ya chama chao , wamemuandaa mzee mwinyi kwenda kufungua kampeni huko igunga pamoja na kuzifunga
 
Wakuu, hivi karibuni yule katibu mwenezi wa chama kinacho chukua mazoezi ya kuwa chama cha upinzani bwana Nape Nauye, tulitaarifiwa atakuwa na mikutano moshi na Arusha. Lakini hali imekuwa ndivyo sivyo baada ya Nape kufanya mkutano Moshi na kukosa watu waeneo husika na kubaki na watu wake wakubeba toka wilaya za jirani na mji wa moshi.

Nape alitarajiwa kutia miguu Arusha ila hali imekuwa ndivyo sivyo kwa sababu zifuatazo:
1. Tulimweleza nape kabla ya kuja Arusha aje na majibu ya Kagoda, Richmond, Epa, Rada
2. Ahakikishe watuhumiwa wote wamefikisha mahakamani kabla ya kutia miguu yake Arusha.
3. Ahakikishe m/kiti wake wataifa anaingizwa kwenye kesi ya kuhujumu uchumi toka 2005.
4. Ahakikishe serikali yake inatoa umeme siku mbili kabla ya kuingia Arusha bila kukatika.
Nape na serikali ya chama chake walikosa majibu na kuamua kusitisha ziara hiyo Arusha na kuamua kurudi Dodoma, imedhibitika kuwa Nape amekataa kata kata kutia miguu Arusha pamoja na kushinikizwa aje lakini kakataa na kudai Arusha si mnaifahamu? Mimi siwezi kwenda Arusha sasa mpaka hapo nitakapo jiridhisha alisema Nape.


Itabidi aje Vasco Dagama II
 
Hivi Fisadi papa amekwisha kuja Arusha (Officially) tangu yale mauaji yalipotokea?
 
daaah! kweli nape haji chuga town? Tulikuwa tuna hamu naye hadi UVCCM wenzake toka monduli, karatu, ngorongoro wangekuja kumzodoa sasa anakuja lini hata stand kuu poa tu tutamfata ila sheikh amri abeid hata kwa dawa hatuingiii
 
Mku huyu sasa anaiona Arusha chungu baada ya kupokea taarifa yakuwa wakazi wa Arusha hawataki kelele za magamba jimboni humu
 
Atakuja na wengine watakuja, mbona mmeacha kufikiri kutumia kichwa mnatumia kiungo gani. Ninyi ndio wapanga ratiba za nape? Mazezeta bwana ?
 
Atakuja na wengine watakuja, mbona mmeacha kufikiri kutumia kichwa mnatumia kiungo gani. Ninyi ndio wapanga ratiba za nape? Mazezeta bwana ?
siyo tu nape hata huyo rais wenu wa Nec muambieni aje Arusha. ila akija aje na majibu ya hayo maswali hapo juu. kuhusu ratiba, ccm haina ratiba wala haijui ratiba ila ni bendera fuata upepo.
 
Kuna maeneo wakienda ni wapinzani,mojawapo ni Arusha,hawawezi kwenda huko!
 
Kuna maeneo wakienda ni wapinzani,mojawapo ni Arusha,hawawezi kwenda huko!
<br />
<br />
chama chake kinaendelea kupata uzoefu wa kuwa chama cha upinzani kutoka katika majimbo ya moshi mjini, musoma mjini, mwanza, karatu, kigoma, mpanda, pemba kote. Wanalazimisha sana kubakia madarakani kwa nguvu za dola jimbo la Arusha lakini nguvu ya umma imawazidi. Ndio maana kuanzia JK, Pinda, na hata mawaziri hawathubutu kutia mguu Arusha. Nape is just mpiga debe na propaganda za ccm! Hana cha kuwaeleza wakazi wa Arusha ambao walishapata machungu ya kuumizwa na dola!
 
Atakuja na wengine watakuja, mbona mmeacha kufikiri kutumia kichwa mnatumia kiungo gani. Ninyi ndio wapanga ratiba za nape? Mazezeta bwana ?
Yaan wewe ndo zezeta namba 1, afu nyuma yako anafuatia nape na list inaeza kuendelea kama ukipenda. Kwataarifa yako hakuna kiongozi yeyote wa chama cha magamba mwenye ubavu wa kukanyaga ar, labda aje kmya kmya. Mwulize riz1 kilchomkimbiza sheikh amri abeid ni nini wakat alpokutana na waislam siku 1 kabla ya ramadhan kuanza! Hao magamba waendelee tu kuja kmya kmya!
 
sasa ulitegemea nini kwa wavuta bangi?
<br />
<br />

Vijana wanahasira kwasababu wamepigwa risasi na kusababishiwa ulemavu na serikali inayoongozwa na ccm kupitia polisi wao a.k.a dola halafu unasema ni wavuta bangi!?
Kweli masaburi alikuwa sahihi. Kuna watu mnafikiri kwa kutumia makalio!
 
Back
Top Bottom