Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Sidhani kama angefanyia viwanja vya Unga ltd kwa hofu ya kukosa watu maana siku hizi wameanza mtindo wa kufanyia Stand kuu za mabasi kuvizia watu wanaosubiri usafiri.Mbona mkuu tulikuwa tayari tu kuhudhuria mkutano haswa angefanyia pale NMC sasa alichoogopa ni nini hasa? Vijana walikuwa wamejipanga vema na kwa hamu kuhudhuria kusikiliza na kuijibu hotuba yake papo hapo uwanjani.