tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
ha ha ha ha, ana kikuku cha mkononi cha dhahabu?? njoo nacho Tanga ila usirushe ngumi tu!!
Tehe tehe teheeeh!! Ukada kaaazi.....!!!
Huu ni wazimu na kuanzia sasa hakuna mzazi kuruhusu mtu mzima kibaka kama huyu kucheza na watoto na Taifa la baadae. Nape nemnda chuo kikuu ukawashike mikono kama hapo juu.
masikini, alikuwa wapi hapa?
Huu ni wazimu na kuanzia sasa hakuna mzazi kuruhusu mtu mzima kibaka kama huyu kucheza na watoto na Taifa la baadae. Nape nemnda chuo kikuu ukawashike mikono kama hapo juu.
Yaani hii heading ni perfect kuuza katika magazeti ya Chadema. Eti kahonga watoto lol...kweli mmechoka kama nyayo/vikanyagio zenu/vyenu zilivyochoka/vilivyochoka
Tehe tehe teheeeh!! Ukada kaaazi.....!!!
Ala, hukujua jamaa huwgawagawa sana vitu anapokuwa ndani ya mwangwanda ya kijani?
Siyo Watoto tu bali hata watu wazima huwa anawagawia. Cha ajabu ni kugawia kanga wanaume na huku anachekelea.
Pembeni kuna dada pekee na wala hataki kumuangalia na kumpa kanga moja. Hii hadi leo inanipa sana wasiwasi kwa wanaume kugombania khanga na yeye kuwaangalia zaidi wanaume na kutokumuona dada mmja tu hapo pembeni..........
aking'ara mtoto kwenye mkutano wa chadema...mnasema ana mawazo endelevu
aking'ara mtoto kwenye mkutano wa ccm....mnasema mtoto wa fisadi
kweli nyie great sinkers
Kwa nyuma unaweza ona V8 yenye thamani ya mil 300 duh yaani anatumia gari ya thamani hiyo halafu anagawa kanga!! Kweli akili kumkichwa kama kweli anawapenda hao watu awaachie hilo gari waliuze fedha wajengee zahanati madarasa nyumba za walimu wauguzi nadhani atakuwa ameonyesha upendo kuliko huo unafiki wa kuwapa kanga wakale au!!aisee.. kumbe kuna sehemu bado watu wanadanganywa kwa kanga?
inabidi tukapige kambi huko ili kuwakomboa hao wadanganyika
aiseee hivi jamaa hakati tamaa??ana roho ngumu kama paka
Duh ccm kwisha kazi ina maana hiyo ndio audience yao?