Nape anaposhangiliwa bungeni baada ya kutambulishwa...!!

Kuna aina nyingi za kushangilia ila kuna hii moja muhimu yani kupiga makofi na kelele kwa muendelezo bila kufika kikomo hata baada ya kuombwa kuacha kufanya hivyo,kwatafsiri yangu hii inamaana ya kumchoka mtu au kuchoka kitu ambacho mtu huyo anakifanya.mfano kama mtu anahutubia then watu wamechoshwa na akisemacho hutumia mbinu ili akae kimya,sasa ndugu zangu hili limetokea bungeni hata baada ya kuombwa wabunge kutulia waliendelea.tafsiri yangu nape kachokwa hata na wenzie wa magamba.
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM imemaliza kikao chake cha siku moja usiku wa tarehe 31/07/2011 mjini Dodoma chini ya uenyekiti wa Mwenyekiti wa CCM Taifa, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete. Pamoja na mambo mengine Kamati Kuu imeamua yafuatayo; 1. Imefanya uteuzi wa makatibu ishirini na saba (27) kujaza nafasi zilizokuwa wazi katika wilaya hizo. (majina na wilaya zao yameambatanishwa). Pamoja na uteuzi huo, Kamati Kuu imetengua uteuzi wa Makatibu wa Wilaya watatu (3) katika kuboresha ufanisi wa kazi katika wilaya hizo.(majina na wilaya zao yameambatanishwa). 2. Kamati Kuu imepokea na kuridhia taarifa ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM kuwakilisha Mkoa wa Tabora, Ndugu Rostam Aziz. Aidha imempongeza kwa uamuzi huo uliozingatia maslahi mapana ya chama chake. 3. Kamati Kuu imepokea pia taarifa ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Mbunge wa Igunga, Ndugu Rostam Aziz na kuagiza chama kupanga ratiba ya mchakato wa kumpata mgombea ubunge wa Jimbo la Igunga itakayozingatia ratiba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi juu ya uteuzi wa mgombea. Aidha Kamati Kuu imeagiza shughuli zote za kampeni kutafanywa na CCM Mkoa, Wilaya na ngazi zote za chama wilayani Igunga. CCM Taifa watashiriki kuongeza nguvu. Chama kinatoa wito kwa wana CCM, wapenzi na wakereketwa wa chama chetu kushiriki kwa pamoja kuhakikisha jimbo linabaki kwa CCM. 4. Kamati Kuu haijaridhishwa na kiwango cha bei ya mafuta ya taa nchini kwa kuwa ndio nishati inayotumiwa na wananchi wengi wenye kipato cha chini. Aidha Kamati Kuu haikuridhishwa na maelezo ya kupandishwa kwa bei ya mafuta hayo kwa kisingizo cha kuzuia uchakachuaji wa mafuta mengine. Hivyo basi, Kamati Kuu imeiagiza Serikali kutafuta njia za kushusha bei ya mafuta ya taa na kuvitaka vyombo vya Serikali vinavyohusika na usimamiaji wa ubora wa mafuta, vihakikishe vinatimiza wajibu wake kuzuia kabisa mtindo wa uchakachuaji wa mafuta nchini na si kupandisha bei ya mafuta ya taa kama suluhisho. 5. Kamati Kuu inasikitishwa na tatizo la umeme nchini kwani athari zake kwa uchumi wa Taifa na mtu mmoja mmoja ni kubwa. Hivyo basi imeitaka Serikali kutumia muda iliyopewa wa kurekebisha Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini kuja na mpango wa dharura wa kunusuru hali hii na kisha kulimaliza kabisa tatizo la umeme nchini. 6. Aidha Kamati Kuu imejadili masuala mengine kama; migogoro ya ardhi, tatizo la bei ya pamba, tatizo la uuzaji wa mahindi, migogoro migodini, masuala yanayohusu kero za Muungano na kuagiza Serikali kuyashughulikia kwani yanatatulika. 7. Kamati Kuu imeipongeza Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya Taifa kwa kazi nzuri ya kutekeleza maamuzi ya NEC na kuitaka iongeze kasi katika utekelezaji huo, ili kuhakikisha mageuzi yaliyokusudiwa yanatekelezwa kwa wakati. Aidha imejadili na kupitisha miundo mipya ya Idara ya Itikadi na Uenezi na Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa. 8. Kuhusu suala la maadili ndani ya Chama, Chama kinaendelea kusimamia maadili, na kuwataka wale waliotakiwa kujipima na kuwajibika watumie muda huo, kujipima na kuwajibika kwa masilahi mapana ya chama. Aidha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa inatarajiwa kukutana wakati wowote mwezi Septemba, ambapo pamoja na mambo mengine itatathimini utekelezaji wa maamuzi yake. [/FONT] Imetolewa na:-
Nape M. Nnauye (MNEC)
KATIBU WA NEC, ITIKADI NA UENEZI
DODOMA
1/8/2011


Tukisema Lowassa CCM haimwezi, mnabisha. Haya. Siku 30 tena mmemwongezea ama?
 
Kinachokushangaza ndugu nape kuhusu mafuta ya taa kitu gan, achen unafik wenu, serikal yenu chin ya kikwete ndio iliyoptisha bei ya mafuta alaf leo kafka kwenye kikao anashangaa, kama sio usanii ni kitu gan, kama kikwete anashangaa kwenye kikao sis wananch tufanyaje. Mbona nape na wenzio mmekuwa wapuz kiasi hcho?
 
Kumekuwa na lawama siku hizi kuhusu nidhamu bungeni kuwa bunge letu limekosa nidhamu na uvumilivu na wamekuwa wakiacha shughuli nyeti za bunge na kubakiza ushabiki wa vyama,hali hiyo iliendelea leo asubuhi wakati katibu wa uenezi wa CCM Nape Nnauye alipotambulishwa kama mgeni aliposhangiliwa na wabunge wa CCM mpaka spika aliposema inatosha lakini waliendelea na makelele na spika akarudia kauli hiyo mara 3 bila mafanikio!

Mbona hii imekaa kama imeandikwa na mtu ambaye hajaenda shule ya ukakika?
Nipe majibu ya propositions zako:
  1. Kumekuwa na lawama siku hizi kuhusu nidhamu bungeni kuwa bunge letu limekosa nidhamu na uvumilivu -je una refefer kwenye tukio lipi hasa la kibunge kukosa nidhamu siku hizi,Je umalinganisha hili na lawale walio tolewa nje kwa kukiuka taratibu za bunge?
  2. wamekuwa wakiacha shughuli nyeti za bunge na kubakiza ushabiki wa vyama -Je kukaribishwa Nape bungeni ndio unamaanisha kuacha shughuli nyeti za Bunge?Mbona wamekaribishwa weni tu wewe umemuona Nape wa CCM?
  3. hali hiyo iliendelea leo asubuhi wakati katibu wa uenezi wa CCM Nape Nnauye alipotambulishwa kama mgeni aliposhangiliwa na wabunge wa CCM mpaka spika aliposema inatosha lakini waliendelea na makelele na spika akarudia kauli hiyo mara 3 bila mafanikio!-Na hapa ndio unajikanganya ukilinganisha na kauli zako za hapo juu.Unakiri kuwa Nape amekaribishwa na Spika na akashangiliwa na wabunge wa CCM!Suala unalokereka nalo kama mwana CDM, umeshajionyesha usivyo great thinker.Na je ni mara ngapi wabunge wamenyamazishwa zaidi ya mara tatu katika kikao hiki? Jibu ni mara nyingi tu aidha kwa kushangilia au kwa makofi pande zote za vyama.
Mada haina aiota ya u-great thinker bali unazi-ucoconut.
Sisi tulio wasomi tunakereka na propositions za kishabiki kama hizi.And take care usomi unakuwa inculcated haupigiwi kura,I retain the benefit of doubt over your intellect.
 
Ndio wanachokifahamu wabunge wa CCM,makofi ,vigelegele,kuzomea,na kutoa shukrani na kumpongeza spika,wenyeviti na raisi wao, makubwa wanachi tunajionea ha ha ha ha ha hawajitambui hao
wanashangilia hata spika akijamba, wanapiga mabenchi kwa kwenda mbele hata wale wanao lala.
 
Wabunge wa CCM ni wanafiki kwa Chama chao na wananchi waliowachagua, wanashangilia as if inji hii iko pazuri kweli kiuchumi na kimaendeleo. Wamesahau wanashangilia nini wakati wananchi wao waliowachagua wanahangaika na mfumko wa bei na maisha magumu kwa ujumla. Sasa hivi acha watese kwa kucheka na kuzomea upinzani lakini sasa watakaporudi majimboni kuomba kura tena sisi tutawazomea. Sijui maisha yao yatakuwaje baada ya chama chao kushindwa uchaguzi 2015. Nawasikitikia sana.
 
Mbona hii imekaa kama imeandikwa na mtu ambaye hajaenda shule ya ukakika?<br />
Nipe majibu ya propositions zako:<ol class="decimal"><li> <i><font color="#ff0000">Kumekuwa na lawama siku hizi kuhusu nidhamu bungeni kuwa bunge letu limekosa nidhamu na uvumilivu </font>-</i>je una refefer kwenye tukio lipi hasa la kibunge kukosa nidhamu siku hizi,Je umalinganisha hili na lawale walio tolewa nje kwa kukiuka taratibu za bunge?</li><li><i><font color="#ff0000">wamekuwa wakiacha shughuli nyeti za bunge na kubakiza ushabiki wa vyama</font> -</i>Je kukaribishwa Nape bungeni ndio unamaanisha kuacha shughuli nyeti za Bunge?Mbona wamekaribishwa weni tu wewe umemuona Nape wa CCM?</li><li><font color="#ff0000">hali hiyo iliendelea leo asubuhi wakati katibu wa uenezi wa CCM Nape Nnauye alipotambulishwa kama mgeni aliposhangiliwa na wabunge wa CCM mpaka spika aliposema inatosha lakini waliendelea na makelele na spika akarudia kauli hiyo mara 3 bila mafanikio!-</font>Na hapa ndio unajikanganya ukilinganisha na kauli zako za hapo juu.Unakiri kuwa Nape amekaribishwa na Spika na akashangiliwa na wabunge wa CCM!Suala unalokereka nalo kama mwana CDM, umeshajionyesha usivyo great thinker.Na je ni mara ngapi wabunge wamenyamazishwa zaidi ya mara tatu katika kikao hiki? Jibu ni mara nyingi tu aidha kwa kushangilia au kwa makofi pande zote za vyama.</li></ol>Mada haina aiota ya u-great thinker bali unazi-ucoconut.<br />
Sisi tulio wasomi tunakereka na propositions za kishabiki kama hizi.And take care usomi unakuwa inculcated haupigiwi kura,I retain the benefit of doubt over your intellect.<ol class="decimal"></ol>
<br />
<br />
Sasa wewe nani kakuuliza kuhusu usomi wako?halafu mbona mnapenda sana kutumia neno wasomi kama ngao yenu?unaweza ukajiita msomi lakini ukawa kichwa maji kama watermelon,Take care utapotea.
 
Sishangai kuona mambo lukuki waliozungumza CC ya CCM kuwa ni kiini macho, kwani wabunge wengi bungeni wanatoka wapi kama si CCM? Bei za mafuta ya taa wamezipandisha hao ili kulinda maslai yao. Ulimbukeni wa siasa utawatoa makoromeo hao wabunge wa CCM waliokuwa wanamshangilia Nape wanafikiri Nape alikuwa anawaona ili awatetee 2015 kwenye kamati kuu.
 
Ninashindwa kujua logic au sababu hasa kwa bunge kutumia muda wa kujadili mambo muhimu lakini wanatambulisha wageni? Wananchi tuliowatuma wabunge wakatafute ufumbuzi wa kero zetu tunafaidikaje na utambulisho wa hawa wageni binafsi? Ni kwa nini wasibandike orodha ya wageni kwenye ubao wa matangazo? Kila siku utamsikia Spika, Naibu wake au mwenyekiti wa kikao anaomba msamaha kwa wabunge kuwa muda umekuwa mchache, lakini wanashindwa kutambua kuwa wanatumia muda wa kutambulishana.

Pia nafikiri muda umefika sasa kwa kanuni kutungwa itakayokataza wabunge kutumia muda wa kujadili hoja za wananchi kwa kutoa pongezi na shukrani. Huu ni ufisadi wa aina yake na unatakiwa ukomeshwe. Inakera!
 
<br />
<br />
Sasa wewe nani kakuuliza kuhusu usomi wako?halafu mbona mnapenda sana kutumia neno wasomi kama ngao yenu?unaweza ukajiita msomi lakini ukawa kichwa maji kama watermelon,Take care utapotea.
Hivi unatafuta nini kwenye huu uwanda wa Great Thinkers, mazee?
Kama huna la kuchangia juu ya mada kaandamane tu, mtu asiye na kitu kichwani , kitu cha kwanza kutoka kichwani mwake ni matusi kama unavyofanya.
Nenda forum zinazokuhusu na saizi yako.
 
Hivi unatafuta nini kwenye huu uwanda wa Great Thinkers, mazee?<br />
Kama huna la kuchangia juu ya mada kaandamane tu, mtu asiye na kitu kichwani , kitu cha kwanza kutoka kichwani mwake ni matusi kama unavyofanya.<br />
Nenda forum zinazokuhusu na saizi yako.
mkuu wewe sio ndio umeanza kuhoji usomi wa mleta thread? Hebu acha mambo ya ajabu kama huna la kujadili kaa kimya unajiaibisha.
 
Kumekuwa na lawama siku hizi kuhusu nidhamu bungeni kuwa bunge letu limekosa nidhamu na uvumilivu na wamekuwa wakiacha shughuli nyeti za bunge na kubakiza ushabiki wa vyama,hali hiyo iliendelea leo asubuhi wakati katibu wa uenezi wa CCM Nape Nnauye alipotambulishwa kama mgeni aliposhangiliwa na wabunge wa CCM mpaka spika aliposema inatosha lakini waliendelea na makelele na spika akarudia kauli hiyo mara 3 bila mafanikio!
<br />
<br />
Amewatowa wangapi? Kwa utovu wa nizam
 
Nilichokiona mimi, Nape alishangiliwa na wabunge wa CCM na wale wa upinzani. Picha niliyoipata ni kuwa makofi na kelele zile zilikuwa na mixed feelings. Wapo wa CCM waliomshangilia kama kiongozi wao kichama, wapo wa CCM wenzie waliompigia makofi ya kumkejeli na kwa upinzani walimpigia makofi ya kumsanifu. Ni wabunge wa upinzani walipiga makofi ya muda mrefu hata wengine kupiga vigelegele vya kebehi hata Spika akaingilia kati kuwa inatosha. Kwa hulka ya Nape makofi yalikuwa ya kishabiki, kejeli na sanifu. Nampa pole sana!
 
mkuu wewe sio ndio umeanza kuhoji usomi wa mleta thread? Hebu acha mambo ya ajabu kama huna la kujadili kaa kimya unajiaibisha.

Bwana mukubwa mbona nilisha chmbua mada na hakuna jibu so far!
For your reference hebu jijaze hii kumbukumbu:

Mbona hii imekaa kama imeandikwa na mtu ambaye hajaenda shule ya ukakika?
Nipe majibu ya propositions zako:
  1. Kumekuwa na lawama siku hizi kuhusu nidhamu bungeni kuwa bunge letu limekosa nidhamu na uvumilivu -je una refefer kwenye tukio lipi hasa la kibunge kukosa nidhamu siku hizi,Je umalinganisha hili na lawale walio tolewa nje kwa kukiuka taratibu za bunge?
  2. wamekuwa wakiacha shughuli nyeti za bunge na kubakiza ushabiki wa vyama -Je kukaribishwa Nape bungeni ndio unamaanisha kuacha shughuli nyeti za Bunge?Mbona wamekaribishwa weni tu wewe umemuona Nape wa CCM?
  3. hali hiyo iliendelea leo asubuhi wakati katibu wa uenezi wa CCM Nape Nnauye alipotambulishwa kama mgeni aliposhangiliwa na wabunge wa CCM mpaka spika aliposema inatosha lakini waliendelea na makelele na spika akarudia kauli hiyo mara 3 bila mafanikio!-Na hapa ndio unajikanganya ukilinganisha na kauli zako za hapo juu.Unakiri kuwa Nape amekaribishwa na Spika na akashangiliwa na wabunge wa CCM!Suala unalokereka nalo kama mwana CDM, umeshajionyesha usivyo great thinker.Na je ni mara ngapi wabunge wamenyamazishwa zaidi ya mara tatu katika kikao hiki? Jibu ni mara nyingi tu aidha kwa kushangilia au kwa makofi pande zote za vyama.
Mada haina aiota ya u-great thinker bali unazi-ucoconut.
Sisi tulio wasomi tunakereka na propositions za kishabiki kama hizi.And take care usomi unakuwa inculcated haupigiwi kura,I retain the benefit of doubt over your intellect.
 
Magamba ndo zao...siku hizi hawana jipya zaidi ka kuzomea n akupiga makofi, n.k..kwa kifupi wameishiwa sera..hawwana cha kuwaambiua Watz
 
yaani kama huna uwezo wa kufikiri hata kuona huwezi pia? Im telling you Lowasa is better than all, najua hamtanielewa ila namaanisha aliweza kuwavusha from one stage to another, lets see makofi yatawafikisha wapi, ila kama kawaida vita ya panzi unajua furaha huenda kwa nani. kunguru aka CDM take that. SWOT analyis yaani Strenght itakuwa ni uwezo wa kupiga makofi, Weakness u name it so so m...., Oportunit...., but there is no Threat may be age, but ugomvi wa babu na kijana ndo tutaona, else, its the time to ..........
 
Back
Top Bottom