Nilichokurupuka ni kipi? au kwasababu nimepingana na hoja ya kuwaita vijana bomu kila siku? Na kisa kasema flani? Lazima umtukane nape na kumwita mbumbumbu ndio siku yako iende?... Serikali imetoa takwimu za hali halisi ya ajira nchini, nikatakiwa kutoa maoni, nilichojibu kuwa serikali iko sahihi, hali ya ajira nchini kwa takwimu sio maneno ya barabarani, na hasa ukilinganisha na nchi hata za Afrika mashariki tu Tanzania ni bora kuliko zingine, umbumbumbu wa Nape uko wapi?
Nadhani ni vizuri pamoja na kutakiwa kutukana kila unapokuta jina la Nape, akili za kuambiwa changanya na zako....
ebu tusidanganyane...ajira zinapatikana kwa watoto wa vigogo tuu....ebu nendenei BOT mkajionee ni nani wapo huko....kutoa takwimu si kitu chochote.....tuangalieni hali halisi bwaaanaaa.............!
Nilichokurupuka ni kipi? au kwasababu nimepingana na hoja ya kuwaita vijana bomu kila siku? Na kisa kasema flani? Lazima umtukane nape na kumwita mbumbumbu ndio siku yako iende?... Serikali imetoa takwimu za hali halisi ya ajira nchini, nikatakiwa kutoa maoni, nilichojibu kuwa serikali iko sahihi, hali ya ajira nchini kwa takwimu sio maneno ya barabarani, na hasa ukilinganisha na nchi hata za Afrika mashariki tu Tanzania ni bora kuliko zingine, umbumbumbu wa Nape uko wapi?
Nadhani ni vizuri pamoja na kutakiwa kutukana kila unapokuta jina la Nape, akili za kuambiwa changanya na zako....
Unafiki wa Nape ni upi?
Kama kusimamia msimo wangu kuwa rasilimali za nchi lazima zifaidishe watanzania walio wengi ni unafiki, nina furaha kuitwa mnafiki.....
Kama kwa kusema watu waache ufisadi na ulafi wa madaraka ni unafiki jina hilo linanifaa sana....
Haya mengine ya Arumeru Mashariki, najua ni hasira za kushindwa kutakakowakuta, na najua itakuwa aibu kubwa kwa magwanda, si vibaya mkitanguliza hasira zenu kwangu maana mie ndo punching bag.....
Unafiki wa Nape ni upi?
Kama kusimamia msimo wangu kuwa rasilimali za nchi lazima zifaidishe watanzania walio wengi ni unafiki, nina furaha kuitwa mnafiki.....
Kama kwa kusema watu waache ufisadi na ulafi wa madaraka ni unafiki jina hilo linanifaa sana....
Haya mengine ya Arumeru Mashariki, najua ni hasira za kushindwa kutakakowakuta, na najua itakuwa aibu kubwa kwa magwanda, si vibaya mkitanguliza hasira zenu kwangu maana mie ndo punching bag.....
.........shida yako huwa ni Lowasa sio ufisadi, let my comments be reserved, ni suala la wakati tu.Nilichokurupuka ni kipi? au kwasababu nimepingana na hoja ya kuwaita vijana bomu kila siku? Na kisa kasema flani? Lazima umtukane nape na kumwita mbumbumbu ndio siku yako iende?... Serikali imetoa takwimu za hali halisi ya ajira nchini, nikatakiwa kutoa maoni, nilichojibu kuwa serikali iko sahihi, hali ya ajira nchini kwa takwimu sio maneno ya barabarani, na hasa ukilinganisha na nchi hata za Afrika mashariki tu Tanzania ni bora kuliko zingine, umbumbumbu wa Nape uko wapi?
Nadhani ni vizuri pamoja na kutakiwa kutukana kila unapokuta jina la Nape, akili za kuambiwa changanya na zako....
nnauye amjia juu lowassa
waandishi wetu | mwananchi | march 22, 2012
katibu wa itikadi na uenezi wa chama cha mapinduzi (ccm), nape nnauye amemtaka waziri mkuu aliyejiuzulu, edward lowassa kueleza jinsi alivyoshughulikia kutatua tatizo la ajira wakati akiwa waziri mkuu.
Kauli hiyo ya nnauye inakuja siku moja baada ya waziri wa kazi na ajira, gaudencia kabaka kueleza kwamba tatizo hilo haliwezi kufafanishwa na bomu na kufafanua kuwa wanaosambaza uvumi huo hawaitendei haki serikali.
kila siku wanalalamika serikali ya ccm inatengeneza bomu katika suala la ajira, lakini hao wanaolalamika si walikuamo madarakani na walifanya nini.
unapofika wakati unazungumzia masuala yanayogusa jamii na taifa kwa ujumla unapaswa kuwa na uhakikika na unachokisema sio kupita katika makanisa kuongea kitu ambacho huna uhakika. amekuwa akitumia njia mbalimbali hususan makanisani kuelezea tatizo la ajira ambalo linaitatiza serikali, lakini mimi nabaki na msimamo ule ule kuwa yeye alipokuwa serikalini (waziri mkuu) alifanya nini kutatua tatizo la ajira, alihoji tena.
Tucta
katibu mkuu wa chama cha wafanyakazi (tucta), nicolas mgaya alisema suala la ajira bado ni tatizo kwa serikali na kwamba linapaswa kutatuliwa.
Mgaya alisema kuna vijana wengi wanahitimu masomo katika kila fani kwamba kupata kazi ni tatizo ambalo kama litasimamiwa ipasavyo litapungua.
Mgaya alisema serikalini kuna upungufu wa wafanyakazi, lakini inashindwa kuajiri, sasa umefika wakati wa kuziba mapengo hayo na kuwaondoa vijana walioko mitaani bila ajira.
katika shule za msingi na sekondari kuna upungufu wa walimu, lakini majumbani kwetu kuna vijana waliohitimu masomo ya ualimu hawajaajiriwa sasa hapa serikali inataka kutatua ama inaongeza matatizo, alihoji mgaya.
my take:
hawa ccm wanataka tuwaelewe vipi kujibizana wenyewe kwa wenyewe?? Hivi majibu haya ya nape yanaonyesha nini katika ushiriki wa lowasa kwenye kampeni arumeru ikiwa ataamua kwenda????
hahaha! Kwa nini mwende bot? Nendeni pale lumumba mkawakute kina nnauye na makamba wa dunia hii, nape anajidai kupambana na ufisadi wakati yeye mwenyewe anaishi kifisadi, anatembelea v8 mjini wakati makatibu wa ccm vijini hawana hata baiskeli,!
This is hilarious!Mkuu NAPE HESHIMA YAKO..........
ETI NIMESIKIA MHESHIMIWA EDO ANASEMA YEYE AMEFANYA KAZI NA MZEE MNAUYE KWA MUDA MREFU LAKINI HAJAWAHI KUTAMBULISHWA KAMA WEWE NI MWANA FAMILIA YAKE....... KWA HIYO UNATUMIA JINA HILO KUJINUFAISHA KISIASA....... TAFADHARI TUNAOMBA JIBU!!!!
Kutegemea serikali itoe ajira kwa lundo la vijana wanaozagaa mitaani ni unafiki mkubwa sana, na wimbo wa wanasiasa mufilisi. Je ajira mpaka itoke serikalini? Tunalalamikia watoka nje wanaochukua ardhi yetu na kuzalisha mazao lukuki, mpaka wageni wengine kuwa wenyeviti wa vijiji, je kilimo sio ajira? Kwa nchi zilizoendelea ajira ni mpaka ile inayopelekea ulipwe mshahara kwa sababu huwezi pata ardhi nzuri ya kulima au hata kuanzisha biashara yako ya mifugo, kila eneo lina mwenyewe. Hii ni hata pale Kenya. Nilikuwa mpanda Kalemi, kule nimepewa eneo bure, gharama yangu ni kufyeka misitu tu. Vijana wenyewe tunaotaka waajiliwe ni wapi hasa? wanaelimu gani? na ni kwa nini wao hawawezi kujiajili?
Ah, vijana ni bomu, hiyo ni kweli kabisa kwa sababu ni rahisi sana kuwatumia vijana wenye uwezo finyu wa kufikiri kwa matakwa binafsi ya kisiasa wakaandamana nchi nzima kudai ajira, ambazo kwanza hawa uwezo wa kielimu, achilia mbali utashi wa kufanya kazi hizo. Watu wengi sana ni mashuhuda wa usemi usemao 'kama unayataka mali, utayapata shabani, kwa kujibidisha na kuwa makini kwa kile unachofanya.
Ndugu N. N, nadhani sasa tumekuwa taifa la wanajim au maigizo. Umejuwa mmeshinda siku nane kabla? Au kura zimeishapigwa na hesabu yake tayari? Hivi watakaoenda kupiga kura 1 April watakuwa ni wajinga as far as Fools day is concern?Haya mengine ya Arumeru Mashariki, najua ni hasira zakushindwa kutakakowakuta, na najua itakuwa aibu kubwa kwa magwanda, si vibaya mkitanguliza hasira zenu kwangu maana mie ndo punching bag.....
Maisha yamebadilika sana Nape, si kwa Tz tu bali ni kwa nchi zote duniani. Watznia wa miaka hii sio wale wa enzi hizo, hapana! Watznia wa leo ni watu ambao wanataka kuona kile walichoahidiwa na viongozi wao kinafanyika, kinatekelezwa na kionekane kiuhalisia sio tu kuja na takwimu ambazo ziko tofauti kabisa na hali halisi ilivyo na ukategemea kwamba wa2 watakuamini kiurahisi, hakuna! Viongozi we2 wanapaswa kubadilika kwa kiasi kikubwa sana! Watznia tunataka vitendo na sio maneno ama takwimu za kupika!
RA alionewa zaidi kwasababu ni muislam, ndo magamba hao.Hivi Nape wale mliowapa muda wa kujivua gamba,tayari wameshajivua gamba? baada ya bw.Rostam
je waliosalia wamejivua?au magamba yao ni magumu sana hayavuliki!! Je huo sio unafiki mnaotufanyia
watanzania juu ya kujivua gamba,halafu mmekuwa kimya mnaendeleza ufisadi?
kimsingi hoja ya NAPE ni ya maana na yenye ukweli inayotokana na mawazo huru ya mtu wa kada yake.,katika namna zote tutakazoamua kutafsiri kauli ya EDO kuwa serikali inajiandalia bomu juu ya issue ya ajira kwa vijana ni wazi tutakuja ku-conclude kuwa ni uzandiki.
Zipo facts katika kulielezea hilo;
1) Ukichukua background ya EDO serikalini kabla na hata baada ya kuwa waziri mkuu, utagundua kuwa alikuwa katika nafasi kubwa za kimaamuzi na ushauri ambapo suala hili kama angelikuwa anataka kulishughulikia basi leo hii kusingelikuwa na tatizo la ajira katika Tanzania. Lakini ni wazi kuwa hakuwa tayari na hakuona umuhimu wa kulishughulikia hili na wala halikuwa miongoni mwa ajenda zinazomkera kama kiongozi ili kusaidia vijana ambao ndio wengi wanalalamika juu ya ukosefu wa ajira.
2) Ukiachilia mbali nafasi zake katika serikali wakati wa nyuma na sasa, bado EDO ni miongoni mwa watanzania matajiri. Anao uwezo wa kuonyesha personal initiative katika hili kama akiamua kuwekeza hapa nchini. Anao uwezo wa kuwekeza katika industry tofauti ambapo ataweza kuchukua idadi kubwa ya vijana kama rasilimali watu ambapo atakuwa amefanya jambo la msingi.
3)Pia kutokana na nafasi aliyonayo katika jamii kutokana na uzoefu wake alionao katika serikali yetu angestahiki kabisa kuwa mshauri kwa yale aliyoyagundua baada ya kuwa nje ya serikali juu ya uboreshaji wa ajira kwani si kweli kuwa juhudi hazifanyiki bali uboreshaji ndio unaohitajika.Lakini kinyume chake naalivyofanya je jamii imtazame katika jicho lipi la Unafiki au la utendaji? kwa mtazamo wangu atajiweka katika kundi la unafiki kwani alikuwemo kwa muda mrefu na hakuling'amua hilo mpaka alipofika nje?