Nape amjibu Lowassa kuhusu Ajira...!

Binafsi huwa namshangaa Lowassa na kilichosemwa na Mama Kabaka na Nape ni sahihi, huwezi kukosoa serikali ambayo na wewe umo na kibaya zaidi na yeye alikuwa Waziri mkuu.
 
Nilichokurupuka ni kipi? au kwasababu nimepingana na hoja ya kuwaita vijana bomu kila siku? Na kisa kasema flani? Lazima umtukane nape na kumwita mbumbumbu ndio siku yako iende?... Serikali imetoa takwimu za hali halisi ya ajira nchini, nikatakiwa kutoa maoni, nilichojibu kuwa serikali iko sahihi, hali ya ajira nchini kwa takwimu sio maneno ya barabarani, na hasa ukilinganisha na nchi hata za Afrika mashariki tu Tanzania ni bora kuliko zingine, umbumbumbu wa Nape uko wapi?

Ladba niseme tene acha umbumbu.Tokia lini serikali hii ikatoa takwimu zenye uhalisia.Ni kweli ajira ni tatizo.Serikali yetu haijawahi na kama ni hi ya CCM hatakaaa itoe takwimu halisi.Huu ni ukweli usiofichika..Au ww tuambie lini serikali hii ikatoa taarifa iliyo sahihi?
 
Nilichokurupuka ni kipi? au kwasababu nimepingana na hoja ya kuwaita vijana bomu kila siku? Na kisa kasema flani? Lazima umtukane nape na kumwita mbumbumbu ndio siku yako iende?... Serikali imetoa takwimu za hali halisi ya ajira nchini, nikatakiwa kutoa maoni, nilichojibu kuwa serikali iko sahihi, hali ya ajira nchini kwa takwimu sio maneno ya barabarani, na hasa ukilinganisha na nchi hata za Afrika mashariki tu Tanzania ni bora kuliko zingine, umbumbumbu wa Nape uko wapi?

Nadhani ni vizuri pamoja na kutakiwa kutukana kila unapokuta jina la Nape, akili za kuambiwa changanya na zako....

Ladba niseme tena acha umbumbu.Tokia lini serikali hii ikatoa takwimu zenye uhalisia.Ni kweli ajira ni tatizo.Serikali yetu haijawahi na kama ni hi ya CCM haitakaaa itoe takwimu halisi.Huu ni ukweli usiofichika..Au ww tuambie lini serikali hii ikatoa taarifa iliyo sahihi?
 
ebu tusidanganyane...ajira zinapatikana kwa watoto wa vigogo tuu....ebu nendenei BOT mkajionee ni nani wapo huko....kutoa takwimu si kitu chochote.....tuangalieni hali halisi bwaaanaaa.............!
 
Nape, Membe, Sitta, Mwakyembe, Mwandosya ...ongezea. Nikiwaona hawa Arumeru basi nitaamini siasa zetu ni za unafiki.
 
Unafiki wa Nape ni upi?

Kama kusimamia msimo wangu kuwa rasilimali za nchi lazima zifaidishe watanzania walio wengi ni unafiki, nina furaha kuitwa mnafiki.....

Kama kwa kusema watu waache ufisadi na ulafi wa madaraka ni unafiki jina hilo linanifaa sana....

Haya mengine ya Arumeru Mashariki, najua ni hasira za kushindwa kutakakowakuta, na najua itakuwa aibu kubwa kwa magwanda, si vibaya mkitanguliza hasira zenu kwangu maana mie ndo punching bag.....
Nape, jitahidi kuchunga ulimi wako. Siasa ni mchezo wa ajabu. Utakuja kujuta kwa nini uliingia kwenye siasa. Mimi naamini unaweza kuwa katibu mwenezi wa chama na ukaendelea kuongea kwa lugha ya staha na wati wakakuelewa hususan unapojibu hoja iliyotolewa na mtu wa umri na kariba ya lowassa. Be careful mdogo wangu nchi hii ni yetu sote na vizazi vijavyo.
 
ebu tusidanganyane...ajira zinapatikana kwa watoto wa vigogo tuu....ebu nendenei BOT mkajionee ni nani wapo huko....kutoa takwimu si kitu chochote.....tuangalieni hali halisi bwaaanaaa.............!

wanadhani tunakula hizo takwimu..upopompo mtupu
 
Nilichokurupuka ni kipi? au kwasababu nimepingana na hoja ya kuwaita vijana bomu kila siku? Na kisa kasema flani? Lazima umtukane nape na kumwita mbumbumbu ndio siku yako iende?... Serikali imetoa takwimu za hali halisi ya ajira nchini, nikatakiwa kutoa maoni, nilichojibu kuwa serikali iko sahihi, hali ya ajira nchini kwa takwimu sio maneno ya barabarani, na hasa ukilinganisha na nchi hata za Afrika mashariki tu Tanzania ni bora kuliko zingine, umbumbumbu wa Nape uko wapi?

Nadhani ni vizuri pamoja na kutakiwa kutukana kila unapokuta jina la Nape, akili za kuambiwa changanya na zako....
usibabaike kamanda mtandao umingilwa na vikaragisi vinavyojiita eti ni great thinkers wanajifanya ni m

bingwa wa demokrasia na maendeleo.kumbe ni mabingwa wla uzushi matusi na upendeleo.humu busara za mwanakijiji nyani ngabu zimeisha kilichobakia matsi kebehi dharau na ufedhuli
 
Unafiki wa Nape ni upi?

Kama kusimamia msimo wangu kuwa rasilimali za nchi lazima zifaidishe watanzania walio wengi ni unafiki, nina furaha kuitwa mnafiki.....

Kama kwa kusema watu waache ufisadi na ulafi wa madaraka ni unafiki jina hilo linanifaa sana....

Haya mengine ya Arumeru Mashariki, najua ni hasira za kushindwa kutakakowakuta, na najua itakuwa aibu kubwa kwa magwanda, si vibaya mkitanguliza hasira zenu kwangu maana mie ndo punching bag.....
Hivi Nape wale mliowapa muda wa kujivua gamba,tayari wameshajivua gamba? baada ya bw.Rostam
je waliosalia wamejivua?au magamba yao ni magumu sana hayavuliki!! Je huo sio unafiki mnaotufanyia
watanzania juu ya kujivua gamba,halafu mmekuwa kimya mnaendeleza ufisadi?

 
Unafiki wa Nape ni upi?

Kama kusimamia msimo wangu kuwa rasilimali za nchi lazima zifaidishe watanzania walio wengi ni unafiki, nina furaha kuitwa mnafiki.....

Kama kwa kusema watu waache ufisadi na ulafi wa madaraka ni unafiki jina hilo linanifaa sana....

Haya mengine ya Arumeru Mashariki, najua ni hasira za kushindwa kutakakowakuta, na najua itakuwa aibu kubwa kwa magwanda, si vibaya mkitanguliza hasira zenu kwangu maana mie ndo punching bag.....

Nape I'm sorry to tell you this, uelewa wako ni mdogo sana kwenye masuala mengi sana ya msingi, shukuru tu jina la babako limekubeba na uko kwenye chama cha wajinga na wezi, otherwise hau-qualify kuwa hata mgambo wa jiji.
 
kimsingi hoja ya NAPE ni ya maana na yenye ukweli inayotokana na mawazo huru ya mtu wa kada yake.,katika namna zote tutakazoamua kutafsiri kauli ya EDO kuwa serikali inajiandalia bomu juu ya issue ya ajira kwa vijana ni wazi tutakuja ku-conclude kuwa ni uzandiki.

Zipo facts katika kulielezea hilo;

1) Ukichukua background ya EDO serikalini kabla na hata baada ya kuwa waziri mkuu, utagundua kuwa alikuwa katika nafasi kubwa za kimaamuzi na ushauri ambapo suala hili kama angelikuwa anataka kulishughulikia basi leo hii kusingelikuwa na tatizo la ajira katika Tanzania. Lakini ni wazi kuwa hakuwa tayari na hakuona umuhimu wa kulishughulikia hili na wala halikuwa miongoni mwa ajenda zinazomkera kama kiongozi ili kusaidia vijana ambao ndio wengi wanalalamika juu ya ukosefu wa ajira.

2) Ukiachilia mbali nafasi zake katika serikali wakati wa nyuma na sasa, bado EDO ni miongoni mwa watanzania matajiri. Anao uwezo wa kuonyesha personal initiative katika hili kama akiamua kuwekeza hapa nchini. Anao uwezo wa kuwekeza katika industry tofauti ambapo ataweza kuchukua idadi kubwa ya vijana kama rasilimali watu ambapo atakuwa amefanya jambo la msingi.

3)Pia kutokana na nafasi aliyonayo katika jamii kutokana na uzoefu wake alionao katika serikali yetu angestahiki kabisa kuwa mshauri kwa yale aliyoyagundua baada ya kuwa nje ya serikali juu ya uboreshaji wa ajira kwani si kweli kuwa juhudi hazifanyiki bali uboreshaji ndio unaohitajika.Lakini kinyume chake naalivyofanya je jamii imtazame katika jicho lipi la Unafiki au la utendaji? kwa mtazamo wangu atajiweka katika kundi la unafiki kwani alikuwemo kwa muda mrefu na hakuling'amua hilo mpaka alipofika nje?
 
Unafiki wa Nape ni upi?

Kama kusimamia msimo wangu kuwa rasilimali za nchi lazima zifaidishe watanzania walio wengi ni unafiki, nina furaha kuitwa mnafiki.....

Kama kwa kusema watu waache ufisadi na ulafi wa madaraka ni unafiki jina hilo linanifaa sana....

Haya mengine ya Arumeru Mashariki, najua ni hasira za kushindwa kutakakowakuta, na najua itakuwa aibu kubwa kwa magwanda, si vibaya mkitanguliza hasira zenu kwangu maana mie ndo punching bag.....

Ukiendelea hivi utaanza kujielewa maana ulikuwa umepotea njia kama kijana. Ila kumbuka Kikwete alisema vijana(wanasiasa) wawe na breki
 
Nilichokurupuka ni kipi? au kwasababu nimepingana na hoja ya kuwaita vijana bomu kila siku? Na kisa kasema flani? Lazima umtukane nape na kumwita mbumbumbu ndio siku yako iende?... Serikali imetoa takwimu za hali halisi ya ajira nchini, nikatakiwa kutoa maoni, nilichojibu kuwa serikali iko sahihi, hali ya ajira nchini kwa takwimu sio maneno ya barabarani, na hasa ukilinganisha na nchi hata za Afrika mashariki tu Tanzania ni bora kuliko zingine, umbumbumbu wa Nape uko wapi?

Nadhani ni vizuri pamoja na kutakiwa kutukana kila unapokuta jina la Nape, akili za kuambiwa changanya na zako....

Nape, I pity you.....yaani majibu yako yanaonyesha jinsi gani una ufahamu mdogo. Hivi unawezaje kujibu hoja nzito kama ya ajira kwa vijana ki-jinga kiasi hichi? Mbona wana-C.C.M huwa mnatolea majibu mepesi hoja nzito namna hii?
 
Nape ni miongoni mwa Vijana waoaibisha vijana wa leo kwanini ulumbane na Lowasa?Ukweli ni kwamba vijana wote Tanzania tunahitaji kujua uhalisia wa wizara ya Kazi na target zake toka 2011-2015 with process implementation reports of the current met targets.Vinginevyo ukweli unabaki pale pale na Lowasa ni mkweli kwani "siamini na ninahakika haamini katika falsafa za Uropokaji."
Sijui utakua mgeni wa nani kuanzia 2015, jamaa akitua Ikulu.
 
Nnauye amjia juu Lowassa

Waandishi Wetu | Mwananchi | March 22, 2012

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amemtaka Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa kueleza jinsi alivyoshughulikia kutatua tatizo la ajira wakati akiwa Waziri Mkuu.

Kauli hiyo ya Nnauye inakuja siku moja baada ya Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudencia Kabaka kueleza kwamba tatizo hilo haliwezi kufafanishwa na bomu na kufafanua kuwa wanaosambaza uvumi huo hawaitendei haki Serikali.
“Kila siku wanalalamika Serikali ya CCM inatengeneza bomu katika suala la ajira, lakini hao wanaolalamika si walikuamo madarakani na walifanya nini.

“Unapofika wakati unazungumzia masuala yanayogusa jamii na Taifa kwa ujumla unapaswa kuwa na uhakikika na unachokisema sio kupita katika makanisa kuongea kitu ambacho huna uhakika. “Amekuwa akitumia njia mbalimbali hususan makanisani kuelezea tatizo la ajira ambalo linaitatiza serikali, lakini mimi nabaki na msimamo ule ule kuwa yeye alipokuwa serikalini (Waziri Mkuu) alifanya nini kutatua tatizo la ajira,” alihoji tena.

Tucta
Katibu Mkuu wa Chama cha wafanyakazi (Tucta), Nicolas Mgaya alisema suala la ajira bado ni tatizo kwa serikali na kwamba linapaswa kutatuliwa.

Mgaya alisema kuna vijana wengi wanahitimu masomo katika kila fani kwamba kupata kazi ni tatizo ambalo kama litasimamiwa ipasavyo litapungua.

Mgaya alisema serikalini kuna upungufu wa wafanyakazi, lakini inashindwa kuajiri, sasa umefika wakati wa kuziba mapengo hayo na kuwaondoa vijana walioko mitaani bila ajira.

“Katika shule za msingi na sekondari kuna upungufu wa walimu, lakini majumbani kwetu kuna vijana waliohitimu masomo ya ualimu hawajaajiriwa sasa hapa serikali inataka kutatua ama inaongeza matatizo,” alihoji Mgaya.


MY TAKE:
Hawa CCM wanataka tuwaelewe vipi kujibizana wenyewe kwa wenyewe?? Hivi majibu haya ya Nape yanaonyesha nini katika ushiriki wa Lowasa kwenye Kampeni Arumeru ikiwa ataamua kwenda????

achana nao kaka, kupoteza muda kuwafikiria CCM na malumbano yao, ni UPUMBAVU. Mimi sina hata muda kama huo. Au umesahau kuwa ugomvi wa panzi furaha ya Kunguru?????
 
Jamani Lowasa kasema ukweli katika hili,ila amesahau au anaogopa kusema ukweli zaidi kwamba catalyst ya kuspeed up rate ya hilo bomu kulipuka ni swahiba wake Kikwete! Angalia kitu kidogo tu kama uteuzi wastaafu katika post ambazo zingeshikwa na vijana,Lingine ni kuruhusu wawekezaji kuleta wafanyakazi amabao Watanzania wanasifa kubwa zaidi yao lakini wakija wao ndio wanapewa wadhifa mkubwa uliko mbongo.Jamani ukweli hili bomu lipo na punde litalipuka!!
 
i have no problem with nape because kiukweli anachojaribu ndio wengi tunachojaribu sema tu yuko upande tofauti, then the rest ni siasa tu ila itafika muda utapata respect yako unayodeserve...ila tukiwa wote upande mmoja tutaonekana hatuna tija......ukweli ni kwamba kama kuna bomu linalosubiriwa kulipuka ni udini ambao lowasa anataka kuutumia umwingize madarakani
 
Nnauye amjia juu Lowassa

Waandishi Wetu | Mwananchi | March 22, 2012

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amemtaka Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa kueleza jinsi alivyoshughulikia kutatua tatizo la ajira wakati akiwa Waziri Mkuu.

Kauli hiyo ya Nnauye inakuja siku moja baada ya Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudencia Kabaka kueleza kwamba tatizo hilo haliwezi kufafanishwa na bomu na kufafanua kuwa wanaosambaza uvumi huo hawaitendei haki Serikali.
“Kila siku wanalalamika Serikali ya CCM inatengeneza bomu katika suala la ajira, lakini hao wanaolalamika si walikuamo madarakani na walifanya nini.

“Unapofika wakati unazungumzia masuala yanayogusa jamii na Taifa kwa ujumla unapaswa kuwa na uhakikika na unachokisema sio kupita katika makanisa kuongea kitu ambacho huna uhakika. “Amekuwa akitumia njia mbalimbali hususan makanisani kuelezea tatizo la ajira ambalo linaitatiza serikali, lakini mimi nabaki na msimamo ule ule kuwa yeye alipokuwa serikalini (Waziri Mkuu) alifanya nini kutatua tatizo la ajira,” alihoji tena.

Tucta
Katibu Mkuu wa Chama cha wafanyakazi (Tucta), Nicolas Mgaya alisema suala la ajira bado ni tatizo kwa serikali na kwamba linapaswa kutatuliwa.

Mgaya alisema kuna vijana wengi wanahitimu masomo katika kila fani kwamba kupata kazi ni tatizo ambalo kama litasimamiwa ipasavyo litapungua.

Mgaya alisema serikalini kuna upungufu wa wafanyakazi, lakini inashindwa kuajiri, sasa umefika wakati wa kuziba mapengo hayo na kuwaondoa vijana walioko mitaani bila ajira.

“Katika shule za msingi na sekondari kuna upungufu wa walimu, lakini majumbani kwetu kuna vijana waliohitimu masomo ya ualimu hawajaajiriwa sasa hapa serikali inataka kutatua ama inaongeza matatizo,” alihoji Mgaya.


MY TAKE:
Hawa CCM wanataka tuwaelewe vipi kujibizana wenyewe kwa wenyewe?? Hivi majibu haya ya Nape yanaonyesha nini katika ushiriki wa Lowasa kwenye Kampeni Arumeru ikiwa ataamua kwenda????


My Take;

Hawajua kuwa tatizo la ajira its a TIME BOOM wao wanadhani ni mchezo hawa viongozi vijana kama Nape wanatupa mashaka sana huko tuendako kuwa sio safi kabisa hawa ni mmoja kati ya vijana wa CCM wafuasii na vijakazi wa viongozi waliopo madarakani hebu angalieni vijana wengi walio zaliwa kati ya 1975 up to 1990 wa mbali na itikadi zetu tofauti viongozi asilimia kubwa ni wale wale from those days tulizo zaliwa mpaka sasa tumeingia kweny siasa bado wapo nashindwa sasa kuwaelewa viongozi vijana waliopo CCM bado wanakuwa ni wafuasi wa hao viongozi mmoja wapo ni NAPE na BASHE MILYA, na viongozi wa UVCCM mikoani na wilayani yet ni vibaraka tuuuuuuu lini mtasimama wenyewe na kuwambia hao wazee sasa inatosha, ama kweli Mbunge wa CHADEMA ILEMELA alisema juzi tena CCM ilikwenda na BABA wa TAIFA Mwl.JK Nyerere walio baki wote CCM ni wanafki fulu fulu.

Hawa UVCCM watalisaidi Taifa hili lini na wapi hali halisi ilisha jionyesha kuwa njaa ndio zinawasumbua na sio uzalendo na nchi yao nao walisha kuwa COMPLETE CORRUPTED MEMBERS = CCM


 
Back
Top Bottom