Nape akiri wananchi wake kuchota maji ya kopo miaka 50 baada uhuru

Kibo10

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
11,277
8,836
7880b1c6cced4570a7fc7ba44b229d57.jpg
a26e9a1918bd862157da31c8c4648f7f.jpg


"Huku ndiko wanakochota maji baadhi ya wapiga kura wangu! Sasa mtanielewa kwanini napiga kelele na maji" - Nape

Ukitafakari kauli hii ya Nape, ni kuwa amekubaliana na upinzani kuwa CCM hawajalitendea taifa haki kwenye maendeleo toka uhuru!

Watakiri mmoja mmoja, ni suala la muda tu!
 
7880b1c6cced4570a7fc7ba44b229d57.jpg
a26e9a1918bd862157da31c8c4648f7f.jpg

Huku ndiko wanakochota maji baadhi ya wapiga kura wangu! Sasa mtanielewa kwanini napiga kelele na maji-Nape
Ukitafakari kauli hii ya nape,Ni kuwa amekubaliana na upinzani kuwa,Ccm hawajalitendea taifa haki kwenye maendeleo toka uhuru!
Watakiri mmoja mmoja,Ni swala la muda tu!
Mpaka 2020 atakuwa amejitambua vizuri
 
Kero kubwa kutoka kwa wananchi nchi nzima ktk kampeni ilikuwa ni maji, Maji, maji, sielewi kwa nini hii kitu haijapewa uzito unaostahili!
 
7880b1c6cced4570a7fc7ba44b229d57.jpg
a26e9a1918bd862157da31c8c4648f7f.jpg

Huku ndiko wanakochota maji baadhi ya wapiga kura wangu! Sasa mtanielewa kwanini napiga kelele na maji-Nape
Ukitafakari kauli hii ya nape,Ni kuwa amekubaliana na upinzani kuwa,Ccm hawajalitendea taifa haki kwenye maendeleo toka uhuru!
Watakiri mmoja mmoja,Ni swala la muda tu!
Kuna jitihada gani Mnyika alifanya kuleta maji ubungo to kimara to kibamba kote huko kibangi ni majanga, na bado mpaka sasa kubenea na mnyika mwenyewe kwa jimbo lake HAONESHI jitihada za kuwezesha maji yaje, huwezi nishawishi kwa upinzani huu unaoongozwa na Mbowe, rangi yao halisi imeshaonekana! Ni kweli sisiemu wameshindwa maeneo mengi ila mbadala wake sio chadema hii ya mbowe, tuwe serious!!
 
Kuna jitihada gani Mnyika alifanya kuleta maji ubungo to kimara to kibamba kote huko kibangi ni majanga, na bado mpaka sasa kubenea na mnyika mwenyewe kwa jimbo lake HAONESHI jitihada za kuwezesha maji yaje, huwezi nishawishi kwa upinzani huu unaoongozwa na Mbowe, rangi yao halisi imeshaonekana! Ni kweli sisiemu wameshindwa maeneo mengi ila mbadala wake sio chadema hii ya mbowe, tuwe serious!!
Barafuyamoto;
Mnyika kawapigania watu wa ubungo na Kibamba kwa sasa kuhusu maji, kwa kiasi kikubwa tatizo la maji kwa wana Dar es salaam hasa Mbezi Louis na Kimara limekwisha. Mtambo wa maji unamaji ya kutosha kilichobaki ni miundo mbinu tu kwenye usafirishaji wa maji kwenye mitaa.

Kama uko Mbezi, Kimara kibamba hupati maji kupitia mabomba ya mchina na mabomba ya Dawasco wasiliana na idara ya maji eneo lako watakuja kukagua kwa nini hupati maji.
 
Kuna jitihada gani Mnyika alifanya kuleta maji ubungo to kimara to kibamba kote huko kibangi ni majanga, na bado mpaka sasa kubenea na mnyika mwenyewe kwa jimbo lake HAONESHI jitihada za kuwezesha maji yaje, huwezi nishawishi kwa upinzani huu unaoongozwa na Mbowe, rangi yao halisi imeshaonekana! Ni kweli sisiemu wameshindwa maeneo mengi ila mbadala wake sio chadema hii ya mbowe, tuwe serious!!

Mnyika ni mtu gani katika serikali ya jamhuri ya Muungano waTanzania.

Kubenea ni nani hasa katika serikali iliyopo madarakani.

Nani mwenye jukumu la kupanga budget ya kupeleka maji eneo husika

Nani anamiliki mamlaka ya maji safi na maji taka ambayo ndiyo hasa yenye jukumu la kupeleka maji hayo.


Kwani mnyika hakuwahi kuwasilisha suala la maji bungeni na mpaka nakumbuka aligawa namba za waziri husika kipindi kile ili wananchi wampigie wamuulize.

Next time ukitaka kumtuhumu mtu fikiria mara mbili mbili mzee
 
Kero kubwa na muhimu ni hostel za UDSM!
Wazazi wanapojinyima hata kwenye mlo mzuri na kuhakikiisha watoto wao wanawapeleka shule na kuwanunulia vifaa vya elimu utawaona wajinga.

Serikali inapoamua kuweka mazingira mazuri ya elimu kwa manufaa ya siku zijazo badala ya kupeleka maji ya uhakika unaiona haifai.

Akili zako hazifikirii nje ya poverty cycle.

Kero kubwa nchini sio maji bali ni kuwa na watu wengi wenye fijra kama zako ambazo zitaondolewa kwa kutumia elimu bora.

Kupanga ni kuchagua
 
Kuna jitihada gani Mnyika alifanya kuleta maji ubungo to kimara to kibamba kote huko kibangi ni majanga, na bado mpaka sasa kubenea na mnyika mwenyewe kwa jimbo lake HAONESHI jitihada za kuwezesha maji yaje, huwezi nishawishi kwa upinzani huu unaoongozwa na Mbowe, rangi yao halisi imeshaonekana! Ni kweli sisiemu wameshindwa maeneo mengi ila mbadala wake sio chadema hii ya mbowe, tuwe serious!!
Na hicho ndio kinachotuumiza wengi, CCM tumeichoka ila wanaotaka kuwa mbadala ndio wamechoka zaidi.
 
Wabunge siyo serikali. Mtu akipigania shida yako umshukuru siyo kumsuta. Wakumsuta ni wanaohusika serikalini.
 
Angekuwa bado waziri halafu mtu arushe picha hizo
mitandaoni angeitwa mchochezi...
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom