Cathode Rays
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 1,738
- 1,495
Wizi wameongezeka ubungo ktk kipindi chako daladala za ubungo makoka nauli 600 badala ya 400 ni umbali ea km moja na nusu kwa sababu barabara haipitiki hata wenye magari hawafiki na magari yao makoka wanalaza river side.
.
Naomba kuuliza swali Mkuu,
Hivi Mbunge ndiye anaye-set nauli za daladala?