2hery
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,700
- 4,639
Habari wana jamvi,
Wakati joto la uchaguzi mkuu likiendelea kupamba moto imefahamika kuwa jimbo la ubungo wagombea wengi wameanza kuogopa nguvu ya JJ Mnyika ambapo sasa wameamua kutafuta majimbo mengine.
Mmoja wa wanasiasa ambae amekimbia moto wa Mnyika ni bwana Nape Nnauye ambae ameenda kujiandikisha kupiga kura Jimbo la Mtama Mkoani lindi,itakumbukwa kuwa mwaka 2010 kwenye kura za maoni za CCM Nape alishiriki kuomba ridhaa ya chama chake kupitia Ubungo na kushindwa na Shamsa Mwangunga.
Heko Mnyika juhudi zako kwa jimbo la Ubungo zimeoneka na chama tawala kimejianda kuwa chama pinzani.Naaomba UKAWA wazidishe kutoa elimu ya uraia hasa umuhimu wa kupiga kura hasa maeneo ya vijijini kama Mtama ili hata kile walichobakiwa nacho kipotee kabisa.
Nape na kadi yake Mtama
Wakati joto la uchaguzi mkuu likiendelea kupamba moto imefahamika kuwa jimbo la ubungo wagombea wengi wameanza kuogopa nguvu ya JJ Mnyika ambapo sasa wameamua kutafuta majimbo mengine.
Mmoja wa wanasiasa ambae amekimbia moto wa Mnyika ni bwana Nape Nnauye ambae ameenda kujiandikisha kupiga kura Jimbo la Mtama Mkoani lindi,itakumbukwa kuwa mwaka 2010 kwenye kura za maoni za CCM Nape alishiriki kuomba ridhaa ya chama chake kupitia Ubungo na kushindwa na Shamsa Mwangunga.
Heko Mnyika juhudi zako kwa jimbo la Ubungo zimeoneka na chama tawala kimejianda kuwa chama pinzani.Naaomba UKAWA wazidishe kutoa elimu ya uraia hasa umuhimu wa kupiga kura hasa maeneo ya vijijini kama Mtama ili hata kile walichobakiwa nacho kipotee kabisa.
Nape na kadi yake Mtama