2hery
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,700
- 4,639
- Thread starter
- #21
Nape, kamwe haiwezi Ubungo, na sio Nape tu, bali asilimia 80 ya wabunge wa CCM hawayawezi majimbo yaliyo chini ya UKAWA, ikiwemo Ubungo! Ndio maana CCM inabanana na Tume ya Uchaguzi ili kuongeza Majimbo mapya ili ipate ahueni, maana mwaka huu UKAWA inakula majimbo ya CCM kwa zaidi ya nusu!
Kuna point hapo mkuu.Ubungo kwa uchaguzi wa 2010 ndio ilikuwa inaongoza kwa idadi ya wapiga kura takribani 350000 ila kwa fitna za tume hawakuligawa jimbo hilo,ila kwa vyovyote vile CCM ijiandae kisaikolojia maana siku zao zinahesabika kutoka Magogoni